Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,587
- Thread starter
- #41
hongera kwa kulijua hilo.1 Mama yangu
2 Dada yangu
3 Mke
4 Bint yangu
5 Mke wangu
Ndo mana Dini zimesema tujue jins ya Kuishi Nao tujue Weakness zao na Strongness zao
hongera kwa kulijua hilo.1 Mama yangu
2 Dada yangu
3 Mke
4 Bint yangu
5 Mke wangu
Ndo mana Dini zimesema tujue jins ya Kuishi Nao tujue Weakness zao na Strongness zao
burudani gani mkuu?Ni chombo flan iv amazing cha burdan
Asante Ndugu yangu Nawapenda Wanawake wote wa jamii forumshongera kwa kulijua hilo.
Wengine wanamtumia wanamke kama chombo cha starehe kwa kumaanisha wanatuonea sana wanaume,wanatubebesha mimba wanatuacha,wanatuvua nguo, wanatutukana eg. K***m mayo ila mi binafsi nasema hiviii MWANAMKE NI JEMBE!!JIKE SHUPAVUKwangu mimi mwanamke ni kiumbe mzuri anayehitaji uwe na akili kuishi naye, pia aliumbwa na Bwana kwa matumizi ya asili na sio vinginevyo (soma warumi 1:26). Japokuwa kuna wakati huwa tunakoseana lakini bado nawapenda na kuthamini uwepo wao ktk maisha yangu maana bila kusameheana hapana familia wala taifa imara. Je wewe kwako mwanamke ni nini?
Mwanamke ni mzazi,mama,mlezi,mshauri,mwalimu,rafiki,mke na malkia wa nguvu!
Ila huyo mwanamke ukimkoroga maini,ni jambazi,adui ma kiumbe mkatili toka kuumwa hawajawahi tokea!!!na hatotokea kama yy!
Wengine wanamtumia wanamke kama chombo cha starehe kwa kumaanisha wanatuonea sana wanaume,wanatubebesha mimba wanatuacha,wanatuvua nguo, wanatutukana eg. K***m mayo ila mi binafsi nasema hiviii MWANAMKE NI JEMBE!!JIKE SHUPAVU
Mwanamke ni kiumbe hatari sana
Asante Ndugu yangu Nawapenda Wanawake wote wa jamii forums
ameena!PUMBA tuu... Hata cjaona point hapo
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Haha Ironic language nimetumia we unafikiri kila nachopost namaanisha Mimi nampenda Mama yangu TuJamaa unawapenda wanawake wa humu wa kazi gani mzee?????
Watakupa nini hasa.... Nothing you can benefit from them...
Acha kuwashobokea.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Burdan sonkoro... We hujawah kuchenga??burudani gani mkuu?
duh! dadavua madam wasiofahamu wapate kufahamu vizuri.Mwanamke ni kiumbe hatari sana