Msajili ajipanga kuanza uhakiki wa CCJ wiki hii

Pasco.. don't worry at all.. kinachofanyika as I promised before has never been attempted in TZ politics.. Usajili utapatikana na watashangazwa how ready CCJ is to field candidates kwenye uchaguzi mkuu..

CCJ, je huyu ndiye Musa tuliyekuwa tukimsubiri atutoe (Misri) utumwani na kutuongoza katika nchi ya Ahadi! nchi ya maziwa na asali! nasi wana wa nchi KAMA huyu ndie MUSA tulikuwa tunamsubiri , je tuko tayari kumfuata na kuwa naye pamoja hata kama tutakosa chakula jangwani! Hatuta msaliti na kujichongea sanamu yetu? Je hatutatamani kurudi tena Misri?
 
Kilembwe! Mnao mitume na manabii kina chadema wasikilizeni hao, na kuwatumaini , maana hata akishuka mtu kutoka juu kama ccj mnaweza bado msimwamini!
 
Mkuu MMKJ, kila la kheri. Mimi ni mmoja wa watu wanaosubiri kwa hamu suprises za CCJ.
.
Nyunyu nakushauri usiwe miongoni mwa wale wenye imani haba, ambao wanasubiria miujiza ndipo waamini, nakushauri join the team, ili hizo surprises zikitokea, nawe unakuwa ni miongoni mwa walioleta.

Siye wengine tulishajiamulia kuwa ni sehemu ya watazamaji tuu na sio wachezaji kwenye huu mchezo mchafu uitwao siasa. I mean "politics is a dirty game"
 
Pasco.. don't worry at all.. kinachofanyika as I promised before has never been attempted in TZ politics.. Usajili utapatikana na watashangazwa how ready CCJ is to field candidates kwenye uchaguzi mkuu..
All the best kwa CCJ, jana nilisoma mahali mgombea wake maarufu kumshinda JK, sijui ni umaarufu tuu au uwezo, kama ni umaarufu tuu, hata baadhi ya wanaspoti, wanamuziki wetu etc ni maarufu kuliko JK, kwa vile pia tutashangazwa how ready CCJ is to field candidates kwenye uchaguzi mkuu..., napandwa na kisebusebu na kiroho papo cha kusubiria, kama mshabiki wa mpira uwajani, hujikuta akitaka kupiga shuti kufunga bao, pale mchezaji aliye uwanjani anapopiga, ili asikose goli!.

Refa ni NEC, wakati timu nyingine zinajiandaa kuingia uwanjani kusubiria kipenga kipulizwe mechi ianze, timu zingine bado zinahangaikia usajili, (CCJ) huku tayari zimeshajipanga kupata ushindi katika uwanja huu huu usio sawa ambapo timu shindwa siku zote zimekuwa zikilalamikia 'lever playing ground' hazikupewa na bado zinaingia kucheza hivyo hivyo kwenye uwanja huo huo!.

Ni matumaini yetu kuwa timu ya CCJ hili inalijua, na baada ya usajili, itaingia na formation yake maalum ambayo ndio fit kwa ulevel ground na kama ni hivyo, basi ushindi ni dhahiri!.

All the best tena na tena.
 
.
Nyunyu nakushauri usiwe miongoni mwa wale wenye imani haba, ambao wanasubiria miujiza ndipo waamini, nakushauri join the team, ili hizo surprises zikitokea, nawe unakuwa ni miongoni mwa walioleta.

Siye wengine tulishajiamulia kuwa ni sehemu ya watazamaji tuu na sio wachezaji kwenye huu mchezo mchafu uitwao siasa. I mean "politics is a dirty game"

Mkuu Pasco, nashukuru sana. Mimi niliumizwa sana na yaliyotokea 1995. Toka wakati huo nikaapa kutojichanganya na mchezo huu mchafu, politics!! Toka wakati huo nimeishi kwa matumaini weeeee hadi basi. Sasa yalivyokuja haya ya CCJ, tumeyajadili sana humu mkuu, nimepata tumaini jipya, kuwa labda kuna kitu tofauti kinakuja, na kila MMKJ anavyoendelea kutupa kwa mtego na mafumbo, naanza kupata moyo.

Tuko pamoja mkuu.
 
CCJ kweli wamwefoji au utaalamu umewashinda akina Tendwa? I am worried.

Source: TBC1
 
Mheshimiwa Tendwa amesema Uhakiki wa Dar umekwisha wanaendelea kesho Pwani..Ila leo kuna kadi 26 zimekuwa tofauti (details) na yale makabrasha yaliyowasilishwa kwenye Ofisi ya Tendwa..Kuna Mkanganyiko wa taarifa.Nimemwona Mwenyekti wa CCj kafura kama Chatu akisema Huyu Mzee(tendwa) hafai ni Bora astaafu tu!!
So Tendwa amebetua tungoje kesho Mkoa wa Pwanii ...ngoma inogile
 
Mheshimiwa Tendwa amesema Uhakiki wa Dar umekwisha wanaendelea kesho Pwani..Ila leo kuna kadi 26 zimekuwa tofauti (details) na yale makabrasha yaliyowasilishwa kwenye Ofisi ya Tendwa..Kuna Mkanganyiko wa taarifa.Nimemwona Mwenyekti wa CCj kafura kama Chatu akisema Huyu Mzee(tendwa) hafai ni Bora astaafu tu!!
So Tendwa amebetua tungoje kesho Mkoa wa Pwanii ...ngoma inogile
Unajua Nchi hii nafikiri hatupo makini sana kama kweli haya ndiyo yaliyotokea hapo chini kwa viongozi hawa wa CCJ Basi umakini ni tatizo la kitaifa Nchi hii. soma hapo chini:



ccjusajili.jpg
Mwenyekiti wa Chama Cha Jamii (CCJ) Richard Kiyabo, akizuiwa na mlinzi wake wakati akielekea kwenye meza ya msajili wa vyama, John Tendwa kumlalamikia kuhusu zoezi la kuhakiki wanachama wa chama hicho viwanja vya Temeke Mwembeyanga jijini Dar es Salaam jana. Picha na Silvan Kiwale

Elizabeth Suleyman

VURUGU zimezuka wakati wa uhakiki wa wanachama wa Chama cha Jamii (CCJ), baada ya Msajili waVyama vya Siasa nchini, John Tendwa kusitisha zoezi hilo mkoani Dar es Salaam.Tendwa alichukua hatua hiyo baada ya kubaini kuwa chama hicho kina wanachama halali 13 badala ya 200 katika mkoa huo

Baada ya timu ya ukaguzi wa wananchama iliyoongozwa na Tendwa kubaini hilo na kutangaza kuwa wanachama walitimiza masharti ni 13 tu, viongozi wa CCJ walidai hizo ni hujuma za CCM.

Jana gazeti hili lilishuhudia wanachama zaidi ya150 kutoka maeneo mbalimbali wilayani Temeke wakiandikishwa wakati uhakiki ukiendelea katika viwanja vya Mwembe Yanga.

Tendwa alianza kuhakiki fomu 247 alizokabidhiwa na uongozi wa CCJ. Wakati akiendelea na zoezi hilo, ndipo utata ulianza kuhusu wanachama waliofika kuhakikiwa pamoja na viongozi wao.

Katika uhakiki huo, iligundulika kuwa Mwenyekiti wa CCJ, Richard Kiyabo ni miongoni mwa majina yaliyopo kwenye fomu za wanachama lakini hakuwa na kadi ya chama.

Mwenyekiti huyo alijititea kuwa kadi yake ilipotea alipovamiwa na majambazi eneo la Kariakoo mwaka huu na kwamba,taarifa alishatoa polisi.

Mkasa huo pia ulimkumba katibu wa chama hicho, Renatus Muabhi ambaye alijikuta katika wakati mgumu, baada ya kuambiwa na msajili kwamba, katika orodha ya majina yaliyopo kwenye fomu jina lake halipo, ila ana kadi kadi tu.

“Mheshimiwa, huenda makosa yalifanyika wakati kuchapa majina hayo katika fomu hizo,” alijitetea Muabhi.

Hata hivyo, Tendwa aliwaambia kuwa kwa vile wao ndiyo waanzilishi wa chama hicho, anawatambua, ingawa mmoja wao jina lake halipo kwenye fomu.

Wakati Tendwa aliendelea na uhakiki huo, alibaini kuwa kati ya wanachama 200 walioko katika chama hicho, 13 ndiyo waliotimiza vigezo vya kuwa wanachama.

“Nashindwa kuelewa, viongozi CCJ walisema wana wanachama 200 mkoani Dar es Salaam na 7,000 kwa nchi nzima, lakini katika uhakiki niliyofanya, nimepata wanachama 13 tu ambao wana vigezo na nimerudisha kadi 27 ambazo hazina sifa," alisema Tendwa na kuongeza:

“Baadhi ya wanachama, wamekuja na kadi yenye majina tofauti na yaliyoandikwa kwenye fomu ya orodha ya wanachama”.

Tendwa alitoa mfano: “Utakuta kadi imeandikwa jina Halima Mohamed, lakini kwenye fomu unakuta namba ya kadi ni ya Juma Salum”.

Tendwa alipoanza kutoa kasoro hizo, viongozi wa CCJ akiwemo mwenyekiti walianza kulalamika na kusema wamesitisha zoezi hilo, kutokana na hujuma za viongozi wa CCM ambao hawataki CCJ ishiriki uchaguzi.

“Mheshimiwa, tunaomba kusitisha zoezi hili kwa sababu tuna hofu na CCM, kwani hakina nia CCJ isajiliwe mwaka huu”, alisema Kiyabo.

Alisema kuna haja ya kuwepo vyama vya hiari vitakavyotetea haki ya wanyonge, kwa sababu CCJ haitendewi haki kabisa kutokana na mipaka inayowekewa ambayo haina misingi.

“Serikali ilisema mwezi huu mtahakiki na kukisajili chama chetu; sasa hivyo vigezo vya kusema kwamba, wanachama hawana vigezo vya unachama, vinatoka wapi ni bora mzee ustaafu kazi. Mnatuhujumu hakuna haki hapa”, alisema kwa hasira na kudai kwamba wanasitisha zoezi la kuhakiki kuendelea katika mikoa iliyosalia.

Kiyabo alidai kuwa CCM hakitaki CCJ , isajiliwe ndiyo maana Tendwa anataka kuwa juu ya sheria kwa kutumia demokrasia ya kutuwahujumu .

Kufuatia hali hiyo, Tendwa alitoa amri ya kusitisha zoezi la uhakiki kwa Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na wanachama wengi kugundulika kuwa hawana vigezo na kwamba kesho ataanza na mkoa wa Pwani Jumamosi atamalizia na Wilaya ya Ifakara, Morogoro.

“Kwa Dar es Salaam, basi tena, tumesitisha zoezi hili badala yake tutaendelea na uhakiki katika mikoa iliyosalia,” alisema Tendwa.
 
Unajua Nchi hii nafikiri hatupo makini sana kama kweli haya ndiyo yaliyotokea hapo chini kwa viongozi hawa wa CCJ Basi umakini ni tatizo la kitaifa Nchi hii. soma hapo chini:



ccjusajili.jpg
Mwenyekiti wa Chama Cha Jamii (CCJ) Richard Kiyabo, akizuiwa na mlinzi wake wakati akielekea kwenye meza ya msajili wa vyama, John Tendwa kumlalamikia kuhusu zoezi la kuhakiki wanachama wa chama hicho viwanja vya Temeke Mwembeyanga jijini Dar es Salaam jana. Picha na Silvan Kiwale

Elizabeth Suleyman

VURUGU zimezuka wakati wa uhakiki wa wanachama wa Chama cha Jamii (CCJ), baada ya Msajili waVyama vya Siasa nchini, John Tendwa kusitisha zoezi hilo mkoani Dar es Salaam.Tendwa alichukua hatua hiyo baada ya kubaini kuwa chama hicho kina wanachama halali 13 badala ya 200 katika mkoa huo

Baada ya timu ya ukaguzi wa wananchama iliyoongozwa na Tendwa kubaini hilo na kutangaza kuwa wanachama walitimiza masharti ni 13 tu, viongozi wa CCJ walidai hizo ni hujuma za CCM.

Jana gazeti hili lilishuhudia wanachama zaidi ya150 kutoka maeneo mbalimbali wilayani Temeke wakiandikishwa wakati uhakiki ukiendelea katika viwanja vya Mwembe Yanga.

Tendwa alianza kuhakiki fomu 247 alizokabidhiwa na uongozi wa CCJ. Wakati akiendelea na zoezi hilo, ndipo utata ulianza kuhusu wanachama waliofika kuhakikiwa pamoja na viongozi wao.

Katika uhakiki huo, iligundulika kuwa Mwenyekiti wa CCJ, Richard Kiyabo ni miongoni mwa majina yaliyopo kwenye fomu za wanachama lakini hakuwa na kadi ya chama.

Mwenyekiti huyo alijititea kuwa kadi yake ilipotea alipovamiwa na majambazi eneo la Kariakoo mwaka huu na kwamba,taarifa alishatoa polisi.

Mkasa huo pia ulimkumba katibu wa chama hicho, Renatus Muabhi ambaye alijikuta katika wakati mgumu, baada ya kuambiwa na msajili kwamba, katika orodha ya majina yaliyopo kwenye fomu jina lake halipo, ila ana kadi kadi tu.

"Mheshimiwa, huenda makosa yalifanyika wakati kuchapa majina hayo katika fomu hizo," alijitetea Muabhi.

Hata hivyo, Tendwa aliwaambia kuwa kwa vile wao ndiyo waanzilishi wa chama hicho, anawatambua, ingawa mmoja wao jina lake halipo kwenye fomu.

Wakati Tendwa aliendelea na uhakiki huo, alibaini kuwa kati ya wanachama 200 walioko katika chama hicho, 13 ndiyo waliotimiza vigezo vya kuwa wanachama.

"Nashindwa kuelewa, viongozi CCJ walisema wana wanachama 200 mkoani Dar es Salaam na 7,000 kwa nchi nzima, lakini katika uhakiki niliyofanya, nimepata wanachama 13 tu ambao wana vigezo na nimerudisha kadi 27 ambazo hazina sifa," alisema Tendwa na kuongeza:

"Baadhi ya wanachama, wamekuja na kadi yenye majina tofauti na yaliyoandikwa kwenye fomu ya orodha ya wanachama".

Tendwa alitoa mfano: "Utakuta kadi imeandikwa jina Halima Mohamed, lakini kwenye fomu unakuta namba ya kadi ni ya Juma Salum".

Tendwa alipoanza kutoa kasoro hizo, viongozi wa CCJ akiwemo mwenyekiti walianza kulalamika na kusema wamesitisha zoezi hilo, kutokana na hujuma za viongozi wa CCM ambao hawataki CCJ ishiriki uchaguzi.

"Mheshimiwa, tunaomba kusitisha zoezi hili kwa sababu tuna hofu na CCM, kwani hakina nia CCJ isajiliwe mwaka huu", alisema Kiyabo.

Alisema kuna haja ya kuwepo vyama vya hiari vitakavyotetea haki ya wanyonge, kwa sababu CCJ haitendewi haki kabisa kutokana na mipaka inayowekewa ambayo haina misingi.

"Serikali ilisema mwezi huu mtahakiki na kukisajili chama chetu; sasa hivyo vigezo vya kusema kwamba, wanachama hawana vigezo vya unachama, vinatoka wapi ni bora mzee ustaafu kazi. Mnatuhujumu hakuna haki hapa", alisema kwa hasira na kudai kwamba wanasitisha zoezi la kuhakiki kuendelea katika mikoa iliyosalia.

Kiyabo alidai kuwa CCM hakitaki CCJ , isajiliwe ndiyo maana Tendwa anataka kuwa juu ya sheria kwa kutumia demokrasia ya kutuwahujumu .

Kufuatia hali hiyo, Tendwa alitoa amri ya kusitisha zoezi la uhakiki kwa Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na wanachama wengi kugundulika kuwa hawana vigezo na kwamba kesho ataanza na mkoa wa Pwani Jumamosi atamalizia na Wilaya ya Ifakara, Morogoro.

"Kwa Dar es Salaam, basi tena, tumesitisha zoezi hili badala yake tutaendelea na uhakiki katika mikoa iliyosalia," alisema Tendwa.

Unajua CCM bado wanamtazamo wa 1992 kurudi nyuma. Kama Dar es Salaam imekuwa hivi basi huko mikoani ndiyo wameisha vurunda kabisa. Sidhani kama CCJ walikuwa competent kumwambia msajili wahakiki orodha yake walioyosubmit kwake na yao. Ila kwa CCM kama nilivyosema hapa
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nza-uhakiki-wa-ccj-wiki-hii-2.html#post936117 walifikiria kuwa moja wapo ya possibility ni kununuliwa wanachama wao. Kilichofanyika hapa ni CCM kuwaaproach kuwarubuni na kuchukua kadi zao walizopewa na CCJ na kupewa zingine mafafa zilizotengenezwa kwa majina tofauti ili ku-create controvercial na kuhamasishwa wajitokeze nazo wakati wa uhakiki.
 
Uhakiki wa CCJ Dar vurugu tupu, TENDWA ADAI WANACHAMA HALALI NI 13 TU, ZOEZI LASITISHWA
Friday, 04 June 2010 00:08

ccjusajili.jpg

Mwenyekiti wa Chama Cha Jamii (CCJ) Richard Kiyabo, akizuiwa na mlinzi wake wakati akielekea kwenye meza ya msajili wa vyama, John Tendwa kumlalamikia kuhusu zoezi la kuhakiki wanachama wa chama hicho viwanja vya Temeke Mwembeyanga jijini Dar es Salaam jana. Picha na Silvan Kiwale

Elizabeth Suleyman
Mwananchi

VURUGU zimezuka wakati wa uhakiki wa wanachama wa Chama cha Jamii (CCJ), baada ya Msajili waVyama vya Siasa nchini, John Tendwa kusitisha zoezi hilo mkoani Dar es Salaam.Tendwa alichukua hatua hiyo baada ya kubaini kuwa chama hicho kina wanachama halali 13 badala ya 200 katika mkoa huo

Baada ya timu ya ukaguzi wa wananchama iliyoongozwa na Tendwa kubaini hilo na kutangaza kuwa wanachama walitimiza masharti ni 13 tu, viongozi wa CCJ walidai hizo ni hujuma za CCM.

Jana gazeti hili lilishuhudia wanachama zaidi ya150 kutoka maeneo mbalimbali wilayani Temeke wakiandikishwa wakati uhakiki ukiendelea katika viwanja vya Mwembe Yanga.

Tendwa alianza kuhakiki fomu 247 alizokabidhiwa na uongozi wa CCJ. Wakati akiendelea na zoezi hilo, ndipo utata ulianza kuhusu wanachama waliofika kuhakikiwa pamoja na viongozi wao.

Katika uhakiki huo, iligundulika kuwa Mwenyekiti wa CCJ, Richard Kiyabo ni miongoni mwa majina yaliyopo kwenye fomu za wanachama lakini hakuwa na kadi ya chama.

Mwenyekiti huyo alijititea kuwa kadi yake ilipotea alipovamiwa na majambazi eneo la Kariakoo mwaka huu na kwamba,taarifa alishatoa polisi.

Mkasa huo pia ulimkumba katibu wa chama hicho, Renatus Muabhi ambaye alijikuta katika wakati mgumu, baada ya kuambiwa na msajili kwamba, katika orodha ya majina yaliyopo kwenye fomu jina lake halipo, ila ana kadi kadi tu.

"Mheshimiwa, huenda makosa yalifanyika wakati kuchapa majina hayo katika fomu hizo," alijitetea Muabhi.

Hata hivyo, Tendwa aliwaambia kuwa kwa vile wao ndiyo waanzilishi wa chama hicho, anawatambua, ingawa mmoja wao jina lake halipo kwenye fomu.

Wakati Tendwa aliendelea na uhakiki huo, alibaini kuwa kati ya wanachama 200 walioko katika chama hicho, 13 ndiyo waliotimiza vigezo vya kuwa wanachama.

"Nashindwa kuelewa, viongozi CCJ walisema wana wanachama 200 mkoani Dar es Salaam na 7,000 kwa nchi nzima, lakini katika uhakiki niliyofanya, nimepata wanachama 13 tu ambao wana vigezo na nimerudisha kadi 27 ambazo hazina sifa," alisema Tendwa na kuongeza:

"Baadhi ya wanachama, wamekuja na kadi yenye majina tofauti na yaliyoandikwa kwenye fomu ya orodha ya wanachama".

Tendwa alitoa mfano: "Utakuta kadi imeandikwa jina Halima Mohamed, lakini kwenye fomu unakuta namba ya kadi ni ya Juma Salum".

Tendwa alipoanza kutoa kasoro hizo, viongozi wa CCJ akiwemo mwenyekiti walianza kulalamika na kusema wamesitisha zoezi hilo, kutokana na hujuma za viongozi wa CCM ambao hawataki CCJ ishiriki uchaguzi.

"Mheshimiwa, tunaomba kusitisha zoezi hili kwa sababu tuna hofu na CCM, kwani hakina nia CCJ isajiliwe mwaka huu", alisema Kiyabo.

Alisema kuna haja ya kuwepo vyama vya hiari vitakavyotetea haki ya wanyonge, kwa sababu CCJ haitendewi haki kabisa kutokana na mipaka inayowekewa ambayo haina misingi.

"Serikali ilisema mwezi huu mtahakiki na kukisajili chama chetu; sasa hivyo vigezo vya kusema kwamba, wanachama hawana vigezo vya unachama, vinatoka wapi ni bora mzee ustaafu kazi. Mnatuhujumu hakuna haki hapa", alisema kwa hasira na kudai kwamba wanasitisha zoezi la kuhakiki kuendelea katika mikoa iliyosalia.

Kiyabo alidai kuwa CCM hakitaki CCJ , isajiliwe ndiyo maana Tendwa anataka kuwa juu ya sheria kwa kutumia demokrasia ya kutuwahujumu .

Kufuatia hali hiyo, Tendwa alitoa amri ya kusitisha zoezi la uhakiki kwa Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na wanachama wengi kugundulika kuwa hawana vigezo na kwamba kesho ataanza na mkoa wa Pwani Jumamosi atamalizia na Wilaya ya Ifakara, Morogoro.

"Kwa Dar es Salaam, basi tena, tumesitisha zoezi hili badala yake tutaendelea na uhakiki katika mikoa iliyosalia," alisema Tendwa.
 
Mkuu Mwanakijiji kumbe mwenyekiti wenu hana kadi ya uanachama na kama ndio iliibiwa toka kipindi kile mpaka leo hajapewa mpya tu? na ndio mnataka watanzania wawachukulie mko serious kuwakomboa?

haya mkuu nasubiri maelezo yako kutoka kambini.
 
hahahah.. .. nyinyi mkisikia serikali imesema basi mnakuwa kama makinda ya ndege mnafungua vinywa na kula tu! sijui nitawasaidia vipi. Neno la serikali kwenu ni mwisho.... hamtaki kuhusisha kauli yake Tendwa toka awali kuwa CCJ haitakiwi kupewa usajili wa kudumu au ya viongozi wengine wa serikali. Basi tukubali tu yaishe.

Not me.. not yet...
 
hahahah.. .. nyinyi mkisikia serikali imesema basi mnakuwa kama makinda ya ndege mnafungua vinywa na kula tu! sijui nitawasaidia vipi. Neno la serikali kwenu ni mwisho.... hamtaki kuhusisha kauli yake Tendwa toka awali kuwa CCJ haitakiwi kupewa usajili wa kudumu au ya viongozi wengine wa serikali. Basi tukubali tu yaishe.

Not me.. not yet...

Lakini Mzee Mwanakijiji ni kweli Mwenyekiti wenu Kiyabo hana kadi?
 
Unajua CCM bado wanamtazamo wa 1992 kurudi nyuma. Kama Dar es Salaam imekuwa hivi basi huko mikoani ndiyo wameisha vurunda kabisa. Sidhani kama CCJ walikuwa competent kumwambia msajili wahakiki orodha yake walioyosubmit kwake na yao. Ila kwa CCM kama nilivyosema hapa
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nza-uhakiki-wa-ccj-wiki-hii-2.html#post936117 walifikiria kuwa moja wapo ya possibility ni kununuliwa wanachama wao. Kilichofanyika hapa ni CCM kuwaaproach kuwarubuni na kuchukua kadi zao walizopewa na CCJ na kupewa zingine mafafa zilizotengenezwa kwa majina tofauti ili ku-create controvercial na kuhamasishwa wajitokeze nazo wakati wa uhakiki.

And how about the Chairman Kiyabo, na yeye atakuwa amehongwa ili asi claim kadi Nyingine, na Katibu naye hakuji type makusudi ili baadaye ionekane hayuko kwenye List ya Msajili

Let us face the truth ingawa unauma, kwa hizo Kasoro Mbili zilizojitokeza

CCM 2 CCJ 0

Nimesikitika sana ingawa to loose a battle is not to loose a war
 
Back
Top Bottom