Mwanamke najiamini kwa avatar ya ukweli

Status
Not open for further replies.

Radhia Sweety

JF-Expert Member
Aug 10, 2011
4,434
1,765
Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
 
Hao wenye sura mbaya umewaona wapi?

Mpaka ufikie kumuita mwenzako mbaya ilhali humjui, basi una matatizo.

PS
Sijaona hiyo avatar yako, upload kwenye thread, via mobile na sie tupate cha kutukera.
 
Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........

Hongera unafiga bomba sana twenzetu PM hapa wanga wengi
 
Hao wenye sura mbaya umewaona wapi?

Mpaka ufikie kumuita mwenzako mbaya ilhali humjui, basi una matatizo.

PS
Sijaona hiyo avatar yako, upload kwenye thread, via mobile na sie tupate cha kutukera.

Acha choko choko wewe mtoto
Huoni mtoto mrembo huyo?
 
Hao wenye sura mbaya umewaona wapi?

Mpaka ufikie kumuita mwenzako mbaya ilhali humjui, basi una matatizo.

PS
Sijaona hiyo avatar yako, upload kwenye thread, via mobile na sie tupate cha kutukera.

Makelele ya nini kila siku wewe? Si uweke sura yako watu watutathmini.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom