Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,733
- 39,836
Unaweza kuingia fast.com ama speedtest.net ukapima download, upload na ping speedIko vizuri sana mkuu.
Unaweza kuingia fast.com ama speedtest.net ukapima download, upload na ping speedIko vizuri sana mkuu.
Unaweza kuingia fast.com ama speedtest.net ukapima download, upload na ping speed
Shukrani kwa mrejeshoIko vizuri sana mkuu.
hii adsl niliendaga ttcl wakaniambia zinapatikana kuanzia mjini hadi sinza na ubungo wakanimbia kimara na mbezi ilikuwepo ila walikua wanaiba vifaa nyeti so option iliyokuwepo ni fiber na bei yake ni ndefuAdsl mkuu, maana siku hizi wameshusha bei mpaka 25,000 ndio sisi walalahoi tunaponea humo.
Adsl ni tech ya zamani, Kimara na mbezi ni miji mipya pengine ndio maana miundombinu si mizuri.hii adsl niliendaga ttcl wakaniambia zinapatikana kuanzia mjini hadi sinza na ubungo wakanimbia kimara na mbezi ilikuwepo ila walikua wanaiba vifaa nyeti so option iliyokuwepo ni fiber na bei yake ni ndefu