Hili ni bandiko la September, 2012.Nijuavyo mimi, nguvu ya ndani ya chama, huyu kijana anapigwa chini jumla!.
Tafakuri tuu.Na wanaomsapoti Nape wanadai anapotezwa jumla
Naunga mkono hoja.Mimi ningependa kuona nape nnauye anakabidhiwa kazi ya katibu mkuu wa ccm.
Karma, hainaga mswalie Mtume.Nape baada ya kusalitiwa na aliyemtuma akawavue gamba mapacha watatu, kilichobaki ni yeye kuvuliwa gamba. LA kamwe hatamwacha huyu dogo chamani.
Kazi kweli kweli.Nijuavyo mimi, kufuatia nguvu ya mgombea wangu ndani ya chama, huyu kijana anapigwa chini jumla!.