Nachanganyikiwa naomba msaada...........

Mwanajamii1, unajua nini you r too nice hadi naogopa hata kujibu; yaani inabidi nibehave kweli!

Anyway about heshima kuwa sehemu ya mahaba!
Did you know hata utumwa unaweza kuwa part ya mahaba, anyway mambo mengine ni intimacy zaidi; lkn mahaba ni kile mnachopenda kufanyiana (kwenu ninyi ni super kwa wengine kinaweza hata onekana ni ukatili).

Lkn heshima/respect is a must kwa kila aina ya uhusiano (hata majirani) na iwe both ways!
Hahah Da Mkubwa sikuwa nimeiona hii,...... huu sasa ni uonevu yaani kilichokufanya uniweke kwenye kundi la too nice ni nini? isijeikawa huku kulialia kwangu na kujitilisha huruma hapa ndo vimekuidanganya! Mie bwana mkorofi sana tu so Dada ukiwa na la kunichamba we mwaga tu wala usipooze kwa maji baridi! Lilete likiwa moto hivyo hivyo ndo kunifunza kwenyewe ati!
 
Mbu is so mean:A S-cry: kwa sie wenye mapenzi ya kiswahili.
Eti yeye anataka anivutie kiti mie nikimvua kiatu hataki.

Mie ukinivutia kiti au kunifungulia mlango wa gari naona aibu lol.

Yaani kongosho Mbu hafai hata kidogo, nimejikuta nacheka mwenyewe ka punguani yarabi.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu is so mean:A S-cry: kwa sie wenye mapenzi ya kiswahili.
Eti yeye anataka anivutie kiti mie nikimvua kiatu hataki.

Mie ukinivutia kiti au kunifungulia mlango wa gari naona aibu lol.

Hahahahahahahahahah natamani muwe kapo nishuhudie mpambano huu loh!
Kweli yeye akupeti, we ukimpeti ugomvi mwe! Bora yake lakini kuliko yule mwenye kupenda kufanyiwa tu!
 
Last edited by a moderator:
Eh...........hii yatoka kwako Babu? So ndo tusseme ulipomtoa Bibi kwao huko na maadabu yake, maheshima yake alofundishwa kwenye unyago ulimketisha kwenye interview kwanza kisha ukamweleza kuwa hiki na hiki mie sikitaki?? Ilhali yeye tangu alipokuwa kigori alikuwa anafundishwa kuvifanya Babu?

MJ1,

Nilijua kuwa hutanielewa kwa jinsi ambavyo ulijieleza na pia kwa namna nilivyokuelewa.

Kama ukirudia posts za watu (sina hakika kama una muda), utakutana na mawazo mazuri sana ya ADii. Ameeleza vizuri kwamba kuna mambo yanaweza kufanywa kwa mazingira ya aina mbili. Kuna yale ambayo watu wanafanyiana (note please,...kufanyiana na siyo mmoja kutenda na mwenzi wake kuwa mpokeaji tu) wakiwa katika mazingira ya mahaba. Hayo uliyoeleza kwenye post yako ya kwanza yakifanyika katika mazingira hayo, nitayafurahia sana tena sana!

Pia mambo kama hayo yanaweza kufanyika kama sehemu ya majukumu ya kila mtu kwenye couple. Katika upande huu, binafsi siwezi kufikia level ya namna hiyo. Labda kama na mie namfanyia baadhi ya mambo kama sehemu ya mgawanyo wa majukumu.

Samahani sana dada, hiyo ni kwa upande wangu mie. Hata hivyo, najua kuna watu hawatajali wakifanyiwa (they do enjoy it) na sometimes wanaweza kudemand kufanyiwa!!


Babu DC!!
 
Mwe Mbu na Babu DC nyie!!

Labda tuanze na maana ya kunyenyekewa!!
Hivi siwezikupokea kifurushi ukiwa umerudi kazini bila kutasiri wanyenyekewa? siwezikufulia pants bila kutafsiri kama wanyenyekewa?

Kwa hivi ulivyoiweka ni kama vile huyu wa kuku'heshimu' atakuwa anakuheshimu kiuwoga....

MJ,

Kama na mie naweza kukurukia na kukupokea haina maneno kabisa...Pia kama nami naweza kufua pants zako sitajali hata ukifua mwaka mzima.

Ila kama wewe wafanya hivyo tu na mie nabaki kukenua meno....Big NO my sweetie!!


Nilihangaika kutafuta mke na rafiki, na siyo kibarua au mjakazi....

Nakubaliana na mtu aliyesema kuwa, unamfanyia hayo yote kwani yeye ni mlemavu??


Babu DC!!
 
yaaani heshima ni kumbrashia viatu na kumvua koti?,mmepatana kweli fake people.....mie sitafanya huu ujinga hata siku moja....and no kumheshimu ni kutomtukana,kutembea nje ya ndoa na kumjibu vibaya....hayo mnayofanya sio heshima ni utumwa na mwanaume kama yuko real lazima aone anaibiwa....haingii akilini mtu sio dissable umvue koti wkati ana uwezo wa kufanya hivyo yeye mwenyewe.....:mad2::mad2::mad2::mad2:


Hivi we Jestina wewe ulikuwa wapi ol the times mpaka sikukuonaga jamani loooool........Mikato yako ndo khaswa mimi naitakaga............hapo ndani ni debate tu mpaka kieleweke........sio kila kitu sawa honey....sawa.....baby.......sijui your wish is my command..........(joooookes n sorry in advance........maaaana huchelewiiiiii.........)

Hivi heshima nini maana yake???
Nani anayesema hii ni heshima na hii sio katika mapenzi????
Kupiga goti au kumvua mtu viatu na koti ndo heshima???
MJ1...hivi aliokuambia kwamba kwenye haya mambo na marafiki huwekwa karibu kiasi cha kusema......hii ndio na hii sio ni nani???

Heshima ni kitu muhimu sana katika mahusiano ila unatakiwa kuwa na "operational definition na ingredient" inayokubalika na pande zote husika (nyie lovers) na sio kuchukua mafunzo ya kwenu (ulikolelewa) na kuja kuya-paste tu kwa mpenzio as if u share the background and socialization avenues........kama una guts mtoe mkae sehemu wawili tu na mjadili mambo ya msingi kama hayo mathalani............sema naye bana.....vunja ukimya.......au mpaka waje wamarekani kutoa hisani ??????

Hii mada ni conventional sana na very subjective.....ila cheza muziki kutokana na jinsi mpigaji wako anavyou tune........all the best na kama ni chaguo lako banana sana; siku hizi watu reliable ni adimu na kama ushamjenga kwa siku nyingi we ezeka tu na uhamie jumlaaa
 
Bwa'Nchuchu
I aggree with you; nakumbuka mtu wangu wa zamani, hakupenda nimpelekee Maji bafuni, anasema yeye si kilema (something to do with his ego). Niliheshimu matakwa yake, na akawa ananipelekea mimi (ambaye nilipenda kuwa spoiled).

Mwanajamii01, kama walivyosema wengi; fanya unavyojisikia kuwa au unapaswa au unapenda. Sidhani kama ni vyema sisi wanajamii tukuambie umuheshimu vipi hubby wako, yeye ndiye anapaswa! Malezi tuliyokuwa nayo hayalingani hata mila ni tofauti pia, na heshima si kupiga magoti tu, au kumvua viatu; tena mimi naweza ita ni mahaba kuliko heshima!

So be yourself na you have that right; ila si vyema kwa mtazamo wangu; kuiona couple ambayo haifanyi kama ufanyavyo wewe haina heshima!


Hivi wewe Kaunga una PhD ngapi?

Maana kwa vigenzo vya Tanzania, inabidi mtu uwe na PhD kuweza kumwaga mi-point kama hii!!


:focus:

Nimependa sana michango yako,

Babu DC!!
 
Mbu is so mean:A S-cry: kwa sie wenye mapenzi ya kiswahili.
Eti yeye anataka anivutie kiti mie nikimvua kiatu hataki.

Mie ukinivutia kiti au kunifungulia mlango wa gari naona aibu lol.

...lol...jifungulie mlango uruke nje kabla gari haijapaki uzuri!...ataelewa somo...
yanini anajifanya kama askari wa kikwete?

Hahahahahahahahahah natamani muwe kapo nishuhudie mpambano huu loh!
Kweli yeye akupeti, we ukimpeti ugomvi mwe! Bora yake lakini kuliko yule mwenye kupenda kufanyiwa tu!

...:shut-mouth:....I have right to remain silent, as anything I may write/say may be used against me!
 
Hapa naona kuna mkanganyiko wa heshima katika mahusiano kwa generation ya zamani na generation mpya yenye gender equality.

Sijui nianzishie sred labda watu wafanifafanulia zaidi.

Sasa hivi mwanamme kumfungulia mwanamke mlango, kumtengenezea kiti, kumnunulia ua, kumbusu paji la uso vinaonekana ni vionjo vya mapenzi. Je ni kweli mwanamke hawezi kufungua mlango au kusogeza kiti?

Inapokuja kwenye old days ambapo mwanamke alikuwa anatoa vionjo vya mapenzi kama kumpokea mume, amkia, bebea koti, mletea maji ya kunywa inaonekana utumwa, kwa nini?

Kwani heshima katika mapenzi ni nini?
Na heshima hii inatakiwa ioneshwe kwa mtindo gani?
Mstari wa ubwana na utwana uchorwe wapi? Na nani achore mstari huo?

Manake nisije pigwa teke, nimempokea mtu pale eapoti JIA nikapiga goti langu mpaka chini kwa dakika 5 hadi salamu imalizike. Kwa sasa mie nimechanganyikiwa kuliko hata MJ1
 
...lol...jifungulie mlango uruke nje kabla gari haijapaki uzuri!...ataelewa somo...
yanini anajifanya kama askari wa kikwete?



...:shut-mouth:....I have right to remain silent, as anything I may write/say may be used against me!
Lol....................hahaha ninapiga picha tu hewani weye sikuachii hata mail moja! hutorudishwa
 
Hapa naona kuna mkanganyiko wa heshima katika mahusiano kwa generation ya zamani na generation mpya yenye gender equality.

Sijui nianzishie sred labda watu wafanifafanulia zaidi.

Sasa hivi mwanamme kumfungulia mwanamke mlango, kumtengenezea kiti, kumnunulia ua, kumbusu paji la uso vinaonekana ni vionjo vya mapenzi. Je ni kweli mwanamke hawezi kufungua mlango au kusogeza kiti?

Inapokuja kwenye old days ambapo mwanamke alikuwa anatoa vionjo vya mapenzi kama kumpokea mume, amkia, bebea koti, mletea maji ya kunywa inaonekana utumwa, kwa nini?

Kwani heshima katika mapenzi ni nini?
Na heshima hii inatakiwa ioneshwe kwa mtindo gani?
Mstari wa ubwana na utwana uchorwe wapi? Na nani achore mstari huo?

Manake nisije pigwa teke, nimempokea mtu pale eapoti JIA nikapiga goti langu mpaka chini kwa dakika 5 hadi salamu imalizike. Kwa sasa mie nimechanganyikiwa kuliko hata MJ1

Umeona eh Kongosho! Na mimi nilitegemea majibu tofauti kwa wazee wa zamani kama Babu DC ambaye nae anaonekana kuathirika na maisha ya dunia ya sasa.

Usichanganyikiwe dada wewe ndo wa kuniongoza! Tafadhali ifungulie thread as for me siwezikujielezea vizuri nikaeleweka.
 
I wapi nafasi ya 'heshima' kama hii kwa mwenzi wako? Je tunaitafsirije hii ndani ya era ya usawa na gender equality?

Natanguliza samahani kama nimekosea , nieleweni tu mwenzenu mie wa 1947.


Kule kwetu Mbozi hata wanaume wanapiga magoti kama ishara ya heshima
 
Hapa naona kuna mkanganyiko wa heshima katika mahusiano kwa generation ya zamani na generation mpya yenye gender equality.

Sijui nianzishie sred labda watu wafanifafanulia zaidi.

Sasa hivi mwanamme kumfungulia mwanamke mlango, kumtengenezea kiti, kumnunulia ua, kumbusu paji la uso vinaonekana ni vionjo vya mapenzi. Je ni kweli mwanamke hawezi kufungua mlango au kusogeza kiti?

Inapokuja kwenye old days ambapo mwanamke alikuwa anatoa vionjo vya mapenzi kama kumpokea mume, amkia, bebea koti, mletea maji ya kunywa inaonekana utumwa, kwa nini?

Kwani heshima katika mapenzi ni nini?
Na heshima hii inatakiwa ioneshwe kwa mtindo gani?
Mstari wa ubwana na utwana uchorwe wapi? Na nani achore mstari huo?

Manake nisije pigwa teke, nimempokea mtu pale eapoti JIA nikapiga goti langu mpaka chini kwa dakika 5 hadi salamu imalizike. Kwa sasa mie nimechanganyikiwa kuliko hata MJ1


Kongosho,

Hata couple za zamani zilikuwa zinafanya mambo kutegemeana na mazingira yao + makuzi. Kwa wale ambao walikuwa wanashare tamaduni zinazofanana basi waliweza kufanya kila kitu kama mababu zao.

Ila kwa siku za hivi karibu, hata watu wa namna hiyo wamejikuta wakibanwa na mwingiliano wa tamaduni za majirani zao.

Hata hivyo, sina tatizo na lolote ambalo watu wanapenda kufanyiana kwenye mahusiano as longer as hakuna anayekwazika!!

Babu DC!!
 
mmh hongera , iyo ndio vizur ila anajali ? bcz isiwe unamuonesha umuhimu wake kwako then akaanza kukuona mshamba? but jitahid dear wahenga walisema nia safi hairogwi,, na hiyo ,,n wajibu wako..
 
Mwanajamii jamani naona kweli unaturudisha zama za kati za mawe kwa kina nyungu ya mawe..
Heshima ni kuheshimiana ila kama wewe unaona style yako ni kupiga goti mpaka chini ni powah tu kunogesha chachu ya penzi lenu..Kumpokea na kumvua koti ,kumvua viatu Nk nk ..
Mie nikianza leo mmmh labda ...
Cha msingi namheshimu ,nampenda na kumthamini kwa dhati..(hapa pamebeba mambo mengi yanayofanya aione heshima yangu kwake ..)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom