Habari za mida hii wanajf.
Kama kichwa kinavyosomeka.
Kuna jambo huwa najiuliza kwenye suala zima la kuagiza gari kwa kutumia beforward, tcv, sbt, n.k. Nikipitia kwenye websites zao unakuta kwenye bei ya gari ni Tsh. 5,000,000/- na kwenye bei ya jumla sehemu ya Clearing & forwarding kwa port ya Dar ni 11,000,000/- au 12,000,000/- na ni RORO.
Maswali yangu ya ufahamu ni je,
1. Hiyo 11,000,000 au 12,000,000 ya kwenye C&F ndiyo bei ya mpaka gari inafika mikononi mwa mhusika pamoja na kodi zote?
2. Kama siyo kwenye namba 1 je, range ya kodi au gharama zote ikoje kwenye kuagiza lolote kwa kutumia hiyo price ya kununua na hiyo ya c&f).
Naomba kufahamishwa kwa wenye uzoefu kwenye hili. Nimetafuta calculator ya TRA naona kama haifanyi kazi.
Mfano wa gari na bei ni kama inavyooneka kwenye picha. Hii nimetumia kama mfano tu wa gari ya 2013
Kama kichwa kinavyosomeka.
Kuna jambo huwa najiuliza kwenye suala zima la kuagiza gari kwa kutumia beforward, tcv, sbt, n.k. Nikipitia kwenye websites zao unakuta kwenye bei ya gari ni Tsh. 5,000,000/- na kwenye bei ya jumla sehemu ya Clearing & forwarding kwa port ya Dar ni 11,000,000/- au 12,000,000/- na ni RORO.
Maswali yangu ya ufahamu ni je,
1. Hiyo 11,000,000 au 12,000,000 ya kwenye C&F ndiyo bei ya mpaka gari inafika mikononi mwa mhusika pamoja na kodi zote?
2. Kama siyo kwenye namba 1 je, range ya kodi au gharama zote ikoje kwenye kuagiza lolote kwa kutumia hiyo price ya kununua na hiyo ya c&f).
Naomba kufahamishwa kwa wenye uzoefu kwenye hili. Nimetafuta calculator ya TRA naona kama haifanyi kazi.
Mfano wa gari na bei ni kama inavyooneka kwenye picha. Hii nimetumia kama mfano tu wa gari ya 2013