....Amewaomba polisi wamuombe Dr Slaa ushahidi kuwa CCM wameingiza silaha kwa ajili ya vijana wao waliopo makambini, akiri kuwa uwa CCM uwa wanawaweka vijana makambini kujadili mambo mbalimbali.
....Asema CHADEMA wamepanga kujifanyia fujo kwenye mkutano wao utakaofanyika Morogoro mjini.
My take:
Hivi itawezekanaje wewe kujifanyia fujo kwenye mkutano wako mwenyewe?
Source: ITV
Sikuwa nafahamu kwamba Polisi wanafanya kazi kwa kuamriwa na CCM na Nape wao! Maelezo mazima ya Nape yanaashiria mtu mchovu, aliyekata tamaa na kuchanganyikiwa kwa kuona CHADEMA wanagundua hila zao kila wanapozipanga. Anakanusha kitu gani na anakiri kitu gani? Ana akili kweli huyu? Hao vijana wanaosemwa na DR. Slaa wanafahamika na kila mtu kasoro Nape (?) na fujo zao ziko documented na zinaeleweka za karibuni zikiwa kule jimboni kwa Mwigulu walikovamia mkutano halali wa CHADEMA na kusababisha fujo zilizosababisha kifo na majeruhi ambapo serikali "Sikivu" yenye jeshi lenye weledi na intelijensia za kutosha imeshindwa kabisa kupeleleza na kupata chanzo cha fujo zile! Shame on you Nape and your worn, delapidated and outdated CCM! History will judge you all.....Amewaomba polisi wamuombe Dr Slaa ushahidi kuwa CCM wameingiza silaha kwa ajili ya vijana wao waliopo makambini, akiri kuwa uwa CCM uwa wanawaweka vijana makambini kujadili mambo mbalimbali. Asema CHADEMA wamepanga kujifanyia fujo kwenye mkutano wao utakaofanyika Morogoro mjini.
Katika hili la kuchimba barabara hivi na kuhatarisha maisha ya ambao wangepita na magari maeneo haya, Serikali lazima ichukue hatua bila kujali ni nani wangepita hapo. Haipandi akilini kuona Serikali imenyamaza katika hili, ama nalo linaundiwa tume? Maisha ya watu yamehatarishwa, wahusika lazima watafutwe na sheria ichukue mkondo wake. Tukilinyamazia hili, hakika tunaweza shuhudia watu wanahujumiwa hata kupoteza maisha kwa kisingizio ni wa UPINZANI, jamani UTU na UTANZANIA UTANGULIE KATIKA HAYA YOTE, nitafurahi Kmati ya Usalama ya Mkoa ikishughulikia hili.
Jitihada za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) za kuwafikia wanachi ili kunadi sera zake, hususan katika mikutano inayoendelea katika mkoa wa Morogoro, zilikumbana na vikwazo mbali mbali katika baadhi ya maeneo, kama inavyoonyesha pichani, mtaro uliochimbwa katika barabara ya kuingia kijiji cha Namgezi kitongoji cha Kambi ya Keya jimbo la Ulanga Mashariki, kwa lengo la kuzuia magari yasipite.Picha na Joseph Senga
source: www.hakingowi.com
Poor boy!
my majesty mr. Queen sir,
horrible ministers and members of parliament, invented guests, ladies under gentlemen.
I hereby thank you completely ..mr. Queen, sir; and also what he has done for me and my fellow uganda who come with me.
We have really eaten very much. And we are fed up completely:
And also very thanks to you keenly open up from all windows:
So that those plenty climates can come into lunch. But before i go back to my country with a plane from the entebbe airport of london i wish to invitation you mr. Queen, to become home to uganda so that we can also revenge on you .
You will eat a full cow: And also feel up your stomach and walk with difficult because of full stomach completely.
Even when you want to rest at night; i will make sure that you sleep on top of me in the top up stairs of my mansion completely so that you can enjoy all the gravity of fresh air.
but now am sorry because i have to tell you that i have made a short call on you only. But next time i shall make a long call
on you to last the whole moon completely. Thank you very much to allow me to undress you completely before these extinguished
ladies under gentlemen sir.
Lastly but not list, i ask the band to play our international anthem of the republic of uganda and also the british international anthem your majesty sir, i thank you from the bottom of my heart and from the bottoms of all the people of uganda .
With this few words i thank you sir.
By idd amin
Nape Naona Uzee Umekuja Mapema sana
Ngoja nilale manake nimecheka hadi basi hivi queen aliambulia kitu kweli jamani Iddi Amin alikuwa anajidai na broken english yake
nahisi kama umetuibia chenji hivi........................ Je hii ni kweli?