Mpangamji
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 540
- 140
Natalia KUWA SERIOUS WALE KULE KAIRUKI, IMTU WANASOMESHWA BURE UMESOMA WEWE KWELI MADACTARI WOTE WANASOMESHWA NA SERIKALI?
NAKUULIZA Natalia,Huwa natoa mifano ya kweli nauhalisia, nina kaka yangu anasoma KAIRUKI udactari analipa ada 5,000,000 per year na anajilipia mwenyewe ada *5yrs =25,000,000/tsh toa usafiri, toa emergence, toa malazi, kweli huyu mtu atamaliza umlipe 500,000 akubaliane na wewe?
Laki tano ni hela za makeshia wenye diploma bana. Twende mbele turudi nyuma je hao madactari wakirudishwa kwa nguvu watawatibu watu kwa moyo na kwa upendo? Chukua zako changanya na zangu tujijibu swali
Baada ya kuwalazimisha Madaktari kurudi kazini, hali ikawa hivyi
Daktari: Karibu mgonjwa unasumbuliwa na nini?
Mgonjwa: Asante Daktari, najisikia homa, viungo vyote vinauma, usiku na tetemeka kwa baridi
Daktari: Ohh pole sana inaonekana huo ni uchovu tu, labda kama kungekuwa na vifaa tungeangalia kwa makini tatizo ni nini, lakini kwa sasa kapumzike nyumbani utapona tu
Mgonjwa: nitaponaje kwa kupumzika?
Daktari: nani daktari kati yangu na wewe?
Mgonjwa: ni wewe, lakini si uniambie ninaumwa nini?
Daktari: Unaumwa uchovu, kapumzike
:israel: