Na Sisi tuwasusie madaktari kuwapa huduma

watanzania maskini tunao umia, serikali yetu ndo inayotuumiza sababu imechangia kwa kiasi cha asili mia 100, kutufanya masikini na kutotupatia huduma za kijamii. inaingia akilini hospitali kukosa vitanda, urine bags nk.

Lakini cha ajabu Mbunge anaingia bungeni hata kuongea haongei amekaa tu anapiga makofi wenzie wakiongea halafu mwisho wa siku anapewa posho ya maana..wakati huo kuna Mwalimu anaongea kutwa nzima kuwapa watu elimu...huyu hapewi posho anaambiwa ni wito..Unapofanya kazi ya ualimu kuwa wito manake wewe ni mdhaifu wa fikra.
 
mawazo dhaifu ni kwa watu dhaifu tu, hata darasa la tatu hawezi kuwaza hivi, kama huelewi kinachoendelea ni bora ukanyamaza na sio tu ukisikia madaktari wamegoma basi unakurupuka na kuja kufanya vioja hap
 
Mkuu ubinafsi unaosema ni upi? Kudai uboreshwaji wa huduma ktk hospitali zetu au kwenda kutibiwa Apollo?
Kama huelewi wanachodai, si ungeuliza tu au ukakaa kimya.
Duh, usingizi una shida kweli.
Hawa MaDR wanadai upuuzi mbona hawawasemei ma-Medical wa vijijini Manesi au Wanajeshi? Nashauri waache kazi kwa amani kwani wanaviji-Dispensary na kutoa mimba.
Hivi bajeti ya Wizara ya Fedha imepita sasa tumee wapi? Au @ MGONJWA ALIPE 100,000/ kundidikisha jina/ Daftari? Mm bbaunga mkono madaktari walaaniwe luucgga ya kususiwa
 
Jamani wadau kwa jinsi hali ilivyo kama wao wamekataa kutupa huduma na sisi tuwasusie kuwapa huduma kama wao wanavyofanya kwa jamii. Wahasibu wasiwalipe mshahara yao na hata huduma nyingine pia tuwatose. Tusiwafundishe watoto wao hata wakija na hela yao na huduma nyinginezo...mgogoro wauletao wanaoumia ni watanzania maskini na sip viongozi wa serikali. Mgogoro huu Pinda. Hawa ghasia.Mwinyi aathiriki nao n.k

This is layman solution.
Re-think critically.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Inasikitisha sana kuwaona Madaktari wetu Wanajiweka katika nafasi ya kuwa Miungu watu kwa kuwasaliti Wananchi wenzao. Haiwezekani kuwa Ninyi ndio wenye Shida na mnalipwa haba kuliko fani nyingine, huo wenu ni UROHO, TAMAA, TABIA MBAYA, WIVU, UJINGA na kuelimika kulikowavua USTAARABU, kwa msemo wa jamaazetu wa Visiwani HAMFAI PESA MBILI gomeni msubiri kujaza MATUMBO YENU kwa TAMAA halafu tuone MSIENDE CHOONI!!.....................!!
Unataka madaktari nao waige usanii wa TUCTA, TWICO na vyama vingine vya wafanyakazi? Hivi hutishia kugoma na mara zote siku waliyoahidi ikifika hakuna kitu. Matokeo yake serikali imeishawaona kama ni watishia nyau tu.

Madaktari wanatafuta haki yao na wewe kama ni mhasibu goma kama kama unaweza. Mshikamano utaleta matunda haraka. Haki ya kugoma ipo kisheria. Kwa hiyo madaktari hawavunji sheria yoyote.

Kwamba wanaoumia ni masikini siyo hoja. Ni hao hao ndiyo wanaoendelea kuiweka madarakani serikali isiyojali. Iondoeni serikali ya magamba mambo yabadilike.
MADAKTARI KAZENI UZI.

 
kwa nini tusiwasusie serikali kuwapa kodi??? wao ndio wametufikisha hapa...
huwezi kujua umuhimu wa dokta kama uko nyuma ya keyboard unatype ila ugua uone
 
Inasikitisha sana kuwaona Madaktari wetu Wanajiweka katika nafasi ya kuwa Miungu watu kwa kuwasaliti Wananchi wenzao. Haiwezekani kuwa Ninyi ndio wenye Shida na mnalipwa haba kuliko fani nyingine, huo wenu ni UROHO, TAMAA, TABIA MBAYA, WIVU, UJINGA na kuelimika kulikowavua USTAARABU, kwa msemo wa jamaazetu wa Visiwani HAMFAI PESA MBILI gomeni msubiri kujaza MATUMBO YENU kwa TAMAA halafu tuone MSIENDE CHOONI!!.....................!!


Bogus!
 
Inasikitisha sana kuwaona Madaktari wetu Wanajiweka katika nafasi ya kuwa Miungu watu kwa kuwasaliti Wananchi wenzao. Haiwezekani kuwa Ninyi ndio wenye Shida na mnalipwa haba kuliko fani nyingine, huo wenu ni UROHO, TAMAA, TABIA MBAYA, WIVU, UJINGA na kuelimika kulikowavua USTAARABU, kwa msemo wa jamaazetu wa Visiwani HAMFAI PESA MBILI gomeni msubiri kujaza MATUMBO YENU kwa TAMAA halafu tuone MSIENDE CHOONI!!.....................!!
Kama Msekwa angekujibu basi angekuambia kuwa una wivu wa Ki^Ke!!!
wao wana haki kudai stahili yao!! Umefanya utafiti madaktari wa kenya ua hata Rwanda wanalipwaje?
Hoja yako ni DHAIFU kama CCM!!!!
 
Hawa MaDR wanadai upuuzi mbona hawawasemei ma-Medical wa vijijini Manesi au Wanajeshi? Nashauri waache kazi kwa amani kwani wanaviji-Dispensary na kutoa mimba.
Hivi bajeti ya Wizara ya Fedha imepita sasa tumee wapi? Au @ MGONJWA ALIPE 100,000/ kundidikisha jina/ Daftari? Mm bbaunga mkono madaktari walaaniwe luucgga ya kususiwa

Upuuzi unasemwa na mpuuzi, na hayo uyasemayo ni upuuzi na hivyo inakuweka ww kuwa mpuuzi! Kwani daktari ni msemaji wa watu wengine!? Hata hivyo huoni hata sasa wanawasemea watu wengine (wagonjwa) ambao kila kukucha wanakutana na vituko wanapofuata huduma hospitalini...mara hamna glove, x-ray mashine imekufa nk!
 
Jamani swala hili la mgomo wenzenu nalitazama katik mambo mawili tofuti.

Nautizama mgomo huu kama sehemu ya kuishinikiza serikali iwaangalie upya katika kile wanachokifanya. Binafsi numia sana na mishahara na posho ndogo wanazopewa au wasizopewa kama ni halali yao.Serikali haijui ipriotise wapi na kwanini na tena haijui nani ni muhitaji katika taifa hili. Inasikitisha kuona wabunge wanakaa na kudai nyongeza za maslahai yao kwa kuongea tu bungeni tena kusikokuwa na tija na anasikilizwa mara moja na kuongezewa posho hizo lakin mtumisha wa serikali kama huyu ambaye mazingira anyofanyia kazi siyo pendwa, kazi yenye ni risk na malipo pia. mungu na atusaidie jamani.

kwa upande mwingine namuonea huruma sana yule mtanzania wa kawaida anayehitaji huduma hospitalini na hajaipata kisa mgomo huu kweli inasikitisha sana.

lakini namuonea huruma zaid askari aliyekesha usiku kumlinda huyu dr na malizake na kwa bahati mbaya akapata ajaliaaaa wakati wa patrol ama akavamiwa na majambazi na sasa anahitaji na hana mtu wa kumuhudumia.

pia namuonea huruma sana tena sana mwalimu mwenzangu wa sayansi kama mimi ambaye muda huu alikuwa anaandaa practical ya chemistry na kwa bahati mbaya sana the conc. acid spilled na ikamuunguza na sasa anhitaji huduma za kitabibu lakini ameshindwa kuzipata, akaamua kwenda private hosp akiwa na kitambulisho chake cha bima lakini bima yake ni brown card, hakubaliki kutibiwa hosp yeyote ile kisa bima hii ni ndogo kiasi kwamba huduma anayoweza kupatiwa ktk hosp hizi hakuna.Jmani naandika hii post nikiwa nalia kwa uchungu sana serikali imetufanya tumekuwa watumwa kwenye nchi yetu, sisi tunaokesha kufundisha hawa madaktari lakin mwishowe shukurani inageuka kuwa ya punda. basi hata kabima tupewepo kazuri ni hako ka brown kadi kasiko na lolote.

najiuliza mimi mwl mwenzangu kapata ajali maabara kaenda hosp kakosa huduma je mimi niendelee au niondoke? nikisusa maskini hawa watoto wa wakulima nitawalostisha damu yao nitadaiwa siku moja. pengine kwa kuwafundisha siku ya leo Mungu alitegemea niwavushe daraja moja kwenda jingine je nikisusa sinitawakwamisha?

lakini pia hawa baadae hawatakumbuka kwamba niliwafundisha manake hata hao waliogoma wanasahau kwamba kuna waalimu walichangia sana kuwafikisha hapo walipo na leo hii ni mgonjwa hoi na ni mzee hana jinsi inabidi afie kitandani kwa kukosa huduma.

Mungu najua uko fair sana basi tusikilize sisi waalim ambao hatuna uwezo wa kutibiwa private na sasa ni wagonjwa kwaajali ya maabara pengine na mmoja wa hawa wanafunzi ni mtoto wa huyo daktari lakin hatuna msaada pesa cash hatuna tunadhalilika na si kwamba hatufanyi kazi zetu ee Mungu tuhurumie sisi waja wako. nimesema silii tena nakaa kimya na najua Mungu atatupa msaada tu.wabarikiwa sana madaktari wa hosp ya hurbert kairuki walio amua kutusaidia kumuhudumia mwenzetu kwa mkopo. mungu ameona moyo wenu atawajaza zai na zaid.

Kikwete tunakufa talk something gentleman
Hadi leo unamtegemea JK?
Mwl huwezi kujilinganisha na Dr hata siku moja! Miaka ya tisini wakati ninasoma hapa Dar sekondari moja ya serikali walimu walikuwa na mgomo baridi tokea nikiwa form 1 hadi 3 walimu walioingia darasa letu inawezekana kabisa havikupita vipindi 20 lakini form 4 nilifaulu divisheni 1! tilia maanani sikusoma tuition kabisa nilijisomea! linganisha unataka kujifungua hamna mhudumu wa afya, unaweza kufanikiwa lakini kwa mashaka makubwa!!
Pia huwezi kugoma kama walivyofanya madaktari! Kwani mmetishia mara ngapi kugoma lakini hamjawahi kugoma? hamna umoja na hata mkigoma haitawatisha serikali ya JK!
Pole ila huu ndo ukweli wa mambo JK hatokusaidia kamwe na Drs hawatoendelea kuhatarisha maisha yao kwenye mazingira mabaya ya kazi.
 
hadi leo unamtegemea jk?
Mwl huwezi kujilinganisha na dr hata siku moja! Miaka ya tisini wakati ninasoma hapa dar sekondari moja ya serikali walimu walikuwa na mgomo baridi tokea nikiwa form 1 hadi 3 walimu walioingia darasa letu inawezekana kabisa havikupita vipindi 20 lakini form 4 nilifaulu divisheni 1! Tilia maanani sikusoma tuition kabisa nilijisomea! Linganisha unataka kujifungua hamna mhudumu wa afya, unaweza kufanikiwa lakini kwa mashaka makubwa!!
Pia huwezi kugoma kama walivyofanya madaktari! Kwani mmetishia mara ngapi kugoma lakini hamjawahi kugoma? Hamna umoja na hata mkigoma haitawatisha serikali ya jk!
Pole ila huu ndo ukweli wa mambo jk hatokusaidia kamwe na drs hawatoendelea kuhatarisha maisha yao kwenye mazingira mabaya ya kazi.

sijui na wewe umenitokea wapi yaani ka hasira uliyonipa wewe............nakumbia ms.........
 
Kosa kubwa kwa serikali ni kuhurusu watumishi wa sekta ya afya kufanya kazi za nje baada ya kumaliza kuhudumia kwenye hospital za umma. Ili wapate akili serikali inabidi kuondoa hili kwenye taratibu za ajira za watumishi wa sekta hii.

Wakiwa na mahali pamoja pa kushika huenda wataona umuhimu wa kudai maslahi yao kistaarabu na sio kwa stahili hii ya kuumiza/kuua watanzania maskini

Kwa malipo gani serikali inayoyalipa?
Siku wakiamua hilo basi wahakikishe ma Dr wanalipwa kama Kenya au South Africa na si huu utumbo wanaolipwa sasa!!!
 
Jamani wadau kwa jinsi hali ilivyo kama wao wamekataa kutupa huduma na sisi tuwasusie kuwapa huduma kama wao wanavyofanya kwa jamii. Wahasibu wasiwalipe mshahara yao na hata huduma nyingine pia tuwatose. Tusiwafundishe watoto wao hata wakija na hela yao na huduma nyinginezo...mgogoro wauletao wanaoumia ni watanzania maskini na sip viongozi wa serikali. Mgogoro huu Pinda. Hawa ghasia.Mwinyi aathiriki nao n.k


Hili itabidi ujadili na wake zao pia.
 
Hadi leo unamtegemea JK?
Mwl huwezi kujilinganisha na Dr hata siku moja! Miaka ya tisini wakati ninasoma hapa Dar sekondari moja ya serikali walimu walikuwa na mgomo baridi tokea nikiwa form 1 hadi 3 walimu walioingia darasa letu inawezekana kabisa havikupita vipindi 20 lakini form 4 nilifaulu divisheni 1! tilia maanani sikusoma tuition kabisa nilijisomea! linganisha unataka kujifungua hamna mhudumu wa afya, unaweza kufanikiwa lakini kwa mashaka makubwa!!
Pia huwezi kugoma kama walivyofanya madaktari! Kwani mmetishia mara ngapi kugoma lakini hamjawahi kugoma? hamna umoja na hata mkigoma haitawatisha serikali ya JK!
Pole ila huu ndo ukweli wa mambo JK hatokusaidia kamwe na Drs hawatoendelea kuhatarisha maisha yao kwenye mazingira mabaya ya kazi.

Hivi na wewe nawe ni Dr UNATIBU WATU GODFORBID. Nina shaka sana na elimu na uwajibikaji wako pia.
 
Jino kwa jino ndio waone umuhimu wa kada nyingine. Pia muathirika wa kwanza kwenye ni mtanzania maskini ategemeae gov. Hospitals ambazo viongozi wengi. Watu wenye kipato kikubwa hawajui hizo hospital zinanafanaje

Upuuzi!
Mhasibu akatae kutoa mshahara kwa Dr, kwani hizo pesa zake?
Afterall, Dr hatakufa kwa kucheleweshewa mshahara, ila wewe waweza kufa kwa kukosa huduma yake.
Na huo Ndo UNYETI wa kazi ya udaktari, japo kazi zote ni muhimu, ila si nyeti.
 
Halafu wengne humu wanachangia wakiwa na inferiority complex mbele ya madaktari, na wivu pia.
Dr ana mgogoro na serikali, ambayo ndo ina dhamana ya kuhudumia watu kiafya, na ndo imeaingia mkataba na wananch, Dr ni mwajiriwa tu.
Wewe ukiingia mkataba na kampuni ya cartering kwa mfano, siku ukakosa kuletewa chakula kwa vile wafanyakaz wa kampuni wamegoma wakidai maslahi zaidi, hv ambae utamlaumu na ikibid kumshtaki ni mwenye kampuni(ulie na mkataba nae) au wafanyakaz waliogoma?
Hebu muwe mnafikiria kabla ya kuharisha humu!
 
Hivi na wewe nawe ni Dr UNATIBU WATU GODFORBID. Nina shaka sana na elimu na uwajibikaji wako pia.
Ndugu Huyu ni mkuu wa kitengo changu na ni daktari mzuri sana tu ila kutokana na machungu anayopata anaweza kuwa na maneno makali kidogo! Hata hivyo kw3angu sijaona kitu kikubwa kuwa na mashaka na elimu yake kwani ameeleza hali halisi kuwa kada nyingine kugoma ni NDOTO za alinacha kwani huishia kuitishia tu serikali!!!
 
Back
Top Bottom