Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,417
- 9,806
Inashangaza sana kuona vibaka wanachomwa moto mtaani huku kausha damu wanaachiwa tu wakati demage inayosababishwa na kausha damu kwenye jamii ni kubwa kuliko ya hawa vibaka. Kwa sasa ni ngumu sana kuanzisha mahusiano ya maana kwa sababu wanawake wamekua kausha damu wanachokitafuta kwenye mahusiano ni kupewa hela tu.
Kausha damu ni kero kwenye jamii. Wanawake mmekua ombaomba na matapeli. Mnajidhalilisha na kujishusha utu wenu kwa ajiri ya vitu vidogo sana. Hivi ukiwa na appointment ya kukutana na mpenzi wako kweli hata hela ya bodaboda itakushinda, kiasi kwamba unataka na hiyo atoe mwanaume?
Ishini life style mnayoimudu kulingana na vipato vyenu. Hauna kazi wala biashara iliyosimama baki nyumbani kwa wazazi wako subiri kuolewa sio unapanga chumba halafu unategemea hela ya kodi, luku, gesi ipatikane kwa kudanga. Nawaambieni ukweli nyie kausha damu hakuna ombaomba anaeheshimika.
Kausha damu wamehalalisha udangaji na ukahaba kwa kigezo kwamba mwanaume ana jukumu la kumhudumia mwanamke. Sikatai mwanaume kumhudumia mwanamke lakini kuna namna ambayo itamlazimu mwanaume akuhudumie. Kwanza uwe mke wake mnaishi pamoja, pili usiwe na shughuli ya kukupa kipato la sivyo unatakiwa kujihudumia mwenyewe kama hauna kazi basi jukumu la kukuhudia ni la wazazi wako.
Na nyie wanaume wajinga mnaojikuta gentlemen na kuingia gharama kuwafurahisha hawa indirect prostitutes nawaambieni ukweli hawa kausha damu wanawaona mafala tu na wataendelea kuwatumia kwa masilahi yao kwa sababu ya ujinga wenu. Mwaka 2024 badilikeni mnatuabisha sana, wanaume wote tunaonekana idiots and pussy driven kwa sababu yenu.
Kausha damu wote nawapeni makavu live, sex ni mutualy pleasure sio biashara. Mkitumia kigezo cha kugawa mbususu kama justification ya kupewa hela au matunzo kutoka kwa mwanaume ambae sio mmeo basi nyie ni makahaba tu.
Kausha damu ni kero kwenye jamii. Wanawake mmekua ombaomba na matapeli. Mnajidhalilisha na kujishusha utu wenu kwa ajiri ya vitu vidogo sana. Hivi ukiwa na appointment ya kukutana na mpenzi wako kweli hata hela ya bodaboda itakushinda, kiasi kwamba unataka na hiyo atoe mwanaume?
Ishini life style mnayoimudu kulingana na vipato vyenu. Hauna kazi wala biashara iliyosimama baki nyumbani kwa wazazi wako subiri kuolewa sio unapanga chumba halafu unategemea hela ya kodi, luku, gesi ipatikane kwa kudanga. Nawaambieni ukweli nyie kausha damu hakuna ombaomba anaeheshimika.
Kausha damu wamehalalisha udangaji na ukahaba kwa kigezo kwamba mwanaume ana jukumu la kumhudumia mwanamke. Sikatai mwanaume kumhudumia mwanamke lakini kuna namna ambayo itamlazimu mwanaume akuhudumie. Kwanza uwe mke wake mnaishi pamoja, pili usiwe na shughuli ya kukupa kipato la sivyo unatakiwa kujihudumia mwenyewe kama hauna kazi basi jukumu la kukuhudia ni la wazazi wako.
Na nyie wanaume wajinga mnaojikuta gentlemen na kuingia gharama kuwafurahisha hawa indirect prostitutes nawaambieni ukweli hawa kausha damu wanawaona mafala tu na wataendelea kuwatumia kwa masilahi yao kwa sababu ya ujinga wenu. Mwaka 2024 badilikeni mnatuabisha sana, wanaume wote tunaonekana idiots and pussy driven kwa sababu yenu.
Kausha damu wote nawapeni makavu live, sex ni mutualy pleasure sio biashara. Mkitumia kigezo cha kugawa mbususu kama justification ya kupewa hela au matunzo kutoka kwa mwanaume ambae sio mmeo basi nyie ni makahaba tu.