Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Nipo babu Dark City nilikuwa nimepata new version ya ile kitu sasa ndio kidogo kuna sehemu ilikuwa inanipa shida
Hahahahahahahahahah,
Haya bwana...tunasubiri siku moja na wewe tukurushe hewani kama Mtambuzi....
Hivi unahesabu siku, miezi, miaka au miongo bado??
Najua kuna dogo janja mmoja anahesabu siku tu...Ngoja nimwite mshikaji wangu Fidel80 anikumbushe nisijesahau mchango!!
Babu DC!!
Last edited by a moderator: