Matango
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 535
- 118
Itaendelea kuwa Ofisi ya Spika wa zamani tatizo nini ?Kwanza hajajibu kwa nini alijenga ofisi ya Spika kule Urambo -- Jee aliahidiwa kuwa Spika milele? Eti halafu JK ndiye alikwebnda kuifungua!
Itaendelea kuwa Ofisi ya Spika wa zamani tatizo nini ?Kwanza hajajibu kwa nini alijenga ofisi ya Spika kule Urambo -- Jee aliahidiwa kuwa Spika milele? Eti halafu JK ndiye alikwebnda kuifungua!
sitta kanyea kambi.
Sitta ashukuru utawala wa kulindana wa JK -- angekuwa ameshatimuliwa kwa usaliti wake. CCM ni chama cha ajabu sana duniani -- kuna mafisadi, wezi, manafiki, wasaliti, macowboy (wanaotembea na silaha viunoni, wazinzi -- lakini bado iko tu madarakani!
In this country we have sheep for human beings!
Mwanahalisi wamefichua "unafiki" wa Sitta. Nani atafichua unafiki wao?
Mbona Kubenea hasemi ni kwanini serikali inamlipia safari za karibu kila mwezi kwenda India huku akilipwa na posho kwa safari hizo iwapo waliompopoa kwa tindikali si serikali?
Nani alitegemea Mwanahalisi wampende Sitta wakati anatishia maslahi yao ya nyuma ya pazia? Nani hajui kuwa Mwanahalisi ni gazeti linaloendelea kuelekea udaku zaidi ya ithibati ya awali?
Kwanini tahariri haielezi ni kwanini Mwanahalisi limeacha hoja na ajenda yake kuu yaani Edward Lowassa? Ukiishi kwenye nyumba ya vioo usiwachokoze wehu.
Hata Kubenea arobaini yake haiko mbali naye wapo watakaofichua unafiki wake na umaarufu wake wa tindikali. Aweke CV yake uone kama ni mali kitu au jafafa.
Nina choamini mimi Sitta ni mnafiki na wala simuamini hata kidogo na wala sipendi awe kiongozi wangu hata siku
Hayo ni maoni yako ambayo siyo lazima yawe sahihi. Nchi hii hamtaki kuambiwa ukweli. Mzee huyu ameamua kuwa bold and candid na sasa mnamjia juu. Kwanza haikuwa sahihi kwa mtu aliyeshutumiwa kutumia chombo chake cha habari kuwamaliza wenzake ambao hawana chombo cha habari. Angetumia forum tofauti kujibu mapigo. In any case hiyo ndiyo ilikuwa assessment ya Sitta baada ya kuona kuna departure kubwa sana ya kiuandishi na minong'ono iliyokuwa imezagaa kwamba mwenzetu ameshatekwa nyara na wenzake.
Hata usipo nunua wewe ****** hakuna kinachoathirika, mwanahalisi bado lipo kwenye chati.Hapo mwanahalisi wameguswa pabaya....teh teh teh thas why nimeacha kununua magazeti yao siku hizi...
sita mnafiki kanunua asprin milion 5 alafu anajiita mzalendo ?! intelijinsia ya nchi inaonesha kwamba sita ni al shaabab
Mtu mzima hovyooo! huoni aibu kusema uongo we malaya?Mwanahalisi ni gazeti pekee la kuaminika, sema wewe unapiga kampeni za kisenge hapa na hao waliokutuma wambie hatudanganyiki makenge nyie.Kubenea ni kweli kashanunuliwa na mafisadi siku nyingi sana. Hilo jambo linaeleweka, na MwanaHalisi limekuwa likiyumba sana. Watu wengi hatulisomi tena, ni aibu kwa Kubenea kuwa mtumwa wa kina Rostam Aziz na Edward Lowassa kwa ajili ya vipesa vidogo to. Atabaki kuwa masikini wa akili na mali milele huyu Kubenea
Kwani wewe unalipwa nanani kuleta majungu yako hapa? Nenda kawafahamishe makuadi wanaokutumia kwamba mwanahalisi ni chuma cha pua na haliyumbi.Reginald Mengi, Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP amekuwa akimlelea Saeed Kubenea kama mtoto wake kwa miaka mingi. Alivutiwa na Kubenea baada ya kuhisi kuwa huyu ni kijana shupavu anayepambana na ufisadi bila woga. Kutokana na hilo, Mengi alijishusha akawa kama baba na rafiki wa karibu wa Kubenea, akawa anakutana naye na kuongea naye kila siku. Mengi alimpa Kubenea msaada wa kila aina, ikiwemo wa ushauri na fedha pale alipokwama.
Mengi naye akagundua kuwa Kubenea kanunuliwa na mafisadi. Akabaini kuwa Kubenea amenyea kambi ya wapambana mafisadi na sasa amehamia kambi ya mashetani. Akamtenga Kubenea, sasa hivi Mengi hana ule urafiki wa karibu wa zamani na Kubenea.
Sitashangaa kuona Kubenea sasa anaanza kumshambulia Mengi kwa maagizo ya mafisadi. Huyu jamaa kweli anatia aibu kwa tamaa zake za kijinga. Hawa mafisadi wakimaliza kumtumia watamtupa kama lile gamba chafu ambalo watu hilivaa kwenye kiungo kimoja cha mwili na kulitupa jalalani baada ya shughuli zao.
Kubenea ataishia pabaya sana. Gazeti lake litaporomoka baada ya umma wa Tanzania kugundua kanunuliwa na mafisadi. Heshima ndogo aliyonayo kwa jamii itatoweka, mafisadi watamtosa baada ya kumtumia, atafilisika, atachanganyikiwa, atapotea. Huu ni utabiri wangu!