Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,597
Hahahhaaaa usijali Mwajei ...
Kwanza naanzia wapi kumgawa, mwenzio moyo si unandundia tu pale?...lol
huu uzi wako bana umenifanya nifikiri kidogo na nimejifunza kwamba kuna hata mambo mema tunayafanya kwa wenza wetu ila yanakuwa kero na tunapaswa kuji adjust kwa kiasi fulani....
Kwamba si mabaya tu/udhaifu wetu tu amabao tunapaswa kuufanyia kazi!
Hahahahahahahahah,
Shida mwapenda kufanya tu....hamchukui time kuona kama kuna walau 20% inarudishwa kwenu pia!!
Babu DC!!