Nataka kuwashtaki waislam!!

Waislam pamoja na allah wao wameonyesha kuwa wao si wastaarab kabisa. Allah wao amekuwa mstari wa mbele kulazimisha watu wamswalie tena kwa bakora kule kweye mad-rassa.

Mwenye akili timamu anajuwa kuwa KIBAYA CHAJITEMEBEZA tena kwa kupiga swalaaa alfajir, lakini KIZURI CHAJIUZA CHENYEWE, bila ya kulazimishana.

........... zile SEBENE za PROMOTION kama kampuni za SIMU za kina Mwaitege, Flora Mbasha na Rose Mhando ....... sijui Chidumule na kina nanihii ! unazionaje !? YESU anafanyiwa MATAMASHA na UZINDUZI !
 
Hili ni tatizo la mipango miji.
Zamani ukiwa unanunua kiwanja unaonyeshwa wapi shule wapi kiwanja cha michezo wapi msikiti na wapi kanisa so sijui kama mtoa mada upo kwenye viwanja vilivyopimwa kabla ya kujengwa.
Mi naona suluhu ni kuhama au kuongea na waislam walio mbali na nyumba ya ibada wanunue yako ukajenge pugu kajiungeni huu ni ushauri tu kwako kama hujaileta thread hii kidini mimi nimekua home kwetu tumetenganishwa na nyumba mbili na msikiti wala sioni hatari halafu kipindi cha minuso ya maulid na harusi nazama kupiga mpunga hata misibani nimechil mara kibao na ndugu zangu waislam kiasi kwamba huniona mwenzao tukiwa tunasherehe tunawaalika na wanakuja kitu pekee ambacho kamwe hatujawahi fanya na tulifundishwa na wazee wetu ni kutokuwakaribisha chochote ambacho ni haramu kwao
Maisha yanasonga bila woga.Binadamu tunatakiwa kuvumiliana sio kila ufanyacho mwenzako anapenda, hata mtaani yeyote aliyekuwa anashughuli inayohusisha ngoma au mziki na maanisha chochote kitakacholeta usumbufu basi mwenye shughuli huomba radhi na kututaarifu huo usumbufu wa usiku unaokuja.
 
Mimi naona the best way, ni Serkali itoe WARAKA MAALUM kwa dini zote namna ya kuendesha shughuli zao za ibada zisisumbue watu mfano kuweka spika nje kwa sauti zinzongea habari za dini the whole day au kuweka spika kwa sauti kubwa kila siku ndani ya ibada na kusumbua wengine. Alternatively, Serikali itenge eneo maalum kwa ujenzi wa nyumba za ibada sehemu ambazo ni pembezoni ili kuwapa uhuru wa kuendesha ibada bila kusumbua wengine
 
Tanzania hakupatikani maendeleo kwa sababu kila mwenye power ndogo tu anaitumia vibaya power yake na wale wanaoonewa huwa wanakuwa kimya.

Uhuru wa kuabudu upo na unatakiwa uruhusiwe lakini isiwe kero kwa wengine.

Misikiti haina haja ya kutumia vipaza sauti alfajiri (sidhani kama sauti ya mdomo itakuwa kero) na wale wa makanisani wanaofanya mikesha wahakikishe sauti haitoki nje.

Iwapo hao viongozi hawaelewi dhana hii, wafunguliwe mashitaka kwenye vyombo husika.
 
Serikali ni ya sheikh kikwete...haki itatendeka?............km mafisadi wanakula raha na kikwete wakati vyombo vya sheria vipo unadhani kakesi kako ka kelele za msikiti katasikilizwa?......labda uwe mmoja wa mafisadi...........

Solution: Waambie ukweli wapunguze sauti isiwe ya juu km ilivyo kwa kuwatumia viongozi wa serikali y mtaa wao la sivyo hawa watu wana hasira na ni wanyama wasije kukufanyia yale mambo ya mombasa au wakajitolea mhanga na kukuangamiza wewe na familia yako
 
Waislam pamoja na allah wao wameonyesha kuwa wao si wastaarab kabisa. Allah wao amekuwa mstari wa mbele kulazimisha watu wamswalie tena kwa bakora kule kweye mad-rassa.

Mwenye akili timamu anajuwa kuwa KIBAYA CHAJITEMEBEZA tena kwa kupiga swalaaa alfajir, lakini KIZURI CHAJIUZA CHENYEWE, bila ya kulazimishana.

Hii HAPANA, TENA HAPANA KABISA.
 
........... Hiyo njia ukiipata na mie itanisaidia ! Kuna kanisa jirani yangu linaitwa "wapo" kila ijumaa kuanzia saa nne usiku linamwagwa sebene mpaka asubuhi, ukizingatia kanisa lenyewe wameezeka mabati tu juu ili wasinyeshewe na mvua ! Pia alipoona mgao wadowans unamzingua kafunga kinu kikubwa kweli cha kufua umeme, ili aliendeleze libeneke! Bora wewe unaamshwa, sie hatulali kabisaaaaa !!!!!:crying:


mkuu hata kwetu wapo hao pia. Ni sebene hadi kunakucha, siku hizi wanapigilia suruali za kitambaa panapana, mashati ya kung'aa na moka nyeupe. Kazi ipo
 
Ila jamani tuacheni na ushabiki wa dini zetu, haya mambo yanakera kweli.
Mwanzoni nilikua nimepanga jirani na kanisa moja ilikuwa balaa waumini walikua kama 20 hivi lakini hizo kelele zao jumapili na wakiwa na mkesha ilikuwa hapakaliki wala kulalika.
Nikahamia ktk kibanda changu nyumba ya nyuma ni msikiti na opposit yangu kuna akinadada wamefungua grosare yaani natamani kupasuka kabisa.
Usingizi mtamu wa alfajiri mwenzenu nilisha usahau, zile spika za azana utazani zimeelekezwa kwangu, huku grosare wikiendi ni balaa mziki, fujo za walevi nk, nikaona huu ubwege mimi na jirani yangu tukaamua kuwakomalia wenye grosare tumepelekana hadi kwa wajumbe sijui m/k wa serikali za mtaa, angalau wamepigwa stop kufungua mziki mkubwa lakini mtaani ndio tunaonekana wanoko.
Jamani ibada zetu na starehe zetu sidhani kama ni haki kubughudhi wengine
 
Hii isue huyu prezda alo anzisha ya "udini" sijui ataizima ama kuisort vipi.... ukichungulia kwa makini sana kila mahala uaningia kuna kaarufu hata kama ni ka mbali ka mambo ya udini.
 
........... zile SEBENE za PROMOTION kama kampuni za SIMU za kina Mwaitege, Flora Mbasha na Rose Mhando ....... sijui Chidumule na kina nanihii ! unazionaje !? YESU anafanyiwa MATAMASHA na UZINDUZI !

enyi watu wote pigeni makofi enyiwatu wote pigeni makoofi mwimbieni bwana mungu wenu kwa vifijo na vigeregere...............................................
 
Wewe naona utakuwa na mwisho mbaya katika maisha yako na usipotubu kwa M/Mungu Allah utakuwa mwenye kuangamia,..... mark my words.

ukishatubu kwa allah kiama kinakuangukia saa hiyohiyo, tazama: viongozi wa iraq, sudan kaskazini, palestin, syria, tunisia, pakistan, afganistan,,taleban, idi amin dadaa: jibu unalomwenyewe- hakuna neema hapo. Shauri yako, endelea kujiandaa na kuingia kwenye kiama.
 
ukiwashitaki ukashinda kesi wataona wameonewa kwa kuwa wao ni waislamu na wanahisi hawapendwi na serikali. Ikiwezekana hicho kibanda muuzie shehe uhamie sehemu nyingine kuepusha shari. Hawa ndugu zetu inabidi tuishi nao kwa akili sana mpaka pale watakapoelimika. Waislam walioelimika hawana shida - they are understanding. SHida ni wale ambao "elimu dunia" imekaa kushoto - na hawa ndo wengi katika uongozi wao na wana sauti kubwa mno
 
Hivi kwanini ibada ya mtu iwe adha kwa mwengine? Serikali inahitaji kufanya kitu hapo, na kama haifanyi, wananchi wachache watakapochukua hatua huenda tukapata afueni kidogo.
Kwa hiyo unamshauri yeye na wenzake wachache wabomoe msikiti?
 
Rwanda walipata suruhu ya jambo hili kwa kuwalazimisha woteeeeeeeee walioweka vipaza sauti vyao kwenye nyumba za ibada nje kuviondoa na kila kitu kifanyike ndani kwa ndani na game likaisha.
Hapa viongozi wetu ni wavunja sheria wao. Wanaapa kuilinda katiba na wanaivunja mara hakisha shusha mkono chini. Wanajifanya waumini na wakeleketwa wa dini lakini mijizi mikubwa. Sisi tuna Kilio cha samaki machozi yake hayaonekani!
 
Wana jf, mimi siko vizuri sana na sheria naombeni ushauri kama inawezekana nikawashtaki viongozi wa msikiti ulio jirani na nyumbani kwangu maana kila ikikaribia saa kumi na moja alfajiri wanatoa sauti kubwa kwa kipaza sauti, ambayo huwa inanisababishia usumbufu mkubwa nikiwa nimelala kiasi kwamba nimeanza kufikiria kuuza kibanda changu ili kuepuka huu usumbufu, kabla sijakimbia nataka nijue kama naweza kushtaki mahakamani ili waache kufanya hivyo. Je naweza kuwashtaki? niya yangu si fidia nataka court injunction wasiendelee na huo utaratibu.


Kuna jamaa aliwaambia hao viongozi wa msikiti mnatupigia kelele maeneo ya Tandale,,wakamjibu ok hutazisikia tena,,,,next day jamaa akawa ameaga dunia so be careful...,jamaa kwa albadil. Ni hayo tu.
 
Kijana how old are u kwani unaupeo mdogo wa kufikiri uislamu utasimama mirere anda mana hadi mbinguni adela
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom