jf is interesting sometimes3,800,000/=
150,000 mkataba unasema hivyo, lakini kuna Bonus unapobetisha ticket nyingi kuna Bonus kila mwezi.Habari wadau naomba kuuliza agent wa customer care service kwenye betting salary scale yao ni kuanzia ngapi?
Kuna mmoja ni jirani yangu analipwa milioni 8Habari wadau naomba kuuliza agent wa customer care service kwenye betting salary scale yao ni kuanzia ngapi?
Inamana huyo mtu anabetije asijue ameshinda au Ile mikeka ya kumulika auKuna binti analipwa 150,000 ila kila weekend hakosi angalau laki 2. Kuna watu wanabet halafu hata hawajui walichobet na jinsi gani kujua kama wameshinda. Na wapo wengi mno. Humo ndimo hao ma agent wanapoparta pesa.
Nyie mnzungumzia kubet Kwa makaratas au,, maana mpka mtu asijue kama kashinda au ajashinda.150,000 mkataba unasema hivyo, lakini kuna Bonus unapobetisha ticket nyingi kuna Bonus kila mwezi.
kuna wanaopata bonus hadi 300k bonus bado kuna wateja malofa mkeka kala lakini unamwambia mkeka ushaungua, Unatandika.
Kuna Tips, Mteja kala Laki 8 na 7000 anakwambia hiyo 7000 kale mchana,
Wateja wanakula 3200,3100,7300,8200, hvyo vi mia mbili vi mia tatu hawanaga taima navyo.
kwa siku unaondoka na hata 5000 kutoka kwa wateja.
KULA : CHAKULA ni juu ya mwajiri wako ni nnje ya ile mshahara (6000 per day) uamuzi ni wako ule au ufunge uondoke na hela yako.