CCJ kutoshiriki uchaguzi Mkuu 2010
Haa haa haaa! Umesema CCJ kutoshiriki 2010 kwa sababu ulizozitoa, halafu unaomba mwenye taarifa sahihi alete. Ina maana taarifa yako sio sahihi?... Mpaka jioni hii sijapata taarifa za hatima ya usajili wa CCJ, hivyo naomba kama kuna yeyote mwenye taarifa sahihi na za kuaminika humu JF atujuze.
Haa haa haaa! Umesema CCJ kutoshiriki 2010 kwa sababu ulizozitoa, halafu unaomba mwenye taarifa sahihi alete. Ina maana taarifa yako sio sahihi?
= yes, kwa wizi wa kuraVery very advanceD
Mkuu Mwanakijijinyie watu mnaombea kweli... duh! watch how politics is done.. and learn..
usajili wa kudumu kwa sasababu kilichelewa kuleta maombi mapema kabla ya bajeti ya 2010/11.
Ameshapata hela za kuhakiki majina?
My take - Kaazi kweli kweli - Lilianza la Rweyemamu/Marmo na sasa ni Tendwa/Marmo !! Jamani tuondoe takataka kii serikalini kwani inatia aibu.
Kichuguu.. absolutely.. Msajii ofisi yake iko chini ya Marmo ambaye ni mbunge wa CCM na kada na wakati huo huo ni kiongozi wa mambo ya sera na siasa Bungeni na ndiye ambaye anauamuzi wa mwisho kuhusu utekelezaji wa wagombea binafsi na usajili wa CCJ na kupanga gharama za majimbo kwa mujibu wa sheria hii mpya..
Kichuguu.. absolutely.. Msajii ofisi yake iko chini ya Marmo ambaye ni mbunge wa CCM na kada na wakati huo huo ni kiongozi wa mambo ya sera na siasa Bungeni na ndiye ambaye anauamuzi wa mwisho kuhusu utekelezaji wa wagombea binafsi na usajili wa CCJ na kupanga gharama za majimbo kwa mujibu wa sheria hii mpya..