Nape Nnauye atajwa kuandaliwa kuwa Katibu Mkuu CCM

sio kila mgonjwa aliye ICU lazima afe nawatakia kila la kheri ccm katika kujipanga upya ila je dawa mtumiazo zitawaokoa na mabadiliko makubwa yajayo 2014-2015?
 
Pasco unaniaacha hoiii sana,yaani unanikumbusha kabla ya uchaguzi wa 2005 jinsi mkurugenzi wa sasa wa mawasiliano ikulu jinsi alivyokuwa anapiga debe juu na kuwachafua wagombea wengine ndani ya chama chao,kumbe yooote ni ahadi ya kupewa ulaji pale nyumba kubwa nyeupe.
!!!
Nijuavyo mimi, kufuatia nguvu ya mgombea wangu ndani ya chama, huyu kijana anapigwa chini jumla!.
 
Nape Jipange uje upangue hii Hoja hapa JF..... au kwasababu imekupa cheo utaipotezea....fanya kama ile ya Kinana:A S 39:
 
lowassa awe mwenyekiti afu katibu awe nape daah mbona itakua raha huko ccm kutakalika kweli?
 
Gazeti la RAI toleo la leo limeripoti habari linazodai ni za uhakika na kutoka ndani ya chanzo cha uhakika kwamba Katibu wa Itikadi na uenezi CCM Nape Nnauye anaandaliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM kuchukua nafasi ya Willson Mukama.

Pia Dr Asha-Rose Migiro inadaiwa atateuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kuchukua nafasi ya Mzee Pius Msekwa.

Nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi anatarajiwa kuwa William Ngeleja Mbunge wa Sengerema na aliyewahi kuwa waziri wa Nishati na Madini.

Ukweli wa taarifa hizi unaonekana ni wa uhakika kwa sababu Nape Nnauye na Asha Migiro hawajagombea ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM.


Mtaendelea kuwa na hisia mpaka mnaingia kaburini. CCM inawaumiza sana vichwa cdm hamuwezi kukaa kupitisha hata siku moja bila kuitaja, hicho ndicho chama tawala na chama dume. Na siku zote mti wenye matunda ndio unao popolewa nawe.
 
huyo mwenyekit wao akili ndogo inatawala akil kubwa,au ndo anapanga akiondoka na magamba yote yaporomoke!!!
maana kwa mwendo huu,ccm kushiney,wapinzani jipangeni kuchukua dola!
familia ya kikwete imekuwa familia bora kati ya magamba wote,maana wametoa wajumbe wa3.
 
Mtaendelea kuwa na hisia mpaka mnaingia kaburini. CCM inawaumiza sana vichwa cdm hamuwezi kukaa kupitisha hata siku moja bila kuitaja, hicho ndicho chama tawala na chama dume. Na siku zote mti wenye matunda ndio unao popolewa nawe.

Ukiwa mjinga bwana! Sasa CDM ina uhusiano gani na hii habari iliyopakuliwa na gazeti la Kada wa CCM la RAI.Inaonyesha wewe na genge lako ndiyo mnaokaa kila siku kuiwaza CDM.
 
Why Dr. Migiro lost her UN job | Vox Media | Get Informed, Inform others
Gazeti la RAI toleo la leo limeripoti habari linazodai ni za uhakika na kutoka ndani ya chanzo cha uhakika kwamba Katibu wa Itikadi na uenezi CCM Nape Nnauye anaandaliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM kuchukua nafasi ya Willson Mukama.

Pia Dr Asha-Rose Migiro inadaiwa atateuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kuchukua nafasi ya Mzee Pius Msekwa.

Nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi anatarajiwa kuwa William Ngeleja Mbunge wa Sengerema na aliyewahi kuwa waziri wa Nishati na Madini.

Ukweli wa taarifa hizi unaonekana ni wa uhakika kwa sababu Nape Nnauye na Asha Migiro hawajagombea ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM.
 
Why Dr. Migiro lost her UN job

Posted on July 11, 2012 by VoxMedia

Barely a week after the immediate former Deputy Secretary-General, Dr. Asha Rose Migiro returned to Tanzania after serving a five-year term at the helm of the world body, sources within the UN have hinted that poor performance and failure to fit "in the diverse and complicated body" were some of the reasons she was refused a contract renewal.
"The position of the Deputy Secretary-General is complicated and demanding; it requires somebody who is experienced to efficiently run the Secretariat. Her biggest challenge was not understanding the politics at the world body and creating alliances," the source told Vox Media in a telephone conversation.
Dr. Migiro is understood to have approached the African Group, comprising 28 percent of all UN members, to ask for help in lobbying for her re-appointment, but her quest was rejected.
"She wasn't popular amongst diplomats; so nobody listened to her. You should also recall that her appointment was widely criticized."
In Dar es Salaam, a former senior ruling party secretariat member who worked closely with her in the same team before she assumed the UN post said her appointment was influenced by her personal relationship with President Jakaya Kikwete.
It is understood that President Kikwete and UN Secretary-General Ban Ki-moon cultivated a close relationship when serving as foreign ministers for their respective governments.
When it came for Ban Ki-moon to canvass for votes toward his UN bid, Tanzania's vote was predominant; Dr. Migiro was apparently battered with Kikwete's vote.
But when Ban Ki-Moon recently decided to review his entire team in a bid to control growing criticism of his team, Dr. Migiro had to go for "poor performance and lack of experience required of staff with the top UN mandate."[QUOTE=GeniusBrain;4704994]Mtaendelea kuwa na hisia mpaka mnaingia kaburini. CCM inawaumiza sana vichwa cdm hamuwezi kukaa kupitisha hata siku moja bila kuitaja, hicho ndicho chama tawala na chama dume. Na siku zote mti wenye matunda ndio unao popolewa nawe.[/QUOTE]
 
Mwe ccm yangu imekwisha bora hata wangemrudisha katibu wa mkapa duuu nape!???
 
Nape baada ya kusalitiwa na aliyemtuma akawavue gamba mapacha watatu, kilichobaki ni yeye kuvuliwa gamba. LA kamwe hatamwacha huyu dogo chamani.
.
 
Tunakushukuru sana mkuu kwa taarifa zako makini.Hii kweli ni JF.
 
Sina muda wa kuongelea chama kilichopoteza mweleke, wanahubiri ujamaa lakini wanaishi ubepari.
 
Back
Top Bottom