Mtuhurumawazo
Senior Member
- May 19, 2012
- 146
- 27
Chadema wajifanjie furo, NAPE umezidi kutumia masaburi, tafakari kabla ya kuongea wewe ni kijana usituaibishe.
Cha msingi sio kukimbilia mahakama wala polisi. Ila ni aina ya siasa. Tunakubari kwa wingi wa porojo, sasa mnavutia wananchi wengi, na ukweli mnapata washabiki wengi. Ila sasa, mkue, muache siasa za maji taka, muanze siasa zilizo komaa. elezeni sera zenu na mkubalike kwa sera, sio kwa visingizio visivyo na ukweli. Muache kuropoka.Waambie policcm wakamkamate/wakamhoji Dr. Slaa kuhusu hii tuhuma kama wanajiamini.
Mmemsusia chama chenu nape kwakuwa ni vuvuzela yeye ni kupiga kelele tuuu bila mpangilio.
Jitihada za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) za kuwafikia wanachi ili kunadi sera zake, hususan katika mikutano inayoendelea katika mkoa wa Morogoro, zilikumbana na vikwazo mbali mbali katika baadhi ya maeneo, kama inavyoonyesha pichani, mtaro uliochimbwa katika barabara ya kuingia kijiji cha Namgezi kitongoji cha Kambi ya Keya jimbo la Ulanga Mashariki, kwa lengo la kuzuia magari yasipite.Picha na Joseph Senga
source: www.hakingowie.com
Nimechukizwa na kauli ya kusema dk anazeeka vibaya,. Nape jaribu kua na adabu hata kama ccm hamweshimiani ila mnaogopa,. Dk mpe heshima yake
Nape amewehuka anaropoka ropoka kama mwanamke aliye fumaniwa
kama nape angekuwa mwanangu, ningebadilisha kwa gunia,la,ukwaju watu wanywe uji. Tabwe hiza kajizaa kabisa.
....Amewaomba polisi wamuombe Dr Slaa ushahidi kuwa CCM wameingiza silaha kwa ajili ya vijana wao waliopo makambini, akiri kuwa uwa CCM uwa wanawaweka vijana makambini kujadili mambo mbalimbali. Asema CHADEMA wamepanga kujifanyia fujo kwenye mkutano wao utakaofanyika Morogoro mjini.
My take:
Hivi itawezekanaje wewe kujifanyia fujo kwenye mkutano wako mwenyewe?
Source: ITV