Kaka Mpendwa
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 772
- 415
39....!
39?? unachakachua hadi umri? ..mbona mdogo sana..nilifikiri 52!
nikikuangalia sana hauzidi 25
39....!
Maneno ya shombo hayo,umbea 2.wanaume kama mabinti....utoto wa mama unaendelea hata akishaoa.....misukosuko kidogo tu,machozi...ovyo sana....!!!
bora umesema,wenye tabia hiyo wajifunze kujikaza na kupambana kiume si kulia lia!
Tunarudi kule kule wanaume mnatakiwa kututunza sisi wanawake lakini mkiombwa ombwa mwakerekwa. Sasa inakuwaje dume zima kuwa omba omba
Sio wanaume wote ila, limeanza kuibuka kundi la wababa kazi yao akiwa na mpenzi basi kazi yake ni kupiga mizinga tu bila aibu, na hii tabia inaonekana kukua sana
mkuu hapa hutuzungumzagi mambo hayoUnapotaka kufanya jambo flani, lazima uchague pa kuanzia kwa muda huo. Kwa maana CHADEMA waliamua kwanza kuanza na list of shame kabla ya kuendelea na sehemu ya nyingne, (hilo si la kubeza kwan matunda yao yameonekana).
CCM imechafuka sana, haina uwezo wa kujisafisha kiasi cha kuipoteza CHADEMA,,ikifanikiwa basi itakuwa ni kizazi kingne si hiki tulichoncho leo.Hakuna mbinu za kimafia za kuisafisha CCM, bali wana mbinu a kimafia za kuibomoa CCM. CCM imechafuka kuanzia ngazi ya shna had kamati kuu, nani wa kumsafisha mwenzake????.
Vilevile kama CCM wakijirekebisha ndio furaha yetu, lengo ni viongozi wasafi. HATUANGALII CHAMA
mkuu hapa hutuzungumzagi mambo hayo
Unapotaka kufanya jambo flani, lazima uchague pa kuanzia kwa muda huo. Kwa maana CHADEMA waliamua kwanza kuanza na list of shame kabla ya kuendelea na sehemu ya nyingne, (hilo si la kubeza kwan matunda yao yameonekana).
CCM imechafuka sana, haina
uwezo wa kujisafisha kiasi cha kuipoteza
CHADEMA,,ikifanikiwa basi itakuwa ni kizazi kingne si hiki tulichoncho leo.Hakuna mbinu za kimafia za kuisafisha CCM, bali wana mbinu a kimafia za kuibomoa CCM. CCM imechafuka kuanzia ngazi ya shna had kamati kuu, nani wa kumsafisha mwenzake????.
Vilevile kama CCM wakijirekebisha ndio furaha yetu, lengo ni viongozi wasafi.
HATUANGALII CHAMA
Unapotaka kufanya jambo flani, lazima uchague pa kuanzia kwa muda huo. Kwa maana CHADEMA waliamua kwanza kuanza na list of shame kabla ya kuendelea na sehemu ya nyingne, (hilo si la kubeza kwan matunda yao yameonekana).
CCM imechafuka sana, haina uwezo wa kujisafisha kiasi cha kuipoteza CHADEMA,,ikifanikiwa basi itakuwa ni kizazi kingne si hiki tulichoncho leo.Hakuna mbinu za kimafia za kuisafisha CCM, bali wana mbinu a kimafia za kuibomoa CCM. CCM imechafuka kuanzia ngazi ya shna had kamati kuu, nani wa kumsafisha mwenzake????.
Vilevile kama CCM wakijirekebisha ndio furaha yetu, lengo ni viongozi wasafi. HATUANGALII CHAMA
Haya nazo hizi habari zenu za mahusiano hazitusaidii ktk hili jamvi letu.Ila nakushauri tu :alien:dume likilialia lifunge kanga then likalishe sebuleni then waite mashoga zako,mbele ya mashoga mpe hela ya bia na buku akatafute nazi ya kuungia mboga.Hatorudi tena huyo mwanaume machozi ombaomba.
Kha??????? Wapi hapa nilipo?? Au sioni vizuri???