George Charles007
Member
- Mar 10, 2024
- 93
- 179
Nani ni sababu ya migogoro kati ya mwanamke na mwanaume?
Je, yawezekana kuishi katika mahusiano bila kupishana kabisa?
Je, yawezekana kuishi katika mahusiano bila kupishana kabisa?
Kutokukubali na kutubia kosa baada ya kushikwa peupe???Hela/Pesa
💸 💶
kivipi?sababu kati ya migogoro ya mwanamke na mwanaume ni mwanamke
Kitanzi hicho mankutompa pesa ya kutosha
Kwa hiyo education vs money, hapo mwanamke ni education au money?Hizi debate kama za Education vs Money
Wanawake wana roho ya uharibifu, kwa mfano unaweza kuwa na ka mchepuka kako nje ila dem wako akijua lazima ahakikishe anaharibu hayo mahusianokivipi?
Hela/Pesa
💸 💶
KabisaHela/Pesa
💸 💶
Hi Nani ni sababu ya migogoro kati ya mwanamke na mwanaume?
Je, yawezekana kuishi katika mahusiano bila kupishana kabisa?
Haki sawa ndio mwanzilishi wa ugomvi.. Mwanamke naye anataka awe kichwa cha familia kitu ambacho kilishawekwa wazi long time ago... Kua mwanaume ni kichwa cha famlia forever... Na wanaume wote tuseme NA IWE HIVYO......Kuwa muislamu braza uwe na wigo mpana
Sababu anaingia kwenye Mahusiano na maslahi binafsi sana sana anaingia sababu ya kujipatia kipato umpe Pesani mwanamke
Nature tu ya wanawake ipo hivyo kwa kaliba yangu ni mtu mpole mno na mke wangu ni muongeaji so naweza rudi tu home akaanzisha hata kajiugomv ili tu niongeee ndo anajiskia amani.Nani ni sababu ya migogoro kati ya mwanamke na mwanaume?
Je, yawezekana kuishi katika mahusiano bila kupishana kabisa?