Kama umeangalia vyombo vya habari, NAPE kasema kapata taarifa kuwa CHADEMA wamepanga kufanya fujo kwenye nkutano wao wenyewe morogoro mjini. Swala la kujiuliza, inawezekana kweli mkafanya fujo kwenye mkutano wenu wenyewe kama kweli siyo vichaa. NAPE are you serious with this?.
Leo Mapema Dk Slaa alisema kuwa CCM wametuma vijana kati ya 10-20 ili wafanye fujo kwenye mkutano wa CHADEMA huku wakiwa wamevaa magwanda yanayofanana na ya CHADEMA ili ionekane ni CHADEMA wamehusika. Kwa haya maneno ya NAPE inaonekana intelijensia ya CHADEMA iko makini
Nepi ya mavi ni bonge la tahira hacha wamtumie vibaya mkama anajifacha kasoma alama za nyakati,anajua mwisho wake ngoja yeye mwisho wake atauona sijawai kijana primitive kama nape anadhani siasa za propaganda zitaiokoa ccm dokta slaa huwa haropoki ******we na ukoo wako nape.
inaonekana unamuogopa sana Nape, amewashika pabaya CDM, na bado, utatukana mpaka utakula ban.Magamba wanafanya uchaguzi mwaka huu, na tunategemea nape asiwemo kwenye sekretatriete ijayo, nafasi zote za wakuu wa wilaya zimejazwa, baada ya uchaguzi chama kitashikwa na Lowasa, Rostam, chenge na wapambe wao, je Nepi hiyo ya mavi ina pa kutokea?
wewe ndy kabisaaaa hujielewi bora hata huyo NapeWewe nawe unafikiri kwa kutumia (ban) huwezi ona nani mkweli hapo CCM ni chama Dume hakiwezi salandia mikutano ya mabinti CDM
Kwa kauli hii ya NEPI kwa yaliyotokea leo 27.08.2012 Moro yalipangwa na CCM kwani hawa jamaa huwa hawawezi kukaa na kitu moyoni ndo maana akaropoka akimaanisha fujo zitatokea.....Amewaomba polisi wamuombe Dr Slaa ushahidi kuwa CCM wameingiza silaha kwa ajili ya vijana wao waliopo makambini, akiri kuwa uwa CCM uwa wanawaweka vijana makambini kujadili mambo mbalimbali.
....Asema CHADEMA wamepanga kujifanyia fujo kwenye mkutano wao utakaofanyika Morogoro mjini.
My take:
Hivi itawezekanaje wewe kujifanyia fujo kwenye mkutano wako mwenyewe?
Source: ITV