Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mkuu ungekuwa sio mwajiriwa ningekushauri hiyo hela ungenunua mahindi maana mwaka huu hii bidhaa ni issue sana!
Ungefanya hivi mil3 ungekusanya mahindi na kustore na m4 ungeanza mchakamchaka wa kuchukua mahindi shamba na kuleta mjini mpaka mavuno yatakapoisha utakuwa umezalisha m3 kutoka kwenye hii4mil. Baada ya miezi4 hadi5 mahindi ya stock yangekuzalishia m6-9 nyingine.
Hiyo hela usiiweka fixed a/c haitakusaidia coz ni ndogo sana. Na wala usiipeleke direct kwenye mradi wa shamba utadunda.
Hela ya mikopo midogo km hiyo unatakiwa uingize kwenye short term liquidity projects na sio miradi patapotea km kilimo. Otherwise utalipia mkopo hewa mkuu!!
This advise is based from my own experience.

Unachosema ni Kweli Mkuu binafsi niliingia m3 kwenu kilimo mwishowe nkapata m2.174 na ikataka kuniachanisha na wife coz ilinikataza kabisa hizo mambo.
 
Fanya kma agent chukua mchele Mbeya au moro peleka dar sokon utapat faida tu ni cmple zaid fanya research Tandika pale
 
Niko mwanza mkuu, nashukuru kwa ushauri


Sasa kuna mchele huko sengerema mpk shy town watu wanaleta mpka dar
 
Unachosema ni Kweli Mkuu binafsi niliingia m3 kwenu kilimo mwishowe nkapata m2.174 na ikataka kuniachanisha na wife coz ilinikataza kabisa hizo mambo.

Hiki ndio kizazi cha watanzani cha Sasa,yaani we mkeo ndio ana ku remote?
Huu utani sasa

Naendelea kusema kama umeamua Kufanya kiliomo kwa Kuiga hapo ndio utapotea,ila kama umefanya Kilimo kama maisha hapo utatoka.Tatizo watu wanataka kwamba akiingia kwenye kilimo basi mwaka huohuo atusue.
Kuna watu wanapoteza robo tatu ya mtaji waote,ila wanarudi tena na kiasi kilichobakia kufunika maeneow alioteleza.

Wewe mfano una 7m au 5m,hivi unashidwaje kutena 1m kwa ajili ya Consultation kutoka wa Mtaalam wa kilimo?

Tatizo letu tunabahitisha kulima wa kuulizana wewe unafanyaje,inakuwaje mtaani kwako kuna mama alima matembele na bamia uwani kwake na anapiga bao mtaani watu mnapangana foleni,halafu wewe mwenye mtaji wa kuanzisha kilimo cha kati unaganda kwa kukimbia changamoto.

Lazima kwanza mjue kutofautisha mkulima aliekulia kijijini na mkulima alietokea mjini.Sasa Mkulima alietokea mjini yeye anasimama kama mkulima na mfanyabiashara,ila yule mkulima wakijijini wengi bado wana mentality kwamba lazima wasubirie watu watoke mjini ndio wanunue bidhaa zao.

Naendelea kusema kwamba Kilimo kinalipa sana,na lazima ukubali kwamba pia ni gharama na hakuna kiti kisicho na gharama.

Mie nalima Hoho huku Zanzibar maeneo ya Bweleo na Fuoni,mwaka wa mwanzo zilinipiga kweli,ikabidi nimtafute Mtaalam Dar nimlete Zanzibar afikie home ili anipe ushauri,alichofanya ni kuchukua Sample ya udongo na kurudi Dar kwenye Maabara kisha akaka kuniambia namna ya kuendesha kilimo kulingana na aina ya matokeo yake na aina ya mbolea kubalance hali ilivyo.
Ili ni cost sana hii proccess,lakini kwa vile nilikuwa na dhamira ya kweli na nilijipanga kwa changamoto zoote hizo,ndani ya miaka miwili habari imekuwa nyingine kabisaa.Na kwa vile nipo kwenye Utalii nimetafuta vihotel vyangu kadhaa na supply vizuri sana tu.

Ukiweka kipindi cha mpito cha miaka mitano basi utatoka,ila ukitaka kilimo kikulipe kwa miaka miwili au mitatu hapo utafeli na utakuwa unajidanganya sana.Na wengi tunakimbia changamoto.
Hivi unajua kwamba kuna wafugaji wa kuku wanapoteza mtaji woote?kwa kufa kuku kwa wakati mmoja?Lakini bado wanakomaa mpaka leo ukiwaona nashangaa.

Jitathmini
 
Zanzibar Spices
asante mkuu , mimi mwenyewe ni mtaalam wa kilimo, ndo maana nime-base kwenye fani, pia ni hobb yangu, kwa mtazamo wa baadae kufanikiwa zaidi,ingawa mazingira nayo ni changamoto, huku kilimo chenye tija nilazima umwagiliaji ufanyike kwani mito ipo kwa mwaka unaweza lima mara mbili kilimo cha bustani na mara moja kilimo cha mazao mengine kwani sehem za mito hufurika maji mvua zikianza, ndomaana nikatenga pesa hiyo, ukikodi eneo kwa mwaka unalima mara tatu. ambapo ekari ni tsh 50 000 hadi 75 000.kwa mwaka .Tukiogopa kulima nani alime
 
Niko mwanza mkuu, nashukuru kwa ushauri


Sasa kuna mchele huko sengerema mpk shy town watu wanaleta mpka dar

nikweli upo,tatizo hua upo kwa kipindi flani tu, kwa sasa ushapanda bei sababu mwaka huu haukuwa mwingi
 
binafsi nakushauri ununue bajaji ya abiria au mizigo, ikatie bima ya compressive(ikiibiwa au ajali unalipwa) alafu tafuta mtu mwaminifu akuletee hesabu.

kwa nini sijakushauri kilimo:-
  • kilimo kina hitaji usimamizi wa dhati angali wewe umeajiriwa
  • kilimo kinahitaji labour(nguvu kazi) nayo ni changamoto sana kwa tanzania
  • miundombinu ya kilimo sio mizuri kutoa mazao shamba kufikisha sokoni ni shida na pengine hakuna njia nzuri
  • Mazingira ya shamba ni magumu maeneo mengi mazuri kwa kilimo unakuta hakuna huduma za kijamii kama network ya mitandao ya simu,hospitali,maji safi wala masoko ya vyakula
  • Ushirikina umeshamiri sana kwenye vijiji vya nchi hii,kuna maeneo ili ulime uvune labda uwe mtu wa dua/maombi sana au uende kwa waganga.
 
aiseeee umenipa somo mkuu hapa yaani umenifungua macho kabisa asante kwa ushauri huu ingawaje ulikuwa wa mwingine aila tumepata sote
Hiki ndio kizazi cha watanzani cha Sasa,yaani we mkeo ndio ana ku remote?
Huu utani sasa

Naendelea kusema kama umeamua Kufanya kiliomo kwa Kuiga hapo ndio utapotea,ila kama umefanya Kilimo kama maisha hapo utatoka.Tatizo watu wanataka kwamba akiingia kwenye kilimo basi mwaka huohuo atusue.
Kuna watu wanapoteza robo tatu ya mtaji waote,ila wanarudi tena na kiasi kilichobakia kufunika maeneow alioteleza.

Wewe mfano una 7m au 5m,hivi unashidwaje kutena 1m kwa ajili ya Consultation kutoka wa Mtaalam wa kilimo?

Tatizo letu tunabahitisha kulima wa kuulizana wewe unafanyaje,inakuwaje mtaani kwako kuna mama alima matembele na bamia uwani kwake na anapiga bao mtaani watu mnapangana foleni,halafu wewe mwenye mtaji wa kuanzisha kilimo cha kati unaganda kwa kukimbia changamoto.

Lazima kwanza mjue kutofautisha mkulima aliekulia kijijini na mkulima alietokea mjini.Sasa Mkulima alietokea mjini yeye anasimama kama mkulima na mfanyabiashara,ila yule mkulima wakijijini wengi bado wana mentality kwamba lazima wasubirie watu watoke mjini ndio wanunue bidhaa zao.

Naendelea kusema kwamba Kilimo kinalipa sana,na lazima ukubali kwamba pia ni gharama na hakuna kiti kisicho na gharama.

Mie nalima Hoho huku Zanzibar maeneo ya Bweleo na Fuoni,mwaka wa mwanzo zilinipiga kweli,ikabidi nimtafute Mtaalam Dar nimlete Zanzibar afikie home ili anipe ushauri,alichofanya ni kuchukua Sample ya udongo na kurudi Dar kwenye Maabara kisha akaka kuniambia namna ya kuendesha kilimo kulingana na aina ya matokeo yake na aina ya mbolea kubalance hali ilivyo.
Ili ni cost sana hii proccess,lakini kwa vile nilikuwa na dhamira ya kweli na nilijipanga kwa changamoto zoote hizo,ndani ya miaka miwili habari imekuwa nyingine kabisaa.Na kwa vile nipo kwenye Utalii nimetafuta vihotel vyangu kadhaa na supply vizuri sana tu.

Ukiweka kipindi cha mpito cha miaka mitano basi utatoka,ila ukitaka kilimo kikulipe kwa miaka miwili au mitatu hapo utafeli na utakuwa unajidanganya sana.Na wengi tunakimbia changamoto.
Hivi unajua kwamba kuna wafugaji wa kuku wanapoteza mtaji woote?kwa kufa kuku kwa wakati mmoja?Lakini bado wanakomaa mpaka leo ukiwaona nashangaa.

Jitathmini
 
makolola Nimekupata,biashara ya barabarani mi imeshanishinda miaka kama mitatu nyuma nilikua na pikipiki tatu barabarani, lakini nimeishia kuziuza na kubakiza moja tu yakutumia mimi, ajari, magendo, mishkaki, kuazimisha ilikua tabia ya madereva wangu, yaani akishikwa unaitoa, anaanza kukulipa hajamaliza linakuja jingine, unatafuta mwingine nae yaleyale, mpaka leo nawaonea huruma waliopata vilema vya kudumu kwa pikipiki zangu,
 
binafsi nakushauri ununue bajaji ya abiria au mizigo, ikatie bima ya compressive(ikiibiwa au ajali unalipwa) alafu tafuta mtu mwaminifu akuletee hesabu.

kwa nini sijakushauri kilimo:-
  • kilimo kina hitaji usimamizi wa dhati angali wewe umeajiriwa
  • kilimo kinahitaji labour(nguvu kazi) nayo ni changamoto sana kwa tanzania
  • miundombinu ya kilimo sio mizuri kutoa mazao shamba kufikisha sokoni ni shida na pengine hakuna njia nzuri
  • Mazingira ya shamba ni magumu maeneo mengi mazuri kwa kilimo unakuta hakuna huduma za kijamii kama network ya mitandao ya simu,hospitali,maji safi wala masoko ya vyakula
  • Ushirikina umeshamiri sana kwenye vijiji vya nchi hii,kuna maeneo ili ulime uvune labda uwe mtu wa dua/maombi sana au uende kwa waganga.

Kama bado kuna Vijana wa ki Tanzania bado wana mawazo haya,basi bado safari ni ndeefu kweli kweli
 
Mkuu ungekuwa sio mwajiriwa ningekushauri hiyo hela ungenunua mahindi maana mwaka huu hii bidhaa ni issue sana!
Ungefanya hivi mil3 ungekusanya mahindi na kustore na m4 ungeanza mchakamchaka wa kuchukua mahindi shamba na kuleta mjini mpaka mavuno yatakapoisha utakuwa umezalisha m3 kutoka kwenye hii4mil. Baada ya miezi4 hadi5 mahindi ya stock yangekuzalishia m6-9 nyingine.
Hiyo hela usiiweka fixed a/c haitakusaidia coz ni ndogo sana. Na wala usiipeleke direct kwenye mradi wa shamba utadunda.
Hela ya mikopo midogo km hiyo unatakiwa uingize kwenye short term liquidity projects na sio miradi patapotea km kilimo. Otherwise utalipia mkopo hewa mkuu!!
This advise is based from my own experience.
Hiyo biashara ya mahindi labda ajaribu kama bahati nasibu, ila ni moja ya biashara kichaa na pasua kichwa sana. Ingawa hajasema yupo wapi anaweza kuyanunua kwa bei ndogo ila kuna gharama nyingine nyingi tu kuanzia kuyasafirisha, kuyatunza store, kuyawekea dawa. ushuru na kuyasafirisha tena muda wa kuyauza ukifika.

Na unaweza ukasubiri sana bei zipande na zikapanda taratibu kuliko ulivyotarajia, mahindi kupanda kwake bei hadi serikali iruhusu kuuza nje ya nchi. Mfano sehemu nilipo wateja wanaofanya bei za mahindi zipande sana ni Wakenya, ila kipindi wasipokuja kununua bei zinakuwa ni za kawaida. Na mimi hii naandika kutokana na uzoefu wangu kuna mwaka nilishawahi kula hasara milioni kadhaa kwa biashara hii.
 
Kwa mda unaosubiria kupata wazo la biashara basi toa hapo hata 2M kopesha watu waaminifu unaandikiana nao kwa riba ya 20%monthly na akulipe weekly aisee ukijitahidi hili umeshatoka kimaisha....
 
Kwa mda unaosubiria kupata wazo la biashara basi toa hapo hata 2M kopesha watu waaminifu unaandikiana nao kwa riba ya 20%monthly na akulipe weekly aisee ukijitahidi hili umeshatoka kimaisha....

Hili wazo zuri sana, kikubwa kutengeneza mazingira tu, big up mkuu
 
Nice shot brother, thank you.
Hiki ndio kizazi cha watanzani cha Sasa,yaani we mkeo ndio ana ku remote?
Huu utani sasa

Naendelea kusema kama umeamua Kufanya kiliomo kwa Kuiga hapo ndio utapotea,ila kama umefanya Kilimo kama maisha hapo utatoka.Tatizo watu wanataka kwamba akiingia kwenye kilimo basi mwaka huohuo atusue.
Kuna watu wanapoteza robo tatu ya mtaji waote,ila wanarudi tena na kiasi kilichobakia kufunika maeneow alioteleza.

Wewe mfano una 7m au 5m,hivi unashidwaje kutena 1m kwa ajili ya Consultation kutoka wa Mtaalam wa kilimo?

Tatizo letu tunabahitisha kulima wa kuulizana wewe unafanyaje,inakuwaje mtaani kwako kuna mama alima matembele na bamia uwani kwake na anapiga bao mtaani watu mnapangana foleni,halafu wewe mwenye mtaji wa kuanzisha kilimo cha kati unaganda kwa kukimbia changamoto.

Lazima kwanza mjue kutofautisha mkulima aliekulia kijijini na mkulima alietokea mjini.Sasa Mkulima alietokea mjini yeye anasimama kama mkulima na mfanyabiashara,ila yule mkulima wakijijini wengi bado wana mentality kwamba lazima wasubirie watu watoke mjini ndio wanunue bidhaa zao.

Naendelea kusema kwamba Kilimo kinalipa sana,na lazima ukubali kwamba pia ni gharama na hakuna kiti kisicho na gharama.

Mie nalima Hoho huku Zanzibar maeneo ya Bweleo na Fuoni,mwaka wa mwanzo zilinipiga kweli,ikabidi nimtafute Mtaalam Dar nimlete Zanzibar afikie home ili anipe ushauri,alichofanya ni kuchukua Sample ya udongo na kurudi Dar kwenye Maabara kisha akaka kuniambia namna ya kuendesha kilimo kulingana na aina ya matokeo yake na aina ya mbolea kubalance hali ilivyo.
Ili ni cost sana hii proccess,lakini kwa vile nilikuwa na dhamira ya kweli na nilijipanga kwa changamoto zoote hizo,ndani ya miaka miwili habari imekuwa nyingine kabisaa.Na kwa vile nipo kwenye Utalii nimetafuta vihotel vyangu kadhaa na supply vizuri sana tu.

Ukiweka kipindi cha mpito cha miaka mitano basi utatoka,ila ukitaka kilimo kikulipe kwa miaka miwili au mitatu hapo utafeli na utakuwa unajidanganya sana.Na wengi tunakimbia changamoto.
Hivi unajua kwamba kuna wafugaji wa kuku wanapoteza mtaji woote?kwa kufa kuku kwa wakati mmoja?Lakini bado wanakomaa mpaka leo ukiwaona nashangaa.

Jitathmini
 
Umekopa halafu unaweka? Hio interest yake utakuta ushalipa 7M +7M nyingine.... Huo ni upuuzi.
Tafuta njia hio hela izalishe haraka
 
binafsi nakushauri ununue bajaji ya abiria au mizigo, ikatie bima ya compressive(ikiibiwa au ajali unalipwa) alafu tafuta mtu mwaminifu akuletee hesabu.

kwa nini sijakushauri kilimo:-
  • kilimo kina hitaji usimamizi wa dhati angali wewe umeajiriwa
  • kilimo kinahitaji labour(nguvu kazi) nayo ni changamoto sana kwa tanzania
  • miundombinu ya kilimo sio mizuri kutoa mazao shamba kufikisha sokoni ni shida na pengine hakuna njia nzuri
  • Mazingira ya shamba ni magumu maeneo mengi mazuri kwa kilimo unakuta hakuna huduma za kijamii kama network ya mitandao ya simu,hospitali,maji safi wala masoko ya vyakula
  • Ushirikina umeshamiri sana kwenye vijiji vya nchi hii,kuna maeneo ili ulime uvune labda uwe mtu wa dua/maombi sana au uende kwa waganga.

9c advice, nadhani atakuelewa
 
mkoa gani inapatikana gunia kwa sh 35000,,kama yupo anayefahamu anipm,,
huku mahindi gunia 70000 hadi85000

Hapa mbeya (mbozi) yanapatikana mkuu, bei zake ni 36,000 mpaka 42,000 kwa gunia moja. Kwani upo maeneo gani mitula
 
Zanzibar Spices
Hao wanaokata tamaa kufanya biashara za kilimo niwazee wa simple gum boots kwao sum na adui
 
Back
Top Bottom