Media wajifunze kwa makosa.Wasije rudia yale ya Al-adawi(Mmiliki wa Dowans)-NO PHOTO.Ahadi ni deni bana!
Huyu mtoto aliongea kwa kuita waandishi wa habari, akiwa na maana UMMA wa Watanzania wote unatakiwa ufahamishwe jambo alilotaka kusema!
Sasa anawajibika kabisa kumalizia homework yake kwa kuchukua hatua aliyoahidi, vinginevyo atumie vyombo hivyohivyo vya habari kukanusha kuwa hakuwa makini wakati akitamka maneno hayo!
HTML:Media nazo zina wajibu mkubwa sana kumfuatilia huyu kijana wa kimjinimjini, ili kupata kinachoendelea na hatimaye kuwamalizia sakata hili wananchi!
Wajivue Gamba