EVODIUS RWECHUNGURA
Member
- May 4, 2012
- 20
- 4
Kuuliza mshahara kwanza unayemuuliza ana miaka mingapi apo alipo kama mfano huu Dereva ma mgodini anaanza na mshahara wa milioni moja na point bila makato je mwenye miaka kumi atakua na mshahara gani na kila mwezi na mwaka mishahara inaongezeka msidharau kazi unaweza ukawa mshahara mdogo ila ukapata nafasi ya kuwa mtu wa field kwa sana nambie apo utadai nini kingine mshahara si kitu hata ungekua ni milioni mbili kazi kwanza mengine baadaye