PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Wakuu,
Mwisho wa siku saba alizotoa Ridhiwan Kikwete kwa Dr Slaa na Mch. Mtikila ni leo Jumatatu!
Je kijana huyu atakuwa keshaanza taratibu zozote za kuwaburuza wakubwa hawa kwa Pilato?
Au amesafiri?...!
Asipotekeleza ahadi yake, yeye ndiye atakayeshitakiwa na Mch Mtikila(kwa Mujibu wa Mch.Mtikila)!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...r-slaa-na-mtikila-kukanusha-utajiri-wake.html
Mwisho wa siku saba alizotoa Ridhiwan Kikwete kwa Dr Slaa na Mch. Mtikila ni leo Jumatatu!
Je kijana huyu atakuwa keshaanza taratibu zozote za kuwaburuza wakubwa hawa kwa Pilato?
Au amesafiri?...!
Asipotekeleza ahadi yake, yeye ndiye atakayeshitakiwa na Mch Mtikila(kwa Mujibu wa Mch.Mtikila)!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...r-slaa-na-mtikila-kukanusha-utajiri-wake.html