Kwanza Kabisa nikiri kwamba Sifahamu Kabila la Nape Nnauye, silifahamu kwa Sababu hata siku moja sikuwahi kufikiri kwamba Kabila la Mtu laweza kuwa Kigezo cha Mtu kuongoza au Kujiunga na Chama au Kuajiriwa na Taasisi
Nape Ametukana Wachagga
1: Kwamba Wachaga siyo watu wa Kuchangama nao ndio maana Hakujiunga CHADEMA kwa sababu aliamini ni Chama cha WACHAGGA.
2. Kwamba Ili Uwe CCM ni Lazima kwanza Usiwe Mchagga, kwamba Wachaga wa CCM wanajipendekeza
Hayo ni Maneno yaliyotoka Kinywani Mwa Kiongozi wa Juu wa CCM ( Chama kinachotawala) Ambaye Mwenyekiti wake alsema kwamba Linasemwa na Nape ni Lake ( yeye Mwenyekiti)
Nape Unaweza kuja clear na Kueleza ni nini Hasa hawa Watanzania Wenzetu wamekukosea?
Je WACHAGGA wakiamua Kurevenge Utaweza kweli kuhimili?
Je huna Mpango wa Kwenda Moshi kuvua Magamba Chama Chako?
Je Uko Tayari Kuwaomba radhi WACHAGGA wote?
Pole Nape Vita uliyoianzisha unaifanya kuwa Ngumu sana
Nape Nape Nape kumbe jitihada zote za kupigana vita uliyoiita ya "UFISADI" wewe ni KILAZA kiwango hiki. Kweli Chama cha majambazi kina "wachumia tumbo" tu. Pooleee wewe!!!!!!! Jamani akikanyaga huko mpeni haki yake.