Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Mwanajamii1, unajua nini you r too nice hadi naogopa hata kujibu; yaani inabidi nibehave kweli!
Anyway about heshima kuwa sehemu ya mahaba!
Did you know hata utumwa unaweza kuwa part ya mahaba, anyway mambo mengine ni intimacy zaidi; lkn mahaba ni kile mnachopenda kufanyiana (kwenu ninyi ni super kwa wengine kinaweza hata onekana ni ukatili).
Lkn heshima/respect is a must kwa kila aina ya uhusiano (hata majirani) na iwe both ways!
Anyway about heshima kuwa sehemu ya mahaba!
Did you know hata utumwa unaweza kuwa part ya mahaba, anyway mambo mengine ni intimacy zaidi; lkn mahaba ni kile mnachopenda kufanyiana (kwenu ninyi ni super kwa wengine kinaweza hata onekana ni ukatili).
Lkn heshima/respect is a must kwa kila aina ya uhusiano (hata majirani) na iwe both ways!