junior2008
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 528
- 42
Kwa kawaida kwa mtu makini unapoomba radhi lazima uweze grounds za hoja zako haitoshi tu kusema naomba radhi. Lazima Pasco ni mtu makini sana na mstaarabu!
Pasco huna maana kabisa unaomba samahani kweli wewe zuzu
Lini JF imekuwa kituo cha reconciliation...
Simama kwenye kitu unachoamini ...hata kama wote hawataki huo ndio uongozi wa maana.
Rudia kusoma tena na tena, kuanzia heading mpaka mwisho, tuone kama unachosema ni sahihi. Something is wrong in your thinking, au utakuwa umevamia tu na kutoa statement bila kusoma, which is not the quality of Great Thinker.
Na wewe umekuwa mwalimu wa nidhamu JF..
Kuomba msamaha kwa jambo unaloamini ni uzuzu period
Sahihi, kuwepo kwa nafasi ya kuomba msamaha sio sababu ya kufanya kosa na anayeomba msamaha hana adabu kwa sababu alifanya kosa mwenye adabu anajitahidi kuzuia kufanya kosa.MSAMAHA SIO SABABU YA KUFANYA KOSA,
WATANZANIA WENGI WANA FANYA MAKOSA MAKUSUDI KWA SABABU WANATEGEMEA KUOMBA MSAMAHA SAAS HILI NI TATIZO NA MIMI SIKUBALIANI NALO
JITAHIDI ,KUWA MAKINI,FANYA UCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUSEMA AU KUANDIKA CHOCHOTE,KWANGU MSAMAHA SIO TIBA KWANI HATA POLISI WETU WANAUA HALAFU WANAOMBA MSAMAHA SASA HII INA FAIDA GANI KWA MAREHEMU
badilika msamaha sio TIJA
Duuu!kuomba msamaha kwa aina hii????!!!,ni uchokonozi na uchochezi zaidi wa moto.Binadamu wana mambo!
Wapi alipoomba msamaha?Pasco huna maana kabisa unaomba samahani kweli wewe zuzu
Lini JF imekuwa kituo cha reconciliation...
Simama kwenye kitu unachoamini ...hata kama wote hawataki huo ndio uongozi wa maana.