MwanaHalisi yamshambulia Sitta

Kubenea represents many unprofessional reporters who can desperately do anything just for personal gains. He once won eclats for his crackdown on crookedness and unscrupulous archons but all of his reputation seems to have been waned away. He has now unabashedly decided to side with the so called MAFISADI to battle against the truth just after being promised to be paid for the running costs of his company.
 
Kubenea represents many unprofessional reporters who can desperately do anything just for personal gains. He once won eclats for his crackdown on crookedness and unscrupulous archons but all of his reputation seems to have been waned away. He has now unabashedly decided to side with the so called MAFISADI to battle against the truth just after being promised to be paid for the running costs of his company.

LIST OF SHAME YA WAHARIRI WA BONGO WANAOWARAMBA MIGUU MAFISADI:

1:Saidi Kubenea

2:Absalom Kibanda

3:Deo Balile

4:Jackton Manyerere

5:Muhingo Rweyemamu(secretary wa manji)

6:

7:

8:

9:

10:
 
LIST OF SHAME YA WAHARIRI WA BONGO WANAOWARAMBA MIGUU MAFISADI:

1:Saidi Kubenea

2:Absalom Kibanda

3:Deo Balile

4:Jackton Manyerere

5:Muhingo Rweyemamu(secretary wa manji)

6:

7:

8:

9:

10:

Huyu Absalom Kibanda alinunuliwa kagari tu ka milioni kadhaa akaanza kuisaliti taaluma yake
 
Mkuu Malizia hiyo list tuwajue uzuri atiii!

LIST OF SHAME YA WAHARIRI WA BONGO WANAOWARAMBA MIGUU MAFISADI:

1:Saidi Kubenea

2:Absalom Kibanda

3:Deo Balile

4:Jackton Manyerere

5:Muhingo Rweyemamu(secretary wa manji)

6:

7:

8:

9:

10:
 
Mimi sijawahi hata siku moja, kukubaliana na Kauli za Sitta, kwa sababu hajawahi taha siku moja kutoa kauli ambazo huwa zinatokana na uchungu moyoni mwake, kauli zake nyingi huwa ni za kutafuta support, kulipiza kisasi au kutaka kupata kitu...Na ndugu zangu kitu ambacho inabidi tukiepuke ni usaliti, ukiwa msaliti you will have to pay for it mark my words..Kama kuna kitu hukiamini ni bora ujitoe mapena na kama unakiamini ni bora ikifie...
 
Mimi siku nyingi sana nilishaacha kusoma MWANAHALISI.Kwanza hiyo makala ya kubenea dhidi ya SITTA ni ya kitoto kabisaa.kichwa cha habari kuwa SITTA KANYEA KAMBI kama mtu unaakili timamu huwezi kuandika upupu huu.Mzee Sitta anahadi wajukuu halafu unasema amenyea kambi hapa kuna akili au ndio uandishi wa kikanjanja.Halafu mtu mwenyewe KUBENEA inaonekana hata hamjui MZEE SITTA ndio maana anamtunishia kakifua,hebu kubanea rudi na umsome mzee sitta tangu 1960's ndo ujue kati ya ww na 6 nani anatumiwa na mafisadi.Kigezo cha 6 kuzima mjadala wa dowans au kuanzisha CCJ ambayo wala hai-exist hakukuondolei kubenea kuwa unatumiwa na MAFISADI.gazeti la mwanahalis niliacha kulisoma maana linahoja nyingi za kitoto na linadeal na personalities na sio issues.SITTA IS OUR HERO,KUBENEA IS OUR ZERO.
 
Labda wewe ndio kuwadi wa LOWASSA na genge lake,sie tupo hapa kuwaeleza ukweli wa nyuma ya pazia kumhusu huyu rafiki yetu said kubenea,kwa kuwa tunamjua anatujua na tumekua nae kwenye shida na raha hata alipomwagiwa tindikali alizodai kumwagiwa na hwa marafiki zake wapya ni sisi ndio tuliomsaidia,hiyo story ya june unayosema tuisome iko wapi sasa??mbona hukuiweka!Mwanahalisi tunapozungumzia limepoteza muelekeo tunaagalia heading father,siku zote msimamo wa gazeti uko kwenye heading sio makala za ndani ambazo huandikwa hata na waandishi wa nje ya gazeti husika,angeiweka mbele hiyo stori ya mzee nyaronyo tuone,mbona aliificha ndani...na tunapozungumzia mwanahalisi pengine mimi niwe wazi nazungumzia stori za kubenea ambazo ndio mara nyingi kama sio zote hukaa mbele na yeye huweka jina lake kwa kuwa anadai yeye huwa haandiki habari za maruhani a.k.a.na mwandishi wetu,hivyo kwa said tuliemjua huko nyuma ilikua hivi hata wewe kama mtu wa serikalini ukawa na kigongo unataka kuigonga serikali lakini unaogopa kupoteza kazi ikijulikana unampelekea said then yeye anachofanya ni kuweka jina lake na kukulinda wewe kama source ya habri kwa kutokutaja hata iweje,hiyo ndio kitu iliyompatia heshima saidi miongoni mwa watendaji waserikali wakajenga kumuamini sana na kumpelekea stori ambazo ndio pia zikakufanya wewe pia umjue...Lakini pia haimaanishi waandishi wote pale mwanahalisi wanakubaliana nae,kuna watu pale bado ni wazalendo wa kweli kama mzee NDIMARA ambae ndio kidogo haka kaheshima heshima kalikobaki ka mwanahalisi ni kwa ajili yake na bahati nzuri saidi hawezi kumpangia wala kumuingilia yule mzee,kwani yeye na saidi ni sawasawa na mlima kilimanjaro na kichuguu,hiyo ndio inayopelekea angalau watu kama kina Nyaronyo waweze kupeleka stori pale na zikachapishwa kama zilivyo japo sio mbele,mbele pale ni kwa ajili ya ROSTAM NA LOWASSA kuandikiwa wanachokitaka..habari ndio hiyo,mwenye kununa anune mwenye kucheka acheke!

Lowassa yupi mnayemzungumzia? Huyu aliye ukurasa wa mbele katika Mwanahalis ya leo?
 
So if Kubenea denies allegations that he's been exploited by EL and RA then what is he making of accusations that he has suddenly stopped coverage of scandals involving the duo and turned out to be siding with them? His recent attitude of launching attacks on such prominent anti-corruption champions like SS and HM is something that raises suspicion about his credibility and integrity. Someone can easily deduce that the reporter has already been tipped in an attempt to muffle his traditional forthright criticism against venality.
 
eti nae awe raisi... pambaaf tupa kule wanafiki woote.. sita hapambani na mafisadi japo ni vita ya makundi tuu kwa kuwa nae ni fisadi
 
Shenzi type wote Sitta na Kubenea, wote wanafiki, wabinafsi, wapenda pesa. Mmekutana malizaneni wenyewe, tnajua 6 kuna kitu amekikosa, Kubenea tamaa ya pesa antaka kila mwenye pesa amwangukie ili amwandikie vizuri. Hivi hii fani ya uandishi wa habari kuna somo linaitwa NDUMILA KUWILI linafundishwa huko? fani hatari sana hii kwa amani ya nchi yetu kama itafumbiwa macho kuandika wanachoambiwa badala ya wanachokijua.
 
Wenyewe wanajuana....
Wakati 6 anamtumia SK hakuwa amemnunua leo kwa kuwa amekwenda kinyume chake kanunuliwa!!! Wanafiki watupu!
Sishangai, sitoshangaa! Wanataka kutuaminisha vile wanavyodhani tutaamini...
 
Siku hizi sinunui tena Gazeti la Mwanahalisi, ni kweli Sita ana makosa yake kama binadamu ila Generally ni mtu wa kuungwa mkono, katika vita ni lazima kuchagua upande mmoja hata kama una madhaifu yake, sasa Kubenea kwa sasa hana upande, ni mnafiki mkubwa, miye sijawahi kuona mtu akashinda vita kwa style ya Kubenea, sijawahi kumuona Sita akipingana na wapinga ufisadi pamoja na kuwa tunajua wapo wenye madhaifu. Tufikiri kwa bidiiiii.
 
a dishonest person shall never be honest. Viva chadema u reported all evil scandals then media followed.
 
Kazi sana kuna baadhi ya watanzania wenzetu uibuka kufanya mambo mazuri kwa umma kisha, wajanja uingia katika kuwaharibu,nilikuwa msomaji wa gazeti la Mwanahalisi, lakini kwa sasa inabidi nitafakari upya.Kinachoendelea sasa ndani ya mhariri wake Mkuu ni mabadiliko yake ambayo si ya kawaida na yanayoitaji busara sana kabla watanzania walio wasomaji wake awajatumbukia nyongo na kuanza kumtapika .

Kwa wenye akili zao,na yeye kubenea kaingizwa choo cha kike pasipo yeye kutambua,kwa kuwa kasogelewa na wajanja mafisadi kupitia nyuma ya pazia ambayo yeye anaamini kuwa kweli ni walinzi halali wa Nchi kumbe la.Itambidi atafakali sana fungate hilo na watu hao,kwa kuwa kama anaamini kuwa wao ndio walinzi wa kweli,kumbe akija kusituka itakuwa imekula kwake na hivyo kumuachia aibu ambayo,wakati alipowahitaji anajijenga hawakushiriki kumpa support wala ulinzi wakti anamwagiwa tindikali na ukweli hata waliomwagia tindikali wtkakuwa wanamjua.Ila kwa sababu vita ya UFISADI ambayo yeye SAID alikuwa ni mpambanaji wake mzuri,ilipokomaa na kwa kuwa baadhi yao wanajua kuwa kuanguka kwa MAFISADI kwao ni kaa na kuti la Moto,hivyo kwa hali na mali kwa hooks na clooks ni lazima enzi na utukufu wa MAFISADI uendelee ili waendelee hapo walipo kwenye viti vya enzi kwa kuwa baadhi yao wamefika hapo kupitia njia [root] ya kinala wa UFISADI.

Na daima kwa kuwa connection ya baraka ya utukufu huo ulitoka kwa Kilanja Mkuu wa UFISADI,ambae wengi wao wanamheshimu kwa moyo [Royal] kwa dhati kuliko aliyewapa madaraka ya uteuzi huo.

Hivyo kwa baadhi ya watu waliongiliwa na sasa wanarubunika hakika wataingia kwenye matatizo na kuonekana wasaliti [Traitors] .Ni mbaya sana kwa Mtu aliyekuwa Mpiganaji kugeuka kuwa ni mmoja tena ya watu waliokuwa wanapigwa vita.Hakika inakuwa sumu mbaya kwa mtu huyo kwa kuwa uchungu wa wapiganaji uwa unakuwa na maumivu makubwa juu yake kuliko wale maadui wa awali yani Mafisadi.

Kubenea check out usipoteze mwelekeo kwa kuwa,makosa aliyoyatenda SITA NA MWAKYEMBE, wewe kama mpiganaji ulie nje ya mfumo [System] upaswi kufanya.Kwa kuwa watu hao wawili wanaweza kutupa sababu kwa watu makini jamiiforum wakaelewa ni kwani walifanya makosa hayo.Japo kwa namna nyingine tuta wahukumu kwa vigezo sio vya usaliti huo unaotaka kulazimisha tuwatie kitanzi bali kama uzembe ambao haupaswi kuludiwa na wale wote wenye ufahamu juu ya kulinda Taifa na Maendeleo yake.

Hakika mimi ILINIUMA SANA PALE SITA,ALIPOSITISHA MJADALA WA RICHMPOND HAKIKA MJADALA ULE UNGEENDELEA LEO HII TUNGEKUWA NA HISTORIA MPYA SANA,NA ISSUE YA MAFISADI SASA HIVI INGEKUWA SIMULIZI ZILIZOKWISHWA ANDIKIWA VITABU NA WADOGO ZETU NA WATOTO WANAJIFUNZA MASHULENI KAMA SEHEMU YA ELIMU YA MAADILI.Kama ambavyo zama zetu wengine tulivyo msoma Ngwoswe na kitabu chake PENZI KITOVU CHA UZEMBE.

Lakini ukivaa viatu vya SITA NA MWAKYEMBE,kipindi kile na ukichukua na umri wao,na mfumo wa Serikali [System] ambayo hatujui walipokaa kama vikao vya dharura yaliyojili kutokana na kikao hicho wao walipima kwa vigezo vipi juu ya HATARI YA USALAMA WA TAIFA kupitia kuendeleza mjadala huo hivyo kumwagia upupu wa uoga wa mjadala huo.Lakini kila zama na vitabu vyake wakti mtu mwenye umri wa miaka hamsini na kuendelea anaona kuna hatari mbele kujadili swala hilo la Richmond kwa watu wenye miaka alobaini [40] kushuka chini wanaona hakuna hatari yoyote ile zaidi ya changamoto za kupambana na wanao tuhumiwa na sakata hilo ambayo kwa kizazi hicho uamuzi ingekuwa Kamata wahusika wote tia ndani kisha maisha ya Watanzania yanendelea.

Lakini kwa umri wa watu wa Miaka Hamsini ya leo ya uhuru wao ikawa tofauti wao wakaamua kuzima mjadala na kuwaepusha wahusika chini ya kigezo cha usalama wa Taifa mashakani,na hivyo kuwaepusha wachache juu ya UFISADI kwa madhara na athari ya wengi kuumia kwenye matokeo ya michezo ya wachache tena kwa matendo ya Wizi na Ushetani.

Lakini kwa picha hii ya sasa,nadhani SITTA na MWAKYEMBE wamejifunza dhambi ya matendo nusu nusu,na sasa wanajutia woga waliokubali kuvishwa na wajanja eti waangalie usalama wa Taifa letu,kumbe wanashiriki kutunga usaa na uvundo mbaya wa Usalama wa Taifa letu kwa sasa.Japo wapo waliona ni dhamira njema kwao dhidi ya Taifa lakini wangepima faida kubwa ya maamuzi yao hayo itakuwa ni kwa nani Je ni kwa Umma au Ni kwa Wachache [Mafisadi].

Kubenea ahanze Upya kutafakari kwa yeye sheria za Muungano kati yake na wao [Rules of Engagement] nini hasa kusudio. Je ni kwa faida ya umma aliokuwa unaupigania au ni kwa kundi ambalo wao wanataka aliopoe kutoka kwenye kisu cha umma.Kwa kuwa mpaka sasa yampasa kutambua kuwa waliowaweka wao ni hao hao aliokuwa anawapiga vita yeye na mwisho wake wakampofua macho.Na kisha akifanikisha kuwaepusha na kisu cha umma yeye atakuwa ni wa kwanza kuwaelinated kwa kuwa sijawai kuona urafiki wa adui.
 
sitta ni mnafiki sana.na alidhani atakuwa maarufu kumbe wapi.tuache kumpa sifa dokta slaa,tumsifie mtu anayeishi nyumba ya 12 milioni kutoka kodi ya watanzania.mjinga sana ndio maana synovate wameonyesha umaarufu wake ni 1 asilimia kashindwa adi na zitto.
 
Back
Top Bottom