AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Hamna haja ya kubali uongozi kwani kamanda mukama anafaa sana na amekuwa tishio kwa CHADEMA kwa miaka mingi.
Teh teh teh teh teh teh teh..........!
Teh teh teh teh teh teh teh..........!
Hamna haja ya kubali uongozi kwani kamanda mukama anafaa sana na amekuwa tishio kwa CHADEMA kwa miaka mingi.
Teh teh teh teh teh teh teh..........!
William Ngeleja ... from a minister to a 'rumour monger'
Kanuni iliyojificha ndani ya TEUZI za CCM ya kuzingatia kigezo cha DINI hakimpi nafasi Dr ASHA-Rose Migiro kuwa makamu wa mwenyekiti kwa kuwa mwenyekiti ni MUislaam na Makamu mwingine atakayetoka Zanzibar atakuwa Mwislaam pia pamoja na kwamba Dr Asha kaolewa na "KAFFIR" Migiro.
Molemo,CUF bana..! Ni lazima mtu wa hiki chama akijadili kitu azungumzie Udini.
Molemo,
Hiyo kanuni CCM wanayo. Pasco anaiita "silent code". JK ameitumia sana hii kwenye teuzi zake isipokuwa juzi alishindwa kwa uteuzi wa Chief of Staff wa JWTZ.
Molemo,
Hiyo kanuni CCM wanayo. Pasco anaiita "silent code". JK ameitumia sana hii kwenye teuzi zake isipokuwa juzi alishindwa kwa uteuzi wa Chief of Staff wa JWTZ.