denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,937
Media wajifunze kwa makosa.Wasije rudia yale ya Al-adawi(Mmiliki wa Dowans)-NO PHOTO.
Wajivue Gamba
"Ali Adaiwi"
Media wajifunze kwa makosa.Wasije rudia yale ya Al-adawi(Mmiliki wa Dowans)-NO PHOTO.
Wajivue Gamba
Mafisadi wazoefu na wenye akili zao hukaa kimya bila kujibu tuhuma.
Wakuu,
Mwisho wa siku saba alizotoa Ridhiwan Kikwete kwa Dr Slaa na Mch. Mtikila ni leo Jumatatu!
Je kijana huyu atakuwa keshaanza taratibu zozote za kuwaburuza wakubwa hawa kwa Pilato?
Au amesafiri?...!
Asipotekeleza ahadi yake, yeye ndiye atakayeshitakiwa na Mch Mtikila(kwa Mujibu wa Mch.Mtikila)!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...r-slaa-na-mtikila-kukanusha-utajiri-wake.html
mKUUPJ nilikwambia kuna thread RK kesema asifuatiliwe maisha yake, huo ndiyo umjini umjini ulivyo na majibu yake too short. Bofya https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/133372-mtoto-wa-rais-kikwete-angaka-tena.html
Wakuu,
Mwisho wa siku saba alizotoa Ridhiwan Kikwete kwa Dr Slaa na Mch. Mtikila ni leo Jumatatu!
Je kijana huyu atakuwa keshaanza taratibu zozote za kuwaburuza wakubwa hawa kwa Pilato?
Au amesafiri?...!
Asipotekeleza ahadi yake, yeye ndiye atakayeshitakiwa na Mch Mtikila(kwa Mujibu wa Mch.Mtikila)!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...r-slaa-na-mtikila-kukanusha-utajiri-wake.html
nitaimiss sana hii serikali
kwa kifupi dogo naye msani like father
- kimjini mjini
- magamba
- maisha bora kwa kila mtanzania
- mgao wa umeme
- mafisadi
- makamba
- mabilioni wa kuiba kodi zetu
- wabunge 20 wa CHADEMA kutuliza wabunge 200 wa chama na serikali
- siku 7, siku 90, siku..........
- kila shule kuunganisha kwenye mkonga wa taifa
- foleni jijini dar
- mswada wa katiba uliochakachulia
- HII NDI MBAYA KULIKO ZOTE---TENDWA kukili Jk alipumulia mashine kwenye uchaguzi, kwa maana nyingi tendwa ametushitua live kwamba alishiliki kutusaliti lakini bora ajisafishe kabla ya chadema kushika dola.
- JK--mbona mnaandamano na kusema maneno yale yale tu ya kwenye uchaguzi, mimi lishasahau niliyosema kwenye uchaguzi, MAMBO YA UCHAGUZI wamekwisha (ahadi)--source vyombo vya habari
Kali zaidi kasema kila wakifanya jambo la maendeleo wazunguke nchi nzima kulitangaza ili wananchi wajue na watoe kura. Kweli hii itakuwa ni wendawazimu uliovuka mipaka.Leo dingi yake kasema waongee uwongo tu magamba,, wadaganyilka wakizoea kusikia utabadilika utakuwa kweli.
Labda watatumia nguvu ya pesa Kumnyamazisha Rev Mtikila...!