DIKASHWA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 376
- 953
Wataalamu wa kodi za magari naomba nieleweshwe kidogo juu ya hotuba ya Jana ya mawasilisho ya budget ya serikali kwa mwaka 2023 /2024.
Moja wapo ya kipengele ni magari yanayotumia umeme na gesi kusamehewa kodi
Pili kuna hii ya magari yenye kuanzia 1000 cc hadi 2000cc kutozwa ushuru wa 5% na 2000c ushuru 10% je waziri alimaanisha nini hapa.
Je, ni kodi mpya imeongezwa kwa aliyeagiza gari au kodi iliyokuwepo imepunguzwa. Na kama imeongezeka je inaashiria magari ya kuagiza yatapanda bei au kama imepinguzwa kwa 5% bei ya VAT kwenye mkeka wa TRA kwenye calculator yao itapunguza gari kodi?
Moja wapo ya kipengele ni magari yanayotumia umeme na gesi kusamehewa kodi
Pili kuna hii ya magari yenye kuanzia 1000 cc hadi 2000cc kutozwa ushuru wa 5% na 2000c ushuru 10% je waziri alimaanisha nini hapa.
Je, ni kodi mpya imeongezwa kwa aliyeagiza gari au kodi iliyokuwepo imepunguzwa. Na kama imeongezeka je inaashiria magari ya kuagiza yatapanda bei au kama imepinguzwa kwa 5% bei ya VAT kwenye mkeka wa TRA kwenye calculator yao itapunguza gari kodi?