Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #141
Haya magazeti yaliposema kuwa CCJ inapokewa kwa kishindo na kinakubarika na watu ukatuletea hiyo habari, leo wakisema kuwa mwenyekiti wenu hana kadi unaona kuwa hawaendi deeper kulikoni mzee !
sihoji kauli za magazeti nahoji kauli za serikali. Mimi siamini "serikali ikisema"; wengine "Tendwa kasema" basi ndio mwisho...