Kwahiyo wanawake tu ndiyo wasioona huo UREMBO wangu? Mbona wanaume wote WANANISIFIA? Hapa kuna tatizo.
wasifie nini cheki vimikono kama fito? wallah mpenzi wako ana shida hana hata sehemu ya kushika,umekauka kau ukipita karibu na moto si unaanza kuwaka inabidi uwe unatembea na kaportable fire extinguisher kwa usalama wakoKwahiyo wanawake tu ndiyo wasioona huo UREMBO wangu? Mbona wanaume wote WANANISIFIA? Hapa kuna tatizo.
Halafu eti wanawake tunalilia haki sawa na wanaume. Haki sawa itatoka wapi kama sisi wenyewe hatupendani? Mtu kama ni mzuri basi nipeni haki yangu.
Kwahiyo wanawake tu ndiyo wasioona huo UREMBO wangu? Mbona wanaume wote WANANISIFIA? Hapa kuna tatizo.
wasifie nini cheki vimikono kama fito? wallah mpenzi wako ana shida hana hata sehemu ya kushika,umekauka kau ukipita karibu na moto si unaanza kuwaka inabidi uwe unatembea na kaportable fire extinguisher kwa usalama wako
Kuna mtu amesema u are arrogant, I agree. Kama ulitaka kuwajulisha watu kuwa kwenye avatar that is the real Radhia its ok, ila huko kwenye sifa ungewaachia wenyewe wa'judge kama mzuri au la! Ni Hayo Tu
wasifie nini cheki vimikono kama fito? wallah mpenzi wako ana shida hana hata sehemu ya kushika,umekauka kau ukipita karibu na moto si unaanza kuwaka inabidi uwe unatembea na kaportable fire extinguisher kwa usalama wako
Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
Kama unajiamini haukatazwi
Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
Unajua maana ya kujiamini?
Kujiamini ni pamoja na kuwaacha wengine wakusifie au kukutukuza.
Kutokujiamini ni pamoja na kujinadi na kujitangaza kuwa wewe ni mzuri!
IN SHORT THIS POST IS ABOUT LOW SELF ESTEEM FOR A WOMAN.
Grow up!
mamaaaa aisee.....tehe tehe teehwasifie nini cheki vimikono kama fito? wallah mpenzi wako ana shida hana hata sehemu ya kushika,umekauka kau ukipita karibu na moto si unaanza kuwaka inabidi uwe unatembea na kaportable fire extinguisher kwa usalama wako
Umiss ni mashindano ya kudhalilishana (waaay below my standards) hivyo siwezi shiriki.
We mtoto hebu tuliza mzuka ...wacha kupiga mayowe acha watu waone wenyewe ...:A S-coffee:
mamaaaa aisee.....tehe tehe teeh