Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,587
Kwangu mimi mwanamke ni kiumbe mzuri anayehitaji uwe na akili kuishi naye, pia aliumbwa na Bwana kwa matumizi ya asili na sio vinginevyo (soma warumi 1:26). Japokuwa kuna wakati huwa tunakoseana lakini bado nawapenda na kuthamini uwepo wao ktk maisha yangu maana bila kusameheana hapana familia wala taifa imara. Je wewe kwako mwanamke ni nini?