Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,265
unanikana shosti?
Umeona eeh yaani katuruka futi 800
unanikana shosti?
Kukukana wewe itakuwa ngumu kama ccm kuondoka madarakani...tukifika mgombani ntawaambiaje bibi na babu?unanikana shosti?
Asante shosti! Hapo shemeji yako alikataa nisivae hijab kwasababu ningeficha sura ya ukweli hiyo.
Tatizo unajitetea sana weka picha mama. Siasa kila mahali?
Nyie siwezi kuwaruka. Ije mvua au liwake jua nawapenda hivyo hivyo na sura zenu ngumu...lolUmeona eeh yaani katuruka futi 800
Tehe...Weka wewe upate wa kukutongoza.
mpe ushauri huyomashaallah, mwambie shemeji wewe upo kwa ajili yake na asikutangaze kwa wengine atakuja kulia, kuna watu wana "offer" ambazo "can never be refused" na hijab haina maana ufiche, japo jistiri nywele tu, uvae nguo zisizo onesha "umbo lako", hilo ni kwa ajili yako na aliyekuoa kihalali.
Unanikumbusha mjadala (debate) moja niliyoisikia; advertisement ya bmw halafu kuna picha ya bmw na mrembo na kibikini tu, chini imeandikwa "test drive her now", mtoa mada (ahmed deedat) anauliza "the car or the girl?" nai afanyiwe majaribio ya kuendeshwa? Hiyo imekusudia kuonyesha jinsi wanawake tunavyotumiwa na kufanywa watumwa kwa uzuri wetu.
Isitoshe, katika uislaam tunafundishwa kuwa mbora kati yetu ni yule mwenye kumcha mungu wake na sifa ya uzuri pekee haitufanyi kuwa bora mbele ya binaadam na mwenyeezi mungu.
Halfu kuna methali ya kiswahili inasema "kizuri cha jiuza, kibaya chajitembeza". Nadhani unaielewa.
umejua ili eeh? Tf yupo wapi tena?kukukana wewe itakuwa ngumu kama ccm kuondoka madarakani...tukifika mgombani ntawaambiaje bibi na babu?
Nyie siwezi kuwaruka. Ije mvua au liwake jua nawapenda hivyo hivyo na sura zenu ngumu...lol
Hahahahaaaa! Nakuja usiinywe!Kuna supu hapa na glass ya wine uje utoe hangover maana mmh
MashaAllah, mwambie shemeji wewe upo kwa ajili yake na asikutangaze kwa wengine atakuja kulia, kuna watu wana "offer" ambazo "can never be refused" na hijab haina maana ufiche, japo jistiri nywele tu, uvae nguo zisizo onesha "umbo lako", hilo ni kwa ajili yako na aliyekuoa kihalali.
Unanikumbusha mjadala (debate) moja niliyoisikia; advertisement ya BMW halafu kuna picha ya BMW na mrembo na kibikini tu, chini imeandikwa "test drive her now", mtoa mada (Ahmed Deedat) anauliza "the car or the girl?" nai afanyiwe majaribio ya kuendeshwa? hiyo imekusudia kuonyesha jinsi wanawake tunavyotumiwa na kufanywa watumwa kwa uzuri wetu.
Isitoshe, katika Uislaam tunafundishwa kuwa mbora kati yetu ni yule mwenye kumcha Mungu wake na sifa ya uzuri pekee haitufanyi kuwa bora mbele ya binaadam na Mwenyeezi Mungu.
Halfu kuna methali ya Kiswahili inasema "kizuri cha jiuza, kibaya chajitembeza". nadhani unaielewa.
mweeehh!!!UMEMPA UKWELI FIRST LADY 1Huyu mtu anajiuza humu JF naona kakosea website zileeeee.....tumsamehe bure.HAJAWAHI KUSIKIA KWAMBA "UZURI BILA UBONGO ULIOKAA SAWA" HAULIPI SIKU HIZI LOL
......Mjukuu Mtiifu... 2012?:eyebrows::eyebrows::eyebrows:
hatuwezi kukudanganya ungekuwa mzuri tungekuambia mbona simple.wewe sio mzuri sasa tusemeje zaidi?