Mwambie straight aliyekupiga mzinga, sio unakuja hapa JF, una uhakika huyo bwanako anakuja hapa?
After all si mnapendana...iweje utafute usuluhishi kwetu, si myamalize chumbani kwenu?
Mwambie straight aliyekupiga mzinga, sio unakuja hapa JF, una uhakika huyo bwanako anakuja hapa?
After all si mnapendana...iweje utafute usuluhishi kwetu, si myamalize chumbani kwenu?
wanaume kama mabinti....utoto wa mama unaendelea hata akishaoa.....misukosuko kidogo tu,machozi...ovyo sana....!!!
bora umesema,wenye tabia hiyo wajifunze kujikaza na kupambana kiume si kulia lia!
mmmhhhh, wanaokuja na thread wanawake wote wasomi ni wauaji wao wanahakika gani hao wanawake wauaji wako JF?? same applies here,kwa wanaolia lia kama wako JF waache,haipendezi....katoa kero yake,hayo ya chumbani yametoka wapi??
Huu sio mpasho , hapa kasema ukweli kabisa na ukweli unauma hahahahahduh,mipasho ya facebook ime hamia JF,....
si ukweli unauma jamani? ppha hah ahahaMbona Thread imekaa kishari sana?
hii ni sawa kabisa au nyie mnafurahia madongo kama haya wakipigwa wanawake tu? tusikimbie vivuli vyetu.Ujio wa Feb na March huo umesahau Speaker?
Yaani sijui Mod watadhibiti vip hizi craps,
Zinaidharirisha sana JF yetu!!
I hate this kind of craps!
kawashika watu pabaya sio?utoto unakusumbua sarafina.:hat:
hapa anawasilisha meseji kwa mijitu yenye hii tabiaUnayemwambia yupo humu JF??Nakama kakulilia sinikwamba anakutegemea umfute machozi sasa wewe baada ya kumfuta machozi unamwanika huku JF??!!Vihoja kweli haya nadhani kasikia!
ila mwanaume anatakiwa agangamale sio kulia lia jamaniWe mtoto koma kabisa. Shida haina mwanaume au mwanamke.
wanaume kama mabinti....utoto wa mama unaendelea hata akishaoa.....misukosuko kidogo tu,machozi...ovyo sana....!!!
bora umesema,wenye tabia hiyo wajifunze kujikaza na kupambana kiume si kulia lia!
mmmhhhh, wanaokuja na thread wanawake wote wasomi ni wauaji wao wanahakika gani hao wanawake wauaji wako JF?? same applies here,kwa wanaolia lia kama wako JF waache,haipendezi....katoa kero yake,hayo ya chumbani yametoka wapi??
Wanawake wa Bongo wengi ombaomba lakini wakiombwa wao Keleleeeeeeeee. Kazi kweli kweli. na nyie mjitegemee kazi si mnafanya.?
Wanawake wa Bongo wengi ombaomba lakini wakiombwa wao Keleleeeeeeeee. Kazi kweli kweli. na nyie mjitegemee kazi si mnafanya.?
mmmhhhh, wanaokuja na thread wanawake wote wasomi ni wauaji wao wanahakika gani hao wanawake wauaji wako JF?? same applies here,kwa wanaolia lia kama wako JF waache,haipendezi....katoa kero yake,hayo ya chumbani yametoka wapi??
Yaani bora useme wewe mpenzi wakisema wao wanageneralize wanawake wote hata hatutoi kashfa za hovyo, na nimeshangaa mtu kama pakajimy kuropoka hivyo, inashangaza sana
Wanawake wa Bongo wengi ombaomba lakini wakiombwa wao Keleleeeeeeeee. Kazi kweli kweli. na nyie mjitegemee kazi si mnafanya.?
Huu sio mpasho , hapa kasema ukweli kabisa na ukweli unauma hahahahah
si ukweli unauma jamani? ppha hah ahaha
hii ni sawa kabisa au nyie mnafurahia madongo kama haya wakipigwa wanawake tu? tusikimbie vivuli vyetu.
kawashika watu pabaya sio?
hapa anawasilisha meseji kwa mijitu yenye hii tabia
ila mwanaume anatakiwa agangamale sio kulia lia jamani
duh!!!
Tunarudi kule kule wanaume mnatakiwa kututunza sisi wanawake lakini mkiombwa ombwa mwakerekwa. Sasa inakuwaje dume zima kuwa omba omba
uhusiano ni two-way direction..kwani itakuwa ni vibaya kumsaidia mwenzako kama hana kitu, kuliko kum-brand ombaomba ..
hapo nafikiri mleta thread alibagua kwa kusema wanawake wasomi, na sio wanawake wote.
Ila huyu mleta thread hii, anasema ni wanaume wote..tena hana hata ushahidi wa ku-support hoja yake.
hapo nafikiri mleta thread alibagua kwa kusema wanawake wasomi, na sio wanawake wote.
Ila huyu mleta thread hii, anasema ni wanaume wote..tena hana hata ushahidi wa ku-support hoja yake.
Tunarudi kule kule wanaume mnatakiwa kututunza sisi wanawake lakini mkiombwa ombwa mwakerekwa. Sasa inakuwaje dume zima kuwa omba omba