Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
- Thread starter
- #81
nimejipa miaka miwili ya kufanya vurugu halafu ndio nitulie.Nalog offdah mwana! Kwa staili hii lazima ukute friend zako wakila makombo yako kila kiwanja utakachoibuka,
siamini haya ila kama ni hivi nakushauri ukae chini ujiulize hasa nini shida yako mpaka utafne kwa fujo kiasi hicho,
zaidi tulia kaka ulenge mmoja utakayeridhika naye utulie,