Mshahara wa TShs 900,000 hautoshi kabisa

Mkuu unapozungumzia mshahara hebu tuelewane kwanza, mfano hiyo laki9 ya daktari tunayozungumzia hapo tunamaanisha gross yaani baada ya basic (mshahara wenyewe) na malupulupu mengine.
Hiyo 2.5 ya mbunge unayozungumzia bado hjajumlisha na malupulupu mengine na hata zile posho za kila kikao hjazihesabia achilia mbali mikopo na mamilioni wanayopokea baada ya miaka mitano.
Kwa taarifa yako Soon Mbunge ataanza kupokea 10,000,000/- kila mwezi. Milioni kumi kwa mwezi.
Alafu Hoja ya nyingine ya msingi ya madaktari ni mazingira ya kazi yaboreshwe na vifaa mahospitalini viwepo, wagonjwa wasilale chini na wengine wasishee vitanda kama ilivyo sasa ktk hospitali zetu za Serikali.
Cha ajabu Kikwete hajazungumzia hilo, amekomalia kwenye mishahara tuu.

madaktari huo mshahara unawatosha,mkiongezea na za wizi wa madawa, kutoa mimba, rushwa mko mbali
 
Mkuu, Mshahara wa sh 955,000/- ikishakatwa PPF na PAYE inabaki Sh. 720,000/- na sio Laki tano na nusu.
Kimsingi sikubaliani na Mbunge kulipwa 10,000,000/- kwa wiki4 alafu daktari analipwa asilimia 10% ya mshahara wa mbunge.

Hapana haibaki 720k,Ppf/nssf ni 90k,kodi ni 160k pia heslb wanakata 72k(8%) kwahyo total deduction ~320k hapo unabakiwa na 580k.
 
daaaa mzee wa black mamba umeuwa....jamaa wanakumaindi wasije wakakuchoma sindano machoniiii..tehetehetee......aaaaaaaaaaa..tititititititititittiti.......ohohohohohohohohohohohohohohooho...kkkakkaakakakakakakakakakakaka
 
Leo katika hotuba ya Rais,alikua akitamka kwa sifa kua serikali inawalipa madaktari hela nyingi Tshs 900,000.Ila Laki tisa,ukikata PPF,PAYE inabaki kama TShs 550,000.Ukiangalia Dr anasoma miaka 5,anafanya kazi za riak kubwa sanaMbunge au waziri anapewa maslahi mazito sana,wengi hata ulinzi baada ya kustafu wanapewa.We unampa Dr mshahara net laki tano na nusu unategemea awe na umakini kwkazini.

Mshahara Wa daktari , MD anayeanza ni 1,300,000/= bila makato
 
Sasa ukianza kazi na mshahara wa 3.5 m utastaafu na mshahara kiasi gani?

Pension Yako utachukua sh. Ngap coz wanaangalia mshahara wa mwisho wakati wa kustaafu, daah! ni hatari sana.
 
madaktari huo mshahara unawatosha,mkiongezea na za wizi wa madawa, kutoa mimba, rushwa mko mbali

Mkuu kama mama yako angetolea mimba ungezaliwa kweli?! Sometimes tuelimike, tusiongee tu, kisa tunamidomo! Tafakari kauli yak tena!!
 
Leo katika hotuba ya Rais,alikua akitamka kwa sifa kua serikali inawalipa madaktari hela nyingi Tshs 900,000.Ila Laki tisa,ukikata PPF,PAYE inabaki kama TShs 550,000.Ukiangalia Dr anasoma miaka 5,anafanya kazi za riak kubwa sanaMbunge au waziri anapewa maslahi mazito sana,wengi hata ulinzi baada ya kustafu wanapewa.We unampa Dr mshahara net laki tano na nusu unategemea awe na umakini kwkazini.

Vipi kuhusu wafuta ujinga a.k.a walim? Wao gross ni ngapi? Maana naona mnamtete dk, mnamsahau huyu anaemwandaa huyo dk!
 
leo katika hotuba ya rais,alikua akitamka kwa sifa kua serikali inawalipa madaktari hela nyingi tshs 900,000.ila laki tisa,ukikata ppf,paye inabaki kama tshs 550,000.ukiangalia dr anasoma miaka 5,anafanya kazi za riak kubwa sanambunge au waziri anapewa maslahi mazito sana,wengi hata ulinzi baada ya kustafu wanapewa.we unampa dr mshahara net laki tano na nusu unategemea awe na umakini kwkazini.
ila ni rahisi sana kutoka
wanapata mikopo
na deal za hapa na pale....kwa walio maeneo ya watu wengi esp mijini.
 
Formula wanayotumia TRA hii hapa, kwa kiwango chochote kinachozidi 720,000, unachukua asilimia 30 ya kipato kinachozidi 720,000 (30% ya (900,000 toa 720,000) + 112,500 (hii yenyewe ni given)

ukipiga hapo hesabu inayokatwa ni 166,500 kwahiyo ukichukua 900,000 toa 166,500 anayobaki nayo daktari ni 733,500 na ukitoa NSSF ambayo ni 10% unapata 643,500/=

Kuna PSPF,LAPF na nyinginezo wanakata asilimia 5.
 
Kiresua nakubaliana na wewe,humu ndani kuna waongo kibao.Mimi niko idara hiyo ya afya mshahara wangu ni 957,700,hapo baada ya makato yote take home ni 660,000 na sio 550,000.
Kwa kweli mshahara tunaodai ni mkubwa mno ndio maana inakuwa kama vile tunatafuta utajiri na sio huduma kwa umma.SIUNGI MKONO MAUAJI YA WATANZANIA KUTOKANA NA MGOMO.Tunatakiwa kudai kitu reasonable.

Duuuh! Mbona mnakatwa kiasi kikubwa hivyo?????
Upo NSSF nini??
 
Ambaye humu tanzania hakulipiwa na serikali nani?
madokta wote ni wadaiwa wa HELSB halafu anasema tumewasomesha bure hata aibu hana
Mungu awalaani hawa wapotoshaji

Madaktar wakimaliza hawadawi na HESLB,yani ni wanasomeshwa,na hwatakiwi kurudisha hela.
 
kama wanataka kulipwa m 3.5 waanze kujilipa hayo masomo yao.....eti mazingira hatarishi sie mbona tunafanya kazi kwenye mzingira ya black mamba(koboko )...,hatujalalamika?? Nyoka akikugonga unakufa within 20 minites.....spidi yake 20 km per hr....urefu ft 14...lakini tunapiga tu kazi za serikali.....wakatafute mwajiri atakayeweza kuwalipa mshahara huo...hawana sababu ta kugoma...hilo swala kuboresha huduma za afya mbona ni la 12 kwenye orodha kama kweli ni wazalendo.......wasituzingue....jwanza wako shallow tu......


nyoka akisha kugonga unakimbilia kwa nani..?
 
Daktari mwenye degree anaeanza kazi take home ni tsh.960,000 na gross salary ni 1,300, 000 na mikoani wanapewa 250, 000 ya nyumba kila mwezi na call allowance ya si chini ya 100, 000 kwa mwezi.....so kwa mwezi take home si chini ya 1.3mil

Ila bado ndogo sana ukiliganisha na kazi zao vs wabunge.
 
Back
Top Bottom