Na Sisi tuwasusie madaktari kuwapa huduma

Boligado

Member
Jan 10, 2012
44
49
Jamani wadau kwa jinsi hali ilivyo kama wao wamekataa kutupa huduma na sisi tuwasusie kuwapa huduma kama wao wanavyofanya kwa jamii. Wahasibu wasiwalipe mshahara yao na hata huduma nyingine pia tuwatose. Tusiwafundishe watoto wao hata wakija na hela yao na huduma nyinginezo...mgogoro wauletao wanaoumia ni watanzania maskini na sip viongozi wa serikali. Mgogoro huu Pinda. Hawa ghasia.Mwinyi aathiriki nao n.k
 
Cjaelewa tija yako ni kujenga ama kubomoa !! Sidhani kama unawezana na Familia yako !! Ina maana mke wako akigoma kupika na ww unagoma !! Bila kujali hali ya watoto !! Tulia na tafakari upya kauli yako ! !! To hoja za kujenga na kusaidi kupata muafaka na si kubomoa !!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kila 1 agome?

Jino kwa jino ndio waone umuhimu wa kada nyingine. Pia muathirika wa kwanza kwenye ni mtanzania maskini ategemeae gov. Hospitals ambazo viongozi wengi. Watu wenye kipato kikubwa hawajui hizo hospital zinanafanaje
 
Tija yangu ni kujenga na kufanya kila mmoja wetu afikiri bila ubinafsi
 
mgomee dhaifu acha kuhangaika na madaktari, mambo yao yakiwa mazuri hata wewe utafurahi
 
Jino kwa jino ndio waone umuhimu wa kada nyingine. Pia muathirika wa kwanza kwenye ni mtanzania maskini ategemeae gov. Hospitals ambazo viongozi wengi. Watu wenye kipato kikubwa hawajui hizo hospital zinanafanaje

wewe ndugu yangu ni diwani nini?



KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Inasikitisha sana kuwaona Madaktari wetu Wanajiweka katika nafasi ya kuwa Miungu watu kwa kuwasaliti Wananchi wenzao. Haiwezekani kuwa Ninyi ndio wenye Shida na mnalipwa haba kuliko fani nyingine, huo wenu ni UROHO, TAMAA, TABIA MBAYA, WIVU, UJINGA na kuelimika kulikowavua USTAARABU, kwa msemo wa jamaazetu wa Visiwani HAMFAI PESA MBILI gomeni msubiri kujaza MATUMBO YENU kwa TAMAA halafu tuone MSIENDE CHOONI!!.....................!!
 
jamani wito kutoka kwa madaktari ni kuwa fani zote mgome hapo ndio itakuwa sawia kabisa

Ila kuna watu wengi humu naona uelewa wao ni mfupi au ndio wanaokula mkate wa wa tz
 
Kosa kubwa kwa serikali ni kuhurusu watumishi wa sekta ya afya kufanya kazi za nje baada ya kumaliza kuhudumia kwenye hospital za umma. Ili wapate akili serikali inabidi kuondoa hili kwenye taratibu za ajira za watumishi wa sekta hii.

Wakiwa na mahali pamoja pa kushika huenda wataona umuhimu wa kudai maslahi yao kistaarabu na sio kwa stahili hii ya kuumiza/kuua watanzania maskini
 
Jamani wadau kwa jinsi hali ilivyo kama wao wamekataa kutupa huduma na sisi tuwasusie kuwapa huduma kama wao wanavyofanya kwa jamii. Wahasibu wasiwalipe mshahara yao na hata huduma nyingine pia tuwatose. Tusiwafundishe watoto wao hata wakija na hela yao na huduma nyinginezo...mgogoro wauletao wanaoumia ni watanzania maskini na sip viongozi wa serikali. Mgogoro huu Pinda. Hawa ghasia.Mwinyi aathiriki nao n.k

JF imeingiliwa! Tigo imeanza kutumika kufikiri namna ya kutatua mambo magumu.
 
Tija yangu ni kujenga na kufanya kila mmoja wetu afikiri bila ubinafsi

Mkuu ubinafsi unaosema ni upi? Kudai uboreshwaji wa huduma ktk hospitali zetu au kwenda kutibiwa Apollo?
Kama huelewi wanachodai, si ungeuliza tu au ukakaa kimya.
Duh, usingizi una shida kweli.
 
Jamani swala hili la mgomo wenzenu nalitazama katik mambo mawili tofuti.

Nautizama mgomo huu kama sehemu ya kuishinikiza serikali iwaangalie upya katika kile wanachokifanya. Binafsi numia sana na mishahara na posho ndogo wanazopewa au wasizopewa kama ni halali yao.Serikali haijui ipriotise wapi na kwanini na tena haijui nani ni muhitaji katika taifa hili. Inasikitisha kuona wabunge wanakaa na kudai nyongeza za maslahai yao kwa kuongea tu bungeni tena kusikokuwa na tija na anasikilizwa mara moja na kuongezewa posho hizo lakin mtumisha wa serikali kama huyu ambaye mazingira anyofanyia kazi siyo pendwa, kazi yenye ni risk na malipo pia. mungu na atusaidie jamani.

kwa upande mwingine namuonea huruma sana yule mtanzania wa kawaida anayehitaji huduma hospitalini na hajaipata kisa mgomo huu kweli inasikitisha sana.

lakini namuonea huruma zaid askari aliyekesha usiku kumlinda huyu dr na malizake na kwa bahati mbaya akapata ajaliaaaa wakati wa patrol ama akavamiwa na majambazi na sasa anahitaji na hana mtu wa kumuhudumia.

pia namuonea huruma sana tena sana mwalimu mwenzangu wa sayansi kama mimi ambaye muda huu alikuwa anaandaa practical ya chemistry na kwa bahati mbaya sana the conc. acid spilled na ikamuunguza na sasa anhitaji huduma za kitabibu lakini ameshindwa kuzipata, akaamua kwenda private hosp akiwa na kitambulisho chake cha bima lakini bima yake ni brown card, hakubaliki kutibiwa hosp yeyote ile kisa bima hii ni ndogo kiasi kwamba huduma anayoweza kupatiwa ktk hosp hizi hakuna.Jmani naandika hii post nikiwa nalia kwa uchungu sana serikali imetufanya tumekuwa watumwa kwenye nchi yetu, sisi tunaokesha kufundisha hawa madaktari lakin mwishowe shukurani inageuka kuwa ya punda. basi hata kabima tupewepo kazuri ni hako ka brown kadi kasiko na lolote.

najiuliza mimi mwl mwenzangu kapata ajali maabara kaenda hosp kakosa huduma je mimi niendelee au niondoke? nikisusa maskini hawa watoto wa wakulima nitawalostisha damu yao nitadaiwa siku moja. pengine kwa kuwafundisha siku ya leo Mungu alitegemea niwavushe daraja moja kwenda jingine je nikisusa sinitawakwamisha?

lakini pia hawa baadae hawatakumbuka kwamba niliwafundisha manake hata hao waliogoma wanasahau kwamba kuna waalimu walichangia sana kuwafikisha hapo walipo na leo hii ni mgonjwa hoi na ni mzee hana jinsi inabidi afie kitandani kwa kukosa huduma.

Mungu najua uko fair sana basi tusikilize sisi waalim ambao hatuna uwezo wa kutibiwa private na sasa ni wagonjwa kwaajali ya maabara pengine na mmoja wa hawa wanafunzi ni mtoto wa huyo daktari lakin hatuna msaada pesa cash hatuna tunadhalilika na si kwamba hatufanyi kazi zetu ee Mungu tuhurumie sisi waja wako. nimesema silii tena nakaa kimya na najua Mungu atatupa msaada tu.wabarikiwa sana madaktari wa hosp ya hurbert kairuki walio amua kutusaidia kumuhudumia mwenzetu kwa mkopo. mungu ameona moyo wenu atawajaza zai na zaid.

Kikwete tunakufa talk something gentleman
 
Mi nadhani wanachofanya Madaktari ni kuwawakilishi watumishi wengine wa Umma juu ya hali duni ya mazingira ya kazi katika Utumishi wa Umma. To me, they are just representatives kutokana na unyeti wao, it will attract more Goverment attention na kuliko wangegoma Proffession nyingine kama Wahasibu.
 
Cjaelewa tija yako ni kujenga ama kubomoa !! Sidhani kama unawezana na Familia yako !! Ina maana mke wako akigoma kupika na ww unagoma !! Bila kujali hali ya watoto !! Tulia na tafakari upya kauli yako ! !! To hoja za kujenga na kusaidi kupata muafaka na si kubomoa !!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Huyo Jamaa hajielewi hata kidogo, hajui serikali Yake ndio imegoma then madaktari wamerespond????
Alf anadhani uzalendo upo Kwa hiyo serikali??? Awaambie viongozi waache rongorongo bkoz miezi yote imepita wakiahidi kulimaliza kumbe siasa na porojo.. UTUMWA KWA WANASIASA UKOME... wanasema wamepandisha malipo ktk ukaguzi Wa Maiti wakati hao Madaktari ni takriban 11 tu nchi nzima.. UHUNI HUO
 
Jamani wadau kwa jinsi hali ilivyo kama wao wamekataa kutupa huduma na sisi tuwasusie kuwapa huduma kama wao wanavyofanya kwa jamii. Wahasibu wasiwalipe mshahara yao na hata huduma nyingine pia tuwatose. Tusiwafundishe watoto wao hata wakija na hela yao na huduma nyinginezo...mgogoro wauletao wanaoumia ni watanzania maskini na sip viongozi wa serikali. Mgogoro huu Pinda. Hawa ghasia.Mwinyi aathiriki nao n.k

watanzania maskini tunao umia, serikali yetu ndo inayotuumiza sababu imechangia kwa kiasi cha asili mia 100, kutufanya masikini na kutotupatia huduma za kijamii. inaingia akilini hospitali kukosa vitanda, urine bags nk.
 
Jamani swala hili la mgomo wenzenu nalitazama katik mambo mawili tofuti.

Nautizama mgomo huu kama sehemu ya kuishinikiza serikali iwaangalie upya katika kile wanachokifanya. Binafsi numia sana na mishahara na posho ndogo wanazopewa au wasizopewa kama ni halali yao.Serikali haijui ipriotise wapi na kwanini na tena haijui nani ni muhitaji katika taifa hili. Inasikitisha kuona wabunge wanakaa na kudai nyongeza za maslahai yao kwa kuongea tu bungeni tena kusikokuwa na tija na anasikilizwa mara moja na kuongezewa posho hizo lakin mtumisha wa serikali kama huyu ambaye mazingira anyofanyia kazi siyo pendwa, kazi yenye ni risk na malipo pia. mungu na atusaidie jamani.

kwa upande mwingine namuonea huruma sana yule mtanzania wa kawaida anayehitaji huduma hospitalini na hajaipata kisa mgomo huu kweli inasikitisha sana.

lakini namuonea huruma zaid askari aliyekesha usiku kumlinda huyu dr na malizake na kwa bahati mbaya akapata ajaliaaaa wakati wa patrol ama akavamiwa na majambazi na sasa anahitaji na hana mtu wa kumuhudumia.

pia namuonea huruma sana tena sana mwalimu mwenzangu wa sayansi kama mimi ambaye muda huu alikuwa anaandaa practical ya chemistry na kwa bahati mbaya sana the conc. acid spilled na ikamuunguza na sasa anhitaji huduma za kitabibu lakini ameshindwa kuzipata, akaamua kwenda private hosp akiwa na kitambulisho chake cha bima lakini bima yake ni brown card, hakubaliki kutibiwa hosp yeyote ile kisa bima hii ni ndogo kiasi kwamba huduma anayoweza kupatiwa ktk hosp hizi hakuna.Jmani naandika hii post nikiwa nalia kwa uchungu sana serikali imetufanya tumekuwa watumwa kwenye nchi yetu, sisi tunaokesha kufundisha hawa madaktari lakin mwishowe shukurani inageuka kuwa ya punda. basi hata kabima tupewepo kazuri ni hako ka brown kadi kasiko na lolote.

najiuliza mimi mwl mwenzangu kapata ajali maabara kaenda hosp kakosa huduma je mimi niendelee au niondoke? nikisusa maskini hawa watoto wa wakulima nitawalostisha damu yao nitadaiwa siku moja. pengine kwa kuwafundisha siku ya leo Mungu alitegemea niwavushe daraja moja kwenda jingine je nikisusa sinitawakwamisha?

lakini pia hawa baadae hawatakumbuka kwamba niliwafundisha manake hata hao waliogoma wanasahau kwamba kuna waalimu walichangia sana kuwafikisha hapo walipo na leo hii ni mgonjwa hoi na ni mzee hana jinsi inabidi afie kitandani kwa kukosa huduma.

Mungu najua uko fair sana basi tusikilize sisi waalim ambao hatuna uwezo wa kutibiwa private na sasa ni wagonjwa kwaajali ya maabara pengine na mmoja wa hawa wanafunzi ni mtoto wa huyo daktari lakin hatuna msaada pesa cash hatuna tunadhalilika na si kwamba hatufanyi kazi zetu ee Mungu tuhurumie sisi waja wako. nimesema silii tena nakaa kimya na najua Mungu atatupa msaada tu.wabarikiwa sana madaktari wa hosp ya hurbert kairuki walio amua kutusaidia kumuhudumia mwenzetu kwa mkopo. mungu ameona moyo wenu atawajaza zai na zaid.

Kikwete tunakufa talk something gentleman
Huuuh..am speechless..
 
Back
Top Bottom