Mwanaume kujiliza liza kha!

wote hakuna cha kuwagawa hapa, kuna kuna sheria ya kifamilia inasema kuwa mshahara wa mwanaume ni wa familia nzima lakini mshahara wa mwanamke ni wa mwanamke tu basi:
anayebisha aje hapa bila jazba lakini, mimi leo nawatetea wanawake tu, watu wamezidi kuwaonea sana ,mara ooo wanaua , wauaji oo sijui nini maneno kibao kila kashfa anapewa yeye mwanamke

Umeahidiwa Kubwa Nini mbonaa leo wajigonga sana kwa viumbe hawa??
 
wote hakuna cha kuwagawa hapa, kuna kuna sheria ya kifamilia inasema kuwa mshahara wa mwanaume ni wa familia nzima lakini mshahara wa mwanamke ni wa mwanamke tu basi:
anayebisha aje hapa bila jazba lakini, mimi leo nawatetea wanawake tu, watu wamezidi kuwaonea sana ,mara ooo wanaua , wauaji oo sijui nini maneno kibao kila kashfa anapewa yeye mwanamke
soma hapo juu kwenye red kabla hujajibu post yangu kijana
Umeahidiwa Kubwa Nini mbonaa leo wajigonga sana kwa viumbe hawa??
 
Jana tu nilikuwa na Demu, tumekaa nae vizuri tu, Mara kaanza kulialia ooh mara Kodi ya Nyumba sina, Nadaiwa maji,. Mara Betri ya Simu imekufa. Nikaamua kumuaga na kuondoka. Isije ikawa ndio huyu Sarafina1 kaamua kuja kulia humu. Pole sana mama jifunze kujitegemea.
Jua ya kwamba ukiomba na wewe utaombwa.!!!

Umenifanya nicheke tu mkimbizwambio, pole sana acha tabia hiyo kaka yangu mpenzi haipendezi unajishushia thamani kuomba omba
 
sarafina naye kamwaga ukweli hapa

sisi vijana wa zamani hatukuwa na hatuna na huenda hatutakuwa na tabia kama hizi za nyie vijana wa kisasa (masharobaro) kulia lia.
Ndo maana hii thread ilipoletwa tulishtushwa na ukali wa haya maneno..hatujazoea kusikia
 
he he he he wajiona wa maana sana kushindwa kumtimizia demu wako mahitaji yake? mwanaume suruali kweli wewe, unajiona ulifanya la maana sana kuondoka.....ungemwambia huna uwezo....inavyoonekana unapenda vya bure, nyie ndo wale mnataka hata hela ya kitanda guest na kondom mlipiwe na boxer mnunuliwe.....ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa.....unalo!! Sarafina hajakataa mwanaume asiombe,ila kuwe na kiasi,si kila kukicha unaomba tu....heshima inashuka...ushalobaro umezidi,usitake kufananisha Sarafina na mlupo wako wa bei chee unaoomba hata betri....yeye Sarafina anaombwa na wanaume si yeye anaomba! Uache tabia hiyo!

Mahitaji mi ni mzazi wake?. Mkawachune hao wa mkoani. Sisi tunajua ugumu wa hiyo pesa, hatuchuniki. Ukishindwa wewe vua gamba.
 
Hivi Sarafina umemaanisha wanaume waliokimapenzi au hata mafriend kwa kawaida??

Dada mwanajamii One hapa hakuna cha mafriend wa kawaida wala wapenzi, hata wewe uwe na rafiki tu wa kike awe anajiliza liza utafurahia? si utamshangaa? sasa anakuja mwanaume kila siku kujiliza, mkimbizwa mbio kasema kuna mdada alimlilia shida jana akamkimbia, Na anadhani ni mimi) je mwanaume kumlilia mwanamke si ndio yachekesha zaidi mamy
 
sisi vijana wa zamani hatukuwa na hatuna na huenda hatutakuwa na tabia kama hizi za nyie vijana wa kisasa (masharobaro) kulia lia.
Ndo maana hii thread ilipoletwa tulishtushwa na ukali wa haya maneno..hatujazoea kusikia

Pole sana kijana wa zamani haya mambo yapo sana tu, ni vizuri walijua hilo hata watoto wako uwalee katika maadilia hayo hayo
 
Mipasho ndo yenyewe....tena ukipasha kwa kujishaua na kujishebedua ndo hunoga zaidi.

Kwa kweli sina hata la kusema kwenye hili. Nimekuwa najitegemea mwenyewe tokea umri wa miaka 18 na niko mwajibikaji na ninaishi ndani ya uwezo wangu. Ila nadhani kulialia au kulalama kuhusiana na ugumu wa maisha halafu kuishia kusumbua wenzio si uzuri. Na hili halina jinsia lakini baadhi ya watu wanapenda kuingiza jinsia. Sijui kwa nini tu.

Licha ya hivyo, aso na haya wala haoni ubaya kupiga watu mizinga. Si tabia nzuri na wewe kama unayo iache Michelle lol...tena ukome kabisa.

Well said kaka ngabu yaani hii tabia waliyonayo wakome kabisa wote wanawake kwa waume inakera na kuudhi sana tu
 
Mahitaji mi ni mzazi wake?. Mkawachune hao wa mkoani. Sisi tunajua ugumu wa hiyo pesa, hatuchuniki. Ukishindwa wewe vua gamba.

Then umfuate mama yako umuoe na kuwa na uhusiano nae wa kimapenzi.....hakuna anayechuna hapa,tunachunwa na wapenda bure kama wewe.....maskini kama wewe nani akuchune,huo mlupo ulioenda kuuchukua barabarani usiokuwa na hela hata ya betri ya simu usitake kufanya ni kila mtu.....you are cheap ndo maana kwanza kakuomba vitu vya bei che.....wenye hela hawaombwi hela ya betri wala kodi za nyumba,wanaombwa wajenge/wanunue nyumba na kununua simu mpya bora zaidi.....ha ha ha haaaaaaaaaa....jibebe na umaskini wako,ukiona vyaelea ujue vimeundwa babu,we subiri kuundwa tu as hutaki kuunda!
 
hahahah@ sarafina1 kaja kivingine. Dada shida haina mwenyewe, nahisi huyo wako kama anapiga mzinga kila siiku ujue kaishiwa au kabanwa, anajua mpendwa wake uko kariibu nae. Ila sasa kama unamjua kuanzia huko mlikotoka alikuwa anakupiga mzinga basi mwambie aache tabia ya kukuomba kwa sababu hupendi.

kama ana shida na siyo kawaida yake kuomba basi msaidie shosti, hali yenyewe unaiona kila kitu doroooooo.
 
Wewee shika adabu yako, nani anajibaraguza?? Ngoja niulize kama nami huwa najiliza.....lol!!
Hehehehe leo mmenichekesha katavi bana
Hao watakuwa mashabaro tu! Toka lini mwanaume akalia kisa eti hana hela, tena mbele ya mpenzi.....hatujafundishwa hivyo katika jamii yetu!
Hapa sasa unaongea lol

Sio kuwa tumekuja juu, toa ushahidi kidogo japo kidogo. Kwetu mwanaume kulialia ni mkosi tena mbele ya mwanamke.....lol!!
Hata bila ushahidi my dia haya mambo yapo, nimefarijika kwamba hata wewe hupendi ni kujidhalilisha
 
he he he he wajiona wa maana sana kushindwa kumtimizia demu wako mahitaji yake? mwanaume suruali kweli wewe, unajiona ulifanya la maana sana kuondoka.....ungemwambia huna uwezo....inavyoonekana unapenda vya bure, nyie ndo wale mnataka hata hela ya kitanda guest na kondom mlipiwe na boxer mnunuliwe.....ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa.....unalo!! Sarafina hajakataa mwanaume asiombe,ila kuwe na kiasi,si kila kukicha unaomba tu....heshima inashuka...ushalobaro umezidi,usitake kufananisha Sarafina na mlupo wako wa bei chee unaoomba hata betri....yeye Sarafina anaombwa na wanaume si yeye anaomba! Uache tabia hiyo!

Michelle umenifurahisha sana leo ni kweli sio mwanaume asiombe ila kuwe na kiasi jamani, unaomba omba mpaka kero
 
Usituletee mambo facebook humu..hapa ni ma great thinkers..we discuss relevant stuffs..politics,economics..e.t.c
 
wakiambiwa ukweli kelele moja kwa moja! Wapo sana . Hasa wakiona una franga kidogo ndio balaa . Gud Sarafina umepasua jipu

Hehehehe mi leo nimecheka mpaka basi, sarafina kawaweza sana mariooooooooooo leo
 
Dada mwanajamii One hapa hakuna cha mafriend wa kawaida wala wapenzi, hata wewe uwe na rafiki tu wa kike awe anajiliza liza utafurahia? si utamshangaa? sasa anakuja mwanaume kila siku kujiliza, mkimbizwa mbio kasema kuna mdada alimlilia shida jana akamkimbia, Na anadhani ni mimi) je mwanaume kumlilia mwanamke si ndio yachekesha zaidi mamy

Sijasoma posti zote.
Sarafina1....wondering kama umeliliwa....

 
Usituletee mambo facebook humu..hapa ni ma great thinkers..we discuss relevant stuffs..politics,economics..e.t.c

Hahahahaha mko wengi cheki na hilo pozi lako hapo limekaa kisharobaro zaidi, unataka politics, na economics mmu! umepotea njia hapa ni mapenzi na mahusiano tu mpendwa
 
Back
Top Bottom