Mshahara wa TShs 900,000 hautoshi kabisa

Yaelekea wewe ni mgeni wa siasa za dunia hii. Hufahamu kuwa kote duniani wanasiasa wanaongoza kwa malipo katika serikali? Ndo maana watu wanaachana na taaluma na kuingia kwenye siasa. Kama ilivyo kwa madaktari bunge nalo ni muhimu katika nafasi yake bila kujali kiwango cha elimu ya wabunge. Kama wana elimu ndogo basi ni mfumo mbovu tulionao wa kuwafikisha hapo.


I do hate generalization saaaanaaa......
1. huko kwengine GDP na Income per capita ikoje?????
2. Inflation rates???
3. Wewe ndo mgeni na topic ya contextualization kumbe????

Mkimaliza kubishana mjiulize........who is our common enemy?????
 
Mkuu, Mshahara wa sh 955,000/- ikishakatwa PPF na PAYE inabaki Sh. 720,000/- na sio Laki tano na nusu.
Kimsingi sikubaliani na Mbunge kulipwa 10,000,000/- kwa wiki4 alafu daktari analipwa asilimia 10% ya mshahara wa mbunge.

kwahiyo unataka kuwe na ulinganifu wa mshahara kwa kila kada ya ajira nchin, sababu wabunge wanalipwa mil10 basi na walimu nao walipwe mil10, mainjinia nao walipwe mil10, wahasibu nao walipwe mil10!! usifikiri kwa masaburi!!!
 
Unajua kinacho wakera madaktari ni wana siasa kulipana mishahara ya kufuru halafu wao kupewa mshahara ambao ni kama matusi kwao ukilinganisha na kazi wanao ifanya!!!
 
Unajua kinacho wakera madaktari ni wana siasa kulipana mishahara ya kufuru halafu wao kupewa mshahara ambao ni kama matusi kwao ukilinganisha na kazi wanao ifanya!!!
Tanzania Kila mtu anaweza kuingia kwenye siasa nafasi zipo wazi kwa kada zote Lakini si kila mtu anaweza kuwa Daktari .Hivyo kama wanaona wanasiasa wanafaidi basi na wao wafuate taratibu waingie kwenye siasa na siyo kila siku kuleta sokomoko na kushindwa kutimiza wajibu wa kazi yao kama waajiriwa na kusababisha mtafaruku kwa wanaohitaji huduma.
 
Tanzania Kila mtu anaweza kuingia kwenye siasa nafasi zipo wazi kwa kada zote Lakini si kila mtu anaweza kuwa Daktari .Hivyo kama wanaona wanasiasa wanafaidi basi na wao wafuate taratibu waingie kwenye siasa na siyo kila siku kuleta sokomoko na kushindwa kutimiza wajibu wa kazi yao kama waajiriwa na kusababisha mtafaruku kwa wanaohitaji huduma.

Hapo kwenye red!!!We unadhani kwanini si kila mtu anaweza kuwa daktari?Kozi yao ni ngumu na umuhimu wao kwa jamii ni mkubwa,hivyo malipo ni lazima yawe ya haki!!!
 
Tanzania Kila mtu anaweza kuingia kwenye siasa nafasi zipo wazi kwa kada zote Lakini si kila mtu anaweza kuwa Daktari .Hivyo kama wanaona wanasiasa wanafaidi basi na wao wafuate taratibu waingie kwenye siasa na siyo kila siku kuleta sokomoko na kushindwa kutimiza wajibu wa kazi yao kama waajiriwa na kusababisha mtafaruku kwa wanaohitaji huduma.

well said mkuu, tatizo letu wengi ni kufikiri kwa mkumbo.
 
Tanzania Kila mtu anaweza kuingia kwenye siasa nafasi zipo wazi kwa kada zote Lakini si kila mtu anaweza kuwa Daktari .Hivyo kama wanaona wanasiasa wanafaidi basi na wao wafuate taratibu waingie kwenye siasa na siyo kila siku kuleta sokomoko na kushindwa kutimiza wajibu wa kazi yao kama waajiriwa na kusababisha mtafaruku kwa wanaohitaji huduma.

Ndo kama hivi sasa may be na wao wameamua kufanya siasa ili iwalipe...............tunasubiri mrejesho bila kelele wala kuhisisha sympathy yawananchi.!!!!!!!! Ila kwa ufikiriaji kama wako ni dhahma kwa taifa hili........eti kila mtu afanye kazi inayolipa huoni kama unejenga vichaka vya ubadhilifu na kukataa dhana ya division of labour????? Unajiita.....kipimo cha utu ni kazi........kipimo kiwe respect kwa kazi na sio bias kwa baadhi ya kada kama ilivyo sasa

Then hayo malalamiko ya mazingira ya kazi hayakwepeki as hali ni mbaya saaaanaaa.......so serikali ingekaza msuli huko ili tujue sasa kama hoja yao ni pesa ingebaki bayana ila kwa sasa ni ngumu kuweka bayana ni nini hasa wanagomea.......siungi mkono kugoma ila Drs wana capitalize kwenye weakness ambayo ni obvious serikali inawajibika dhahir shahir kurekebisha.....hata kama itasemwa hii ni background echo still inasikika na ni sehemu ya wimbo tayari


Hide and seek.......hide and seek.....mpaka fajar na watu wanaendelea kukutana na mauti....mateso....na vilema
 
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake. Na moyoni amemwacha Mungu. Maana atakuwa kama fukara nyikani. Hataona yanapotokea mema. Baali atakaa jangwani palipo ukame,katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu. Wala hatazaa matunda. Mungu peke yake ndio ana uwezo wa kukutunza. hata upewe milioni kumi au ishirini hazitatosha. Mwanadamu haridhiki, kwasababu ameumbwa amtegemee Mungu. Mshahara haujawahi kutosha. jipangeni kumtegemea Mungu sio serikali haiwezi kuwalipa. Tafakari haya kwa makini

Mungu tangu apoteze ile fomula yake ya kufanya mikate inyeshe kama mvua ili wana wa islael wajitafunie, simwamini tena!
 
kama wanataka kulipwa m 3.5 waanze kujilipa hayo masomo yao.....eti mazingira hatarishi sie mbona tunafanya kazi kwenye mzingira ya black mamba(koboko )...,hatujalalamika?? Nyoka akikugonga unakufa within 20 minites.....spidi yake 20 km per hr....urefu ft 14...lakini tunapiga tu kazi za serikali.....wakatafute mwajiri atakayeweza kuwalipa mshahara huo...hawana sababu ta kugoma...hilo swala kuboresha huduma za afya mbona ni la 12 kwenye orodha kama kweli ni wazalendo.......wasituzingue....jwanza wako shallow tu......

Vipi kuhusu kulazwa kitanda kimoja wagonjwa 2 ama 3 kila mtu anamaradhi yake je nayo hiyo nisawa???
Hapo tutakuwa tuna tibu nini ama kila mgonjwa atibiwe madahari yake achanganye na ya mwenzie ile aweze kupona??
Aaah! hapo ndipo CCM inaponifurahisha ila wao wakiugua nje kutibiwa walala hoi kwenye kajamba nani nani ta MIAKA 50 ya UHURU!!...hii ni ONLY IN BONGO !!

 
.......... Punguzeni Tabia ya kujiombea migao peke yenu ....... Haijatulia Tabia hiyo !

Hata sie wakulima na wafugaji ni wananchi kama nyie.


Labda mmoja wenu,angeropoka ili na sie tulio vijijini,tunufaike na posho AU HATA MSAADA yenye uzani wa angalau 50,000.00 TSHS PER HEAD !!!!!!!
 
Lets face the reality,madai ya ma-dr ni haya
1.Salary 3.5M
2.On call allowance(10% salary)
3.Risk allowance 30%
4.Housing allowance 30%
5.Posho ya mazingira magumu ya kazi(basically location) 40%
6.Transport allowance 10%
7.Green card health insurance
8.Ma-dr waliofukuzwa warudshwe kazini
9.Post morten allowance should be raised
10.Viongozi kulazimisha rufaa nje
11.Hatua za kinidhamu juu ya watendaji wakuu wa min.of health zichukuliwe
12.Huduma za afya ziboreshwe

Ok judge for urself madai mangapi ni maslahi binafsi na mangapi kwa wananchi.

Katika madai yote 12,govt na MAT walifikia muafaka mambo 7
Tafuta hotuba ya rais soma walikubaliana nn
MAT waje public watuambie ni kweli asemayo Rais?
Ndugu mwananchi tafakari majibu ya govt na MAT then utajua nn kiini cha mgomo
Hii habari ya kutoa comments ki-CCM-CDM haina maslahi kwa yoyote
 
Vipi kuhusu kulazwa kitanda kimoja wagonjwa 2 ama 3 kila mtu anamaradhi yake je nayo hiyo nisawa???
Hapo tutakuwa tuna tibu nini ama kila mgonjwa atibiwe madahari yake achanganye na ya mwenzie ile aweze kupona??
Aaah! hapo ndipo CCM inaponifurahisha ila wao wakiugua nje kutibiwa walala hoi kwenye kajamba nani nani ta MIAKA 50 ya UHURU!!...hii ni ONLY IN BONGO !!
Nipe mtazamo wako hapa chini
1.Salary 3.5M
2.On call allowance(10% salary)
3.Risk allowance 30%
4.Housing allowance 30%
5.Posho ya mazingira magumu ya kazi(basically location) 40%
6.Transport allowance 10%
7.Green card health insurance
8.Ma-dr waliofukuzwa warudshwe kazini
9.Post morten allowance should be raised
10.Viongozi kulazimisha rufaa nje
11.Hatua za kinidhamu juu ya watendaji wakuu wa min.of health zichukuliwe
12.Huduma za afya ziboreshwe
 
Wamelupiwa na serikali hizo shule .matatizo ya elimu ya bure
Natalia KUWA SERIOUS WALE KULE KAIRUKI, IMTU WANASOMESHWA BURE UMESOMA WEWE KWELI MADACTARI WOTE WANASOMESHWA NA SERIKALI?

NAKUULIZA Natalia,Huwa natoa mifano ya kweli nauhalisia, nina kaka yangu anasoma KAIRUKI udactari analipa ada 5,000,000 per year na anajilipia mwenyewe ada *5yrs =25,000,000/tsh toa usafiri, toa emergence, toa malazi, kweli huyu mtu atamaliza umlipe 500,000 akubaliane na wewe?

Laki tano ni hela za makeshia wenye diploma bana. Twende mbele turudi nyuma je hao madactari wakirudishwa kwa nguvu watawatibu watu kwa moyo na kwa upendo? Chukua zako changanya na zangu tujijibu swali
 
wote tuliosoma kwa pesa ya walipa kodi now tunakatwa katika mishahara kila mwezi na katika list ya bodi
wacheni maneno yenu
 
Natalia KUWA SERIOUS WALE KULE KAIRUKI, IMTU WANASOMESHWA BURE UMESOMA WEWE KWELI MADACTARI WOTE WANASOMESHWA NA SERIKALI? .........Chukua zako changanya na zangu tujijibu swali
Just go and work where they gonna pay you what u want....
5M kitu gani kwenye elimu? Some people of paid £7000 for tuition fee only and they r working for 1-2M private sector!!!!
 
kwani udakitari ni siasa, mpaka ulinganishe mishahara yao na wabunge? kila mtu akijinganisha na mbunge si patachimbika hapa, na kwa nini wanadhani wenyewe ni wamuhimu sana, zaidi ya waalimu, wanasheria, wahasibu masecretary na wafanya usafi? i

waache njaa zao, wangesomea kozi za kujiajili, kama hawapendi kupangiwa mishahara
 
Mbona unataka kuminyana na muajiri wako? Tatizo lipo wapi wewe tafuta sehemu wanaolipa mshahara mzuri kafanye kazi uko usiladhimishe ulipwe unavyotaka mkuu serikali aina huo uwezo...au nenda TMJ, Agha Khan, Regency, Hindu, kachukuwe mamilioni.

Nani anamlazimisha mwingine hapa, kama hutaki kulipa huo mshahara nani kakuambia upeleke vijisenti vyako kwenye akaunti zetu?

Mwaka huu kitaeleweka tu!!!
 
mshahara wa mbunge 2.5 milioni, madakatari wanataka 3.5milion, haiwezekani nawashauri wafanye analysis kama inawezekana, kama kusoma miaka 5 hata lawyer wanasoma miaka hiyo na mishahara mmewazidi, halafu kama unasomei kitu ili kikulipe somea kitu kinacholipwa hakuna mtu aliyelazimishwa kusomea udaktari,
halafu mtueleze madaktari secta ya afya inaongoza kwa rushwa na wizi wa madawa na kuwaelekeza wagonjwa kwenye maduka yenu mtalimalizaje hilo sion tu mnataka mishahara mikubwa hamsemi yakwenu mtamalizaje
.
Hata kama serkali haitaki kulipa mshahara huo ndo mmuue dr ulimboka? Kwanza ile barua ya kaimu mwenyeketi chama cha madaktari haijasainiwa . Acheni kuongoza kwa usanii???
 
Mshahara wa Mbunge 2.5 Milioni, Madakatari wanataka 3.5Milion, Haiwezekani nawashauri wafanye analysis kama inawezekana, Kama kusoma Miaka 5 Hata lawyer wanasoma Miaka hiyo na mishahara mmewazidi, Halafu kama unasomei kitu ili kikulipe somea kitu kinacholipwa hakuna mtu aliyelazimishwa kusomea Udaktari,
Halafu mtueleze Madaktari Secta ya afya inaongoza kwa Rushwa na Wizi wa Madawa na Kuwaelekeza wagonjwa kwenye Maduka yenu mtalimalizaje hilo sion tu mnataka Mishahara mikubwa hamsemi yakwenu mtamalizaje
mkuu unastatistics ya mwaka ganiwabunge wanalipwa 10,000,000/tsh bado usafiri,malazi,perdm,petrol wanajaziwana magari ya bure wanapewa,posho 200.000/ kwani si hela zetu za kodi na sindio wanasinzia huko bungeni ?wapewe hawa wanaotutibu hata kama vibaya?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom