Steven Robert Masatu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2009
- 2,458
- 1,821
chadema wajifanyie fujo/!!!!!!!!!!!!!!! nilikuwa naangalie habari ya itv apa kwangu na wanangu wa miaka minne na nusu yani baada ya nape kutamka tuu kwamba kuna taarifa wamezipata kwamba chadema wanataka kujifanyia fujo kwenye mkutano wao, niemabulia maswali matatu magumu kutoka kwa mwanagu...
1 baba chadema ni nan, na huyu anayeongea kwenye tv sasa hivi ni nani?
2 hivi baba unaweza kutoboa ndoo ili mama asiende kuteka maji yako ya kesho kuoga ili uende kazini?
3 ccm ni nini?
wanajamvi naomba mnisaidie kumjibu huyu mtoto.
1 baba chadema ni nan, na huyu anayeongea kwenye tv sasa hivi ni nani?
2 hivi baba unaweza kutoboa ndoo ili mama asiende kuteka maji yako ya kesho kuoga ili uende kazini?
3 ccm ni nini?
wanajamvi naomba mnisaidie kumjibu huyu mtoto.