marida
Senior Member
- Oct 27, 2011
- 168
- 20
Habari zenu wana jf,mi mgen humu ndani,nilikuwa naomba msaada wenu wa kimawazo kuhusu hili.
Kaka yangu alimpenda msichana mmoja.mara za mwanzo mwanzo msichana alikuwa hampendi,ikafika sehemu mpaka akaanza kumpenda taratibu kadri walivyozidi kuwa karibu zaidi.Baada ya muda kadhaa kaka yangu alivyojua anapenda akaanza kujisikia.Siku nyingine alikuwa anazima simu siku hata ishirini,hapatikani.yule msichana akimuuliza,anasema.nipo kikazi huku porini,hakuna network.Msichana wa watu alivumilia,ila mimi kwa sababu nilimpenda sana wifi yangu yule kutokana na ustaarabu wake,niliona anamfaa kaka yangu,hivyo nikawa nawasiliana nae,ili asimpoteze.Kaka yangu aliendelea na tabia hiyo.huku mimi nikimlinda yule msichana asichoke na kukimbia.
Cha kushangaza,siku moja,alikuwa anampigia simu,akamwambia nipo kigoma baby,natafuta maisha ntarudi tu.Baada ya siku kadhaa walikutana macho kwa macho katika restaurant flan,ambayo msichana huyo alikuwa na rafiki zake,na kaka yangu akiwa na videmu vitatu wakila na kunywa.Wifi yangu aliumia,alinitumia msg ambayo sitasahau,wifi nashukuru kwa kunificha.Tangu siku hiyo hakupatikana tena.Tunasikia tu yupo sehemu fulani anafanya kazi.Kaka yangu ameishia kuliwa hela tu na wanawake wale na kutuma vocha tu,mpaka sasa hivi navyoongea hana msichana wa kusema wakuoa,kila mmoja ashamuona mbaya,anatamani kwenda kumrudia yule binti ila anaona aibu,jinsi alivyomfanyia.Wakaka pia wadada mkipendwa pendeni pia.anachoniomba hapa,nimfuate yule binti nikaongee nae,najiuliza,ni vyema kweli kwenda,au nimuache tu,na tangu muda walipoachana nahisi kashapata mume mwingine,naombeni maoni yenu..
Kaka yangu alimpenda msichana mmoja.mara za mwanzo mwanzo msichana alikuwa hampendi,ikafika sehemu mpaka akaanza kumpenda taratibu kadri walivyozidi kuwa karibu zaidi.Baada ya muda kadhaa kaka yangu alivyojua anapenda akaanza kujisikia.Siku nyingine alikuwa anazima simu siku hata ishirini,hapatikani.yule msichana akimuuliza,anasema.nipo kikazi huku porini,hakuna network.Msichana wa watu alivumilia,ila mimi kwa sababu nilimpenda sana wifi yangu yule kutokana na ustaarabu wake,niliona anamfaa kaka yangu,hivyo nikawa nawasiliana nae,ili asimpoteze.Kaka yangu aliendelea na tabia hiyo.huku mimi nikimlinda yule msichana asichoke na kukimbia.
Cha kushangaza,siku moja,alikuwa anampigia simu,akamwambia nipo kigoma baby,natafuta maisha ntarudi tu.Baada ya siku kadhaa walikutana macho kwa macho katika restaurant flan,ambayo msichana huyo alikuwa na rafiki zake,na kaka yangu akiwa na videmu vitatu wakila na kunywa.Wifi yangu aliumia,alinitumia msg ambayo sitasahau,wifi nashukuru kwa kunificha.Tangu siku hiyo hakupatikana tena.Tunasikia tu yupo sehemu fulani anafanya kazi.Kaka yangu ameishia kuliwa hela tu na wanawake wale na kutuma vocha tu,mpaka sasa hivi navyoongea hana msichana wa kusema wakuoa,kila mmoja ashamuona mbaya,anatamani kwenda kumrudia yule binti ila anaona aibu,jinsi alivyomfanyia.Wakaka pia wadada mkipendwa pendeni pia.anachoniomba hapa,nimfuate yule binti nikaongee nae,najiuliza,ni vyema kweli kwenda,au nimuache tu,na tangu muda walipoachana nahisi kashapata mume mwingine,naombeni maoni yenu..