bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
bht mydia kuwa muangalifu unapotumia hutu tuneno maana tuna maana nyingi sana humu jamvini- juzi Fidel alikuja na mada yake ya binti Aika aliyekuwa amepigiwa simu na X-wake wakati buzi lake liko juu ya kifua linadownload mjengoni ambapo simu ile ililifanya buzi lile lisitishe zoezi zima na kuanzisha varangati.
kheeeeeeee jamani eeeeeh asante MJ1 kwa kuni alert!!!!!! mimi nilimaanisha bungeni dodoma!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kazi kweli kweli!!!! asante dia wangu!!!