Albedo. Nikushukuru sana kwa maneno ya busara na ya kiutu uzima uliyoyatoa hapo juu. Pili nishirikiane nawe kulani kauli ya kibaguzi iliyotolewa na huyu bwana mdogo. Mimi si mchagga lakini nimeumia kuona kuna "viongozi" wanashabikia ukabila. Watanzania tulaani kauli za kipumbavu za namna hii.