sasa mtoto wa miaka 17 ndo anajua mapenz kuzidi kaka yake wamiaka 21, ebu acha zengwe ww sema ukweli wats goin on sio kuchezea watu akili. miaka17 ndan ya jf ??????? nina mashaka kidogo apo. jiapange kwanza au fuata ushauri wa boss wa kutafuta wako nawe uolewe.
Yaani bro wako ana miaka 29 na wewe una miaka 17 hlf anataka uanze kuingia kwenye mizengwe ya mademu wake?
Dear ur too young kuanza kushauri hayo masuala maana wewe bado ni under 18.
Mwache mwenyewe na msala wake maana anakukomaza kabla ya umri wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.