vunjajungu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 576
- 240
chu chu chu!to to tooooo!we wa ukweli mtu wangu,achana na vizabizabina!kama vp ni PM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No matter how beauty the avatar image looks like,what reflects from your posts contributions will personate you!
Una wivu kama umesusiwa mimba na mpiga debe
Hongera kwa urembo binti.
No matter how beauty the avatar image looks like,what reflects from your posts contributions will personate you!
mbona mnalushiana maneno, do you knw each other au?
Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
Halafu eti wanawake tunalilia haki sawa na wanaume. Haki sawa itatoka wapi kama sisi wenyewe hatupendani? Mtu kama ni mzuri basi nipeni haki yangu.
hatuwezi kukudanganya ungekuwa mzuri tungekuambia mbona simple.wewe sio mzuri sasa tusemeje zaidi?Halafu eti wanawake tunalilia haki sawa na wanaume. Haki sawa itatoka wapi kama sisi wenyewe hatupendani? Mtu kama ni mzuri basi nipeni haki yangu.
Halafu eti wanawake tunalilia haki sawa na wanaume. Haki sawa itatoka wapi kama sisi wenyewe hatupendani? Mtu kama ni mzuri basi nipeni haki yangu.
like like likeKama sio?? Wafanyeje?
Mi mwanaume ila nakuona upo kawaida tu.Halafu eti wanawake tunalilia haki sawa na wanaume. Haki sawa itatoka wapi kama sisi wenyewe hatupendani? Mtu kama ni mzuri basi nipeni haki yangu.
hili nalo nenooooo!!!!!No matter how beauty the avatar image looks like,what reflects from your posts contributions will personate you!
Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
Kama sio?? Wafanyeje?
Mi mwanaume ila nakuona upo kawaida tu.