Rais Samia ushauri wangu kwenye kodi ya magari

ndoto2020

JF-Expert Member
Feb 25, 2017
203
315
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Mwigulu Nchemba, Naomba kutoa ushauri wangu kwenye ushuru wa magari.
  1. Nimeona ushuru wa magari unazidi kuongezeka, Mhe Rais/Waziri wa fedha dunia inabadilika kwa haraka sana, Magari ya kutumia umeme EV yanakuja kwa haraka sana na ni jambo lisilozuilika kwa hiyo ni kupindi sahihi cha kuchukua hatua za kuchochea matumizi ya magari Tanzania, PUNGUZA SANA KODI, je utafidiaje hiyo Gap?

  2. Punguza kodi kwa nusu gari liwe 30% tu ya CIF , ili kuongeza idadi ya magari yatayoagizwa nje mara tatu zaidi na serikali itapata hela zaidi kwenye regstration, renew na kwenye kodi ya mafuta, vipuri vitaagizwa sana mara tatu zaidi, utatengeneza ajira ya mafundi mara tatu zaidi.

  3. Ushuru uruhusiwe kulipwa kwa awamu kwa makampuni, taasisi na biashara zilizosajiliwa rasmi, wafanyakazi wa umma, wa makampuni, wafanyabiashara wenye 3 yrs tax clearance wawe wanalipa asilimia 40 akiagiza gari iliyobaki aweze kulipa kidogo kidogo kwa mwaka mzima au miwili. KWANINI ILI KUCHOCHEA WATU KUAGIZA MAGARI SANA KABLA HAYA MAGARI YA MAFUTA HAYAJAONDOLEWA SOKONI.

  4. Kupunguza sana ushuru wa mabasi, malori na magari ya Biashara, Haya ni magari yanayotumia mafuta mengi sana kwa siku na ndo magari yanayoagiza sana vipuri Serikali itafidia kwa kuchukua ushuri mkubwa wa mafuta na vipuri na pia itachochea sana ajira nyingi sana kwa wingi. Inamaana gas stations zitaongezeka sana na zitalipa sana kodi, malori ya kusafirisha hayo mafuta mikoani yataongezeka sana, KODI YA MATAIRI IONGEZEKE SANA KUFIDIA GAP

  5. Ruhusu magari ya zamani kuanzia mwaka 1990 kusiwe na uchakavu, MAANA YAKE YAKE watu wengi sana watamiliki magari na akishamiliki gari atanunua mafuta na atanunua vipuri atalipia insuarance , atarenew licence na motor vehicle serikali itapata hela sana na usafiri utashuka sana huko vijijini

  6. Mwisho turasilishe mikopo ya magari yaani kuwe na credit bureau ili wauza magari wawe na uhusiano na mabenki watu wawe wanakopa kama tunavyokopa huku nje ili kila mtu aweze kumiliki gari

    Mfano: Tanzania tuna magari milioni 1 laki 6 tu na tupo millioni 62 Canada ina watu millioni 36 wana magari millioni 67 mara 7 ya magari yote ya East Africa. kwa nini kwa sababu tajiri anakopa la level yake analipa kwa miaka 6 na masikini anakopa la level yake kwa muda mfupi na kuna mbulula wanachukua used hoi kabisa kwa cash ila serikali inafaidi sana knye ku renew licence plates , Driving livence na mafuta

HAKIKA ITACHOCHEA UCHUMI MNO
 
Sasa gari zizidi kwa roads zipi uwoni mwendo kasi imekula roads nyingi mjini foleni tu MI naona zipigwe nyundo tu
Zitasambaaa mikoani na foleni kubwa kwa sababu wote tumejaa mjini, itakuwa mtu anapacki gari ngerengere anakuja na treni town, jioni anarudi ngerengere anachukua gari yake anaingia huko ndani ndani
 
Mh Rais Samia Suluhu Hassan, Mwigulu Nchemba , Naomba kutoa ushauri wangu kwenye ushuru wa magari.
1. Nimeona ushuru wa magari unazidi kuongezeka , Mhe Rais/Waziri wa fedha dunia inabadilika kwa haraka sana, Magari ya kutumia umeme EV yanakuja kwa haraka sana na ni jambo lisilozuilika kwa hiyo ni kuipindi sahihi cha kuchukua hatua za kuchochea matumizi ya magari Tanzania, PUNGUZA SANA KODI , je utafidiaje hiyo Gap?
1. Punguza kodi kwa nusu gari liwe 30% tu ya CIF , ili kuongeza idadi ya magari yatayoagizwa nje mara tatu zaidi na serikali itapata hela zaidi knye regstration , renew na knye kodi ya mafuta , vipuri vitaagizwa sana mara tatu zaidi, utatengeneza ajira ya mafundi mara tatu zaidi.
2. Ushuru uruhusiwe kulipwa kwa awamu kwa makampuni, taasisi na biashara zilizosajiliwa rasmi, wafanyakazi wa umma, wa makampuni , wafanyabiashara wenye 3 yrs tax clearance wawe wanalipa asilimia 40 akiagiza gari iliyobaki aweze kulipa kidogo kidogo kwa mwaka mzima au miwili. KWANINI ILI KUCHOCHEA WATU KUAGIZA MAGARI SANA KABLA HAYA MAGARI YA MAFUTA HAYAJAONDOLEWA SOKONI.
3. Kupunguza sana ushuru wa mabasi , malori na magari ya Biashara, Haya ni magari yanayotumia mafuta mengi sana kwa siku na ndo magari yanayoagiza sana vipuri serikali itafidia kwa kuchukua ushuri mkubwa wa mafuta na vipuri na pia itachochea sana ajiri nyingi sana kwa wingi. inamaana gas stations zitaongezeka sana na zitalipa sana kodi, malori ya kusafirisha hayo mafuta mikoani yataongezeka sana, KODI YA MATAIRI IONGEZEKE SANA KUFIDIA GAP
4. Ruhuhu magari ya zamani kuanzia mwaka 1990 kusiwe na uchakavu, MAANA YAKE YAKE watu wengi sana watamiliki magari na akishamiliki gari atanunua mafuta na atanunua vipuri ata lipia insuarance , atarenew licence na motor vehicle serikali itapata hela sana na usafiri utashuka sana huko vijijini
5. Mwisho turasilishe mikopo ya magari yaani kuwe na credit bureau ili wauza magari wawe na uhusiano na mabenki watu wawe wanakopa kama tunavyokopa huku nje ili kila mtu aweze kumiliki gari

Mfano: Tanzania tuna magari milioni 1 laki 6 tu na tupo millioni 62 Canada ina watu millioni 36 wana magari millioni 67 mara 7 ya magari yote ya East Africa. kwa nini kwa sababu tajiri anakopa la level yake analipa kwa miaka 6 na masikini anakopa la level yake kwa muda mfupi na kuna mbulula wanachukua used hoi kabisa kwa cash ila serikali inafaidi sana knye ku renew licence plates , Driving livence na mafuta

HAKIKA ITACHOCHEA UCHUMI MNO
Usafiri ni HITAJI muhimu sana na Sio Anasa. Nakuunga mkono
 
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Mwigulu Nchemba, Naomba kutoa ushauri wangu kwenye ushuru wa magari.
  1. Nimeona ushuru wa magari unazidi kuongezeka, Mhe Rais/Waziri wa fedha dunia inabadilika kwa haraka sana, Magari ya kutumia umeme EV yanakuja kwa haraka sana na ni jambo lisilozuilika kwa hiyo ni kupindi sahihi cha kuchukua hatua za kuchochea matumizi ya magari Tanzania, PUNGUZA SANA KODI, je utafidiaje hiyo Gap?

  2. Punguza kodi kwa nusu gari liwe 30% tu ya CIF , ili kuongeza idadi ya magari yatayoagizwa nje mara tatu zaidi na serikali itapata hela zaidi kwenye regstration, renew na kwenye kodi ya mafuta, vipuri vitaagizwa sana mara tatu zaidi, utatengeneza ajira ya mafundi mara tatu zaidi.

  3. Ushuru uruhusiwe kulipwa kwa awamu kwa makampuni, taasisi na biashara zilizosajiliwa rasmi, wafanyakazi wa umma, wa makampuni, wafanyabiashara wenye 3 yrs tax clearance wawe wanalipa asilimia 40 akiagiza gari iliyobaki aweze kulipa kidogo kidogo kwa mwaka mzima au miwili. KWANINI ILI KUCHOCHEA WATU KUAGIZA MAGARI SANA KABLA HAYA MAGARI YA MAFUTA HAYAJAONDOLEWA SOKONI.

  4. Kupunguza sana ushuru wa mabasi, malori na magari ya Biashara, Haya ni magari yanayotumia mafuta mengi sana kwa siku na ndo magari yanayoagiza sana vipuri Serikali itafidia kwa kuchukua ushuri mkubwa wa mafuta na vipuri na pia itachochea sana ajira nyingi sana kwa wingi. Inamaana gas stations zitaongezeka sana na zitalipa sana kodi, malori ya kusafirisha hayo mafuta mikoani yataongezeka sana, KODI YA MATAIRI IONGEZEKE SANA KUFIDIA GAP

  5. Ruhusu magari ya zamani kuanzia mwaka 1990 kusiwe na uchakavu, MAANA YAKE YAKE watu wengi sana watamiliki magari na akishamiliki gari atanunua mafuta na atanunua vipuri atalipia insuarance , atarenew licence na motor vehicle serikali itapata hela sana na usafiri utashuka sana huko vijijini

  6. Mwisho turasilishe mikopo ya magari yaani kuwe na credit bureau ili wauza magari wawe na uhusiano na mabenki watu wawe wanakopa kama tunavyokopa huku nje ili kila mtu aweze kumiliki gari

    Mfano: Tanzania tuna magari milioni 1 laki 6 tu na tupo millioni 62 Canada ina watu millioni 36 wana magari millioni 67 mara 7 ya magari yote ya East Africa. kwa nini kwa sababu tajiri anakopa la level yake analipa kwa miaka 6 na masikini anakopa la level yake kwa muda mfupi na kuna mbulula wanachukua used hoi kabisa kwa cash ila serikali inafaidi sana knye ku renew licence plates , Driving livence na mafuta

HAKIKA ITACHOCHEA UCHUMI MNO
Kwenye magari kunamatatizo mengi sana nfano magari kutoka SouthAfrica kwenye nfumo wa TRA hakuna option ya kuchagua nchi gari lilikotengezwa zaidi ya Japan na Ulaya, nadhani wamefanya hivyo makusudi kwasabu magari kutoka SouthAfrica bei zake ni rahisi sana pia hakuna mambo mengi kama freight insurance ,watu wana drive wenyewe kutoka SouthAfrica hadi boda , hivyo TRA wanaona wakiweka kwenye nfumo wao option ya SouthAfrica watakosa mapato wanaona bora wakadilie sawa na magari ya kutoka ulaya na Japan jambo ambalo si sawa kwasabu gharama za manunuzi na usafiri ni ndogo.
 
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Mwigulu Nchemba, Naomba kutoa ushauri wangu kwenye ushuru wa magari.
  1. Nimeona ushuru wa magari unazidi kuongezeka, Mhe Rais/Waziri wa fedha dunia inabadilika kwa haraka sana, Magari ya kutumia umeme EV yanakuja kwa haraka sana na ni jambo lisilozuilika kwa hiyo ni kupindi sahihi cha kuchukua hatua za kuchochea matumizi ya magari Tanzania, PUNGUZA SANA KODI, je utafidiaje hiyo Gap?

  2. Punguza kodi kwa nusu gari liwe 30% tu ya CIF , ili kuongeza idadi ya magari yatayoagizwa nje mara tatu zaidi na serikali itapata hela zaidi kwenye regstration, renew na kwenye kodi ya mafuta, vipuri vitaagizwa sana mara tatu zaidi, utatengeneza ajira ya mafundi mara tatu zaidi.

  3. Ushuru uruhusiwe kulipwa kwa awamu kwa makampuni, taasisi na biashara zilizosajiliwa rasmi, wafanyakazi wa umma, wa makampuni, wafanyabiashara wenye 3 yrs tax clearance wawe wanalipa asilimia 40 akiagiza gari iliyobaki aweze kulipa kidogo kidogo kwa mwaka mzima au miwili. KWANINI ILI KUCHOCHEA WATU KUAGIZA MAGARI SANA KABLA HAYA MAGARI YA MAFUTA HAYAJAONDOLEWA SOKONI.

  4. Kupunguza sana ushuru wa mabasi, malori na magari ya Biashara, Haya ni magari yanayotumia mafuta mengi sana kwa siku na ndo magari yanayoagiza sana vipuri Serikali itafidia kwa kuchukua ushuri mkubwa wa mafuta na vipuri na pia itachochea sana ajira nyingi sana kwa wingi. Inamaana gas stations zitaongezeka sana na zitalipa sana kodi, malori ya kusafirisha hayo mafuta mikoani yataongezeka sana, KODI YA MATAIRI IONGEZEKE SANA KUFIDIA GAP

  5. Ruhusu magari ya zamani kuanzia mwaka 1990 kusiwe na uchakavu, MAANA YAKE YAKE watu wengi sana watamiliki magari na akishamiliki gari atanunua mafuta na atanunua vipuri atalipia insuarance , atarenew licence na motor vehicle serikali itapata hela sana na usafiri utashuka sana huko vijijini

  6. Mwisho turasilishe mikopo ya magari yaani kuwe na credit bureau ili wauza magari wawe na uhusiano na mabenki watu wawe wanakopa kama tunavyokopa huku nje ili kila mtu aweze kumiliki gari

    Mfano: Tanzania tuna magari milioni 1 laki 6 tu na tupo millioni 62 Canada ina watu millioni 36 wana magari millioni 67 mara 7 ya magari yote ya East Africa. kwa nini kwa sababu tajiri anakopa la level yake analipa kwa miaka 6 na masikini anakopa la level yake kwa muda mfupi na kuna mbulula wanachukua used hoi kabisa kwa cash ila serikali inafaidi sana knye ku renew licence plates , Driving livence na mafuta

HAKIKA ITACHOCHEA UCHUMI MNO
Heshima Basi urais?

Hizo sio kazi za rais

Wapo wenye kazi zao
 
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Mwigulu Nchemba, Naomba kutoa ushauri wangu kwenye ushuru wa magari.
  1. Nimeona ushuru wa magari unazidi kuongezeka, Mhe Rais/Waziri wa fedha dunia inabadilika kwa haraka sana, Magari ya kutumia umeme EV yanakuja kwa haraka sana na ni jambo lisilozuilika kwa hiyo ni kupindi sahihi cha kuchukua hatua za kuchochea matumizi ya magari Tanzania, PUNGUZA SANA KODI, je utafidiaje hiyo Gap?

  2. Punguza kodi kwa nusu gari liwe 30% tu ya CIF , ili kuongeza idadi ya magari yatayoagizwa nje mara tatu zaidi na serikali itapata hela zaidi kwenye regstration, renew na kwenye kodi ya mafuta, vipuri vitaagizwa sana mara tatu zaidi, utatengeneza ajira ya mafundi mara tatu zaidi.

  3. Ushuru uruhusiwe kulipwa kwa awamu kwa makampuni, taasisi na biashara zilizosajiliwa rasmi, wafanyakazi wa umma, wa makampuni, wafanyabiashara wenye 3 yrs tax clearance wawe wanalipa asilimia 40 akiagiza gari iliyobaki aweze kulipa kidogo kidogo kwa mwaka mzima au miwili. KWANINI ILI KUCHOCHEA WATU KUAGIZA MAGARI SANA KABLA HAYA MAGARI YA MAFUTA HAYAJAONDOLEWA SOKONI.

  4. Kupunguza sana ushuru wa mabasi, malori na magari ya Biashara, Haya ni magari yanayotumia mafuta mengi sana kwa siku na ndo magari yanayoagiza sana vipuri Serikali itafidia kwa kuchukua ushuri mkubwa wa mafuta na vipuri na pia itachochea sana ajira nyingi sana kwa wingi. Inamaana gas stations zitaongezeka sana na zitalipa sana kodi, malori ya kusafirisha hayo mafuta mikoani yataongezeka sana, KODI YA MATAIRI IONGEZEKE SANA KUFIDIA GAP

  5. Ruhusu magari ya zamani kuanzia mwaka 1990 kusiwe na uchakavu, MAANA YAKE YAKE watu wengi sana watamiliki magari na akishamiliki gari atanunua mafuta na atanunua vipuri atalipia insuarance , atarenew licence na motor vehicle serikali itapata hela sana na usafiri utashuka sana huko vijijini

  6. Mwisho turasilishe mikopo ya magari yaani kuwe na credit bureau ili wauza magari wawe na uhusiano na mabenki watu wawe wanakopa kama tunavyokopa huku nje ili kila mtu aweze kumiliki gari

    Mfano: Tanzania tuna magari milioni 1 laki 6 tu na tupo millioni 62 Canada ina watu millioni 36 wana magari millioni 67 mara 7 ya magari yote ya East Africa. kwa nini kwa sababu tajiri anakopa la level yake analipa kwa miaka 6 na masikini anakopa la level yake kwa muda mfupi na kuna mbulula wanachukua used hoi kabisa kwa cash ila serikali inafaidi sana knye ku renew licence plates , Driving livence na mafuta

HAKIKA ITACHOCHEA UCHUMI MNO
Wanaona ufahari kutembelea magari wao tu ambaya hata hawanunui kwa gharama zao.

Ndio sifa ya mwafrika
 
Kwenye magari kunamatatizo mengi sana nfano magari kutoka SouthAfrica kwenye nfumo wa TRA hakuna option ya kuchagua nchi gari lilikotengezwa zaidi ya Japan na Ulaya, nadhani wamefanya hivyo makusudi kwasabu magari kutoka SouthAfrica bei zake ni rahisi sana pia hakuna mambo mengi kama freight insurance ,watu wana drive wenyewe kutoka SouthAfrica hadi boda , hivyo TRA wanaona wakiweka kwenye nfumo wao option ya SouthAfrica watakosa mapato wanaona bora wakadilie sawa na magari ya kutoka ulaya na Japan jambo ambalo si sawa kwasabu gharama za manunuzi na usafiri ni ndogo.
Nahisi ni mchongo wa mtu. Yaani kazima uagize Japani tu
 
Yaani kunangari niliitamani sana volvo, cif ilikuwa 8m, nilipoingia kwenye calculator ya tra ikanipa ushuru wa 18m. Halafu ushuru wa gari ya mzungu uko juu kuliko gar za japan, sijajua kwa nini
 
Waziri wa Fedha mwenyewe ana PhD ya mchongo unategemea nn, huwa ana maneno miiingi huku hesabu anazozizungumzia ni kujumlisha na kutoa tuuu, basi!.
 
Yaani kunangari niliitamani sana volvo, cif ilikuwa 8m, nilipoingia kwenye calculator ya tra ikanipa ushuru wa 18m. Halafu ushuru wa gari ya mzungu uko juu kuliko gar za japan, sijajua kwa nini
Land River Discavary 3 ya mwaka 2000 kuna ndogo wangu alinunua Rand elfu 50 sawa na milioni 6 plus mafuta kapitia Botswana katokea Zambia kafika Tanzania jumla milini ili cost 8 kaambiwa milioni ushuru milioni 19,bahati nzuri ana permit ya kuishi SouthAfrica akaingia nchini akasalimia kisha akageuka nalo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom